[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 

Kiukweli Babu unatisha sanaaa Sema tuu sant Anne hajakupa Nafasi....Na hivi anapendeleaga wine,Hope ata enjoy...Najua hatojuta Kuwa na wewe Mkuu!
Babu Mlezi[emoji3166][emoji851]
Saint Anne mtoto wa Kilakala A-Level!
Babu Umlee Vizuri huyu Binti usije Ukampa Stress [emoji30][emoji110],Stress zake zibebe wewe...Kama ubebavyo!....
 
Aisee we binadamu... Mungu akubariki sana...

Kwa maombi haya, yule mchuchu akinibania basi hatakuwa tena Saint Anne bali Devil Mrs Sabaya.... Ntaongea na mama amfanyie maamuzi magumu

Nami nakuombea kwa Maulana, yule mjane wa Reginald Mengi akupe nafasi ya kuwa baba mlezi wa wale mapacha...

Ila usisahau kutufanya wajumbe wa bodi ya wakurugenzi wa ITV na Bonite Bottlers .... Mimi na mtakatifu Anna hatutakuangusha, nakuahidi.
 
Utabiri wa Sabaya unaelekea kutimia bado wa Ndugai
 
Your browser is not able to display this video.
 
Nabii na mtume G. Lema!![emoji1317][emoji1317][emoji1317]
 
Na Mimi natabiri... Ndugai hata pelekwa polisi Wala Mahakamani. Lkn baada ya kustafu kwake hata ishi kwa furaha Kama wastafu wengine. Atakua mpweke Sana, hata kuwa na furha Kama ya mzee Mwinyi, kikwete au msekwe. Atakua mnyonge ndani ya moyo wake Kama mzee warioba! Mzee warioba unyonge wake Ni katiba. Siku katiba yake ikianza kutumika wallah yule mzee atafikisha miaka 100 Kama mzee Mwinyi. Ukimtazama na kumsikiliza mzee warioba utagundua Hilo.
 
Majuto ni mjukuu
 

Attachments

  • VID-20210604-WA0034.mp4
    1.7 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…