Wewe hutakufa? Magufuli aliwaharibu sana nyie watu. Kilangila.Kama utakavyokufa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hutakufa? Magufuli aliwaharibu sana nyie watu. Kilangila.Kama utakavyokufa wewe
Mbona unabii juu ya Ndungai unachelewa jamani?Mpaka sasa maono matatu yameshatimia. Jiwe, Sabaya, Bashiru na Bunge
Lema sio wakuchezea
Kuhusu Lema kama ingekuwa ndio zile ngonjera za kuitana Mungu au ni zaidi ya Yesu kama alivyotamka yule sheikh Alhad wa Dar es salaam basi huyu angeitwa hayo majina maana anafit kujinasibu kwa madhira ya kuwahadaa wananchi.Mbali na hoja zake nyingi nzito alizokua akizitoa bungeni na mara nyingi kupingwa utashangaa mengi aliyoyalalamikia na kuonya baadaye yamekuja kuonekana nini alimaanisha:
Ukimsikiliza alivyokua akitahadharisha mfumo ule wa ununuzi wa korosho.
Ukimsikiliza alivyokua akikosoa mada mbalimbali za miswada ya uundaji wa sheria.
Pia pale alipokua anaongea na DC Sabaya kwa njia ya simu akimuonya mara tatu tatu kwamba ipo siku utakuja kulipia haya. Acha yale mambo ndiyo leo hii yana-trend.
Yale yale yalioongelewa miaka miwili nyuma na Lema(haya maono yote ya yapo katika youtube waweza sikiliza)
Kamanda alikua na maono.
Hakika Yeye na hata wenzake akina Heche, Msigwa, Sugu, Lissu walibeba maono na walileta challenge nzuri ambayo ingetuimarisha kama taifa kuelekea maendeleo.
Japo tunawamiss lakini twategemea siku moja mtarejea mjengoni.
Hana muda mrefu huyo mpuuziMbona unabii juu ya Ndungai unachelewa jamani?
Utatimia tu. Nani angejua Jiwe ataondoka mwaka huu?Mbona unabii juu ya Ndungai unachelewa jamani?
Dotto naye kama mjomba ake,Lema atuambie VP anaondoka lini? Tunataka yeye na Doto wakakutane na Lwajabe waliyempoteza pasipo kosa lolote.
Lema akipata promo anaweza kufungua kanisa na kwa akili zetu Africa atavutia wengi.Yani hilo la jiwe daaah! Huyu ni nabii kabisa.Et walimkamata kisa unabii wake,yapo wapi sasa?
Upo lupango na basha wako sabaya??Maono ya kuolewa na wazungu
Kama masanja anaouhakika wa sadaka kwann Lema asiwe.Mdomo wako tu kuupepetaLema akipata promo anaweza kufungua kanisa na kwa akili zetu Africa atavutia wengi.
Jiwe akuwahi soma somo la historia angesoma angejifunza kuhusu historia za tawala mbalimbali zilizoanguka.Pia Lema ni mwanahistoria mzuri wanajua yajayo kwa akuoitia yaliyopita.
Lissu alituonya mapema sana wiki moja baada ya Jiwe kuapa akatwelez Magufuli atakuwa Dikteta wa kutisha tujiandae kwa maumivu. Yaliyotokea sote ni mashahidi
Lema ni zaidi ya T.B JoshuaMbali na hoja zake nyingi nzito alizokua akizitoa bungeni na mara nyingi kupingwa utashangaa mengi aliyoyalalamikia na kuonya baadaye yamekuja kuonekana nini alimaanisha:
Ukimsikiliza alivyokua akitahadharisha mfumo ule wa ununuzi wa korosho.
Ukimsikiliza alivyokua akikosoa mada mbalimbali za miswada ya uundaji wa sheria.
Pia pale alipokua anaongea na DC Sabaya kwa njia ya simu akimuonya mara tatu tatu kwamba ipo siku utakuja kulipia haya. Acha yale mambo ndiyo leo hii yana-trend.
Yale yale yalioongelewa miaka miwili nyuma na Lema(haya maono yote ya yapo katika youtube waweza sikiliza)
Kamanda alikua na maono.
Hakika Yeye na hata wenzake akina Heche, Msigwa, Sugu, Lissu walibeba maono na walileta challenge nzuri ambayo ingetuimarisha kama taifa kuelekea maendeleo.
Japo tunawamiss lakini twategemea siku moja mtarejea mjengoni.
Duuuh kibwengu kazindukaHivi karibuni yatamkuta yaliyomkuta TB Joshua.
kwahiyo uchaguzi wa 2025 hatauona siyoYule mwakani
Kwani ulikuwa hutaki?Duuuh kibwengu kazinduka
Mkanye juu ya shimo alilofukiwa meko, mtasuburi sana.Hivi karibuni yatamkuta yaliyomkuta TB Joshua.
subwoofer ndio jina linalomfaaMr Kipazasauti?