Unabii wa Godbless Lema unazidi kuwatia hofu wanasiasa wanaopindisha sheria na kutenda maovu katika jamii

Unabii wa Godbless Lema unazidi kuwatia hofu wanasiasa wanaopindisha sheria na kutenda maovu katika jamii

Braza kasome vizuri maandiko manabii na unabii. Kuna unabii aina kama 3 hivi: 1. Anayeona ya nyuma 2. Anayeona ya sasa 3. Anayeona yajayo na 4. Anayeona yote 3. Lema ni wa aina ya 3!
Kama ni mgalatia sijui Kama atakuelewa
 
Kumtukana Lema, haitakusaidia kitu. Kunena mabaya dhidi ya mtu hakuwezi kumfanya kuwa mwovu. Hata wewe, watu wanaweza kukuita ni muuaji lakini kama hujawahi kuwa muuaji, hutakuwa.

Lema hajawaki kushtakiwa kwa wizi hata wa pini, achilia mbali magari. Kesi zake zote zilikuwa za kisiasa. Kama aliiba gari lako halafu uliamua usiende popote, tuambie. Vinginevyo, inawezekana utakuwa umeanza kupatwa na uwendawazimu. Dalili mojawapo kubwa ya magonjwa ya akili ni kuona vitu ambavyo havipo.

Waombe ndugu zako wakupeleke hospitali yoyote ya magonjwa ya akili ili uwahi matibabu.
Wewe na Lema nyote inaonesha ni majambazi. Lema jizi tubliliiba Gari la Baba Mkwe wangu
 
Kwahiyo mlichagua maiti mkamuacha mgonjwa Lowasa mamaae
Akili kisoda! Ni kuwa aliyokuwa anayafanya yalimwingiza hatarini. Unadhani kumweka ndani mtu kama sethi ilikuwa ni mchezo? Yule alikuwa mwanaume wa shoka! Itachukua miaka mingi kumpata mzalendo wa kweli kama alivyokuwa JPM.
 
Hakika huyu jamaa ni Prophet, kama angeamua kuanzisha kanisa basi asingepungukiwa na wafuasi chini ya buku (1000).

Alianza na Mzee wetu Hayati Magufuli, wafilisti wakamsweka ndani miezi 4 na ushee kwa kesi ya uchochezi. Yakatokea yaliyotokea!

Akaja kwa bwa'mdogo aliyeko nyuma ya nondo akilia kwa majuto makuu, legenerali Sabaya.

Mgogo pia yamemkuta Nimekosa mimi nimekosa mimi, nimekosa sana!

Dah jamaa aanzishe kanisa tutinge tu hamna namna nadhani hata wale wa kula urefu wa kamba watapunguza kasi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Legeneral saa mbovu🏋️
 
Hakika huyu jamaa ni Prophet, kama angeamua kuanzisha kanisa basi asingepungukiwa na wafuasi chini ya buku (1000).

Alianza na Mzee wetu Hayati Magufuli, wafilisti wakamsweka ndani miezi 4 na ushee kwa kesi ya uchochezi. Yakatokea yaliyotokea!

Akaja kwa bwa'mdogo aliyeko nyuma ya nondo akilia kwa majuto makuu, legenerali Sabaya.

Mgogo pia yamemkuta Nimekosa mimi nimekosa mimi, nimekosa sana!

Dah jamaa aanzishe kanisa tutinge tu hamna namna nadhani hata wale wa kula urefu wa kamba watapunguza kasi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unaona kabisa kipofu anavuka highway bila uangalizi kisha huko inashuka semitrela kama inawakimbia waajemi, halafu unatabiri kipofu atagongwa nangari.....

Aache wenge
 
Akili kisoda! Ni kuwa aliyokuwa anayafanya yalimwingiza hatarini. Unadhani kumweka ndani mtu kama sethi ilikuwa ni mchezo? Yule alikuwa mwanaume wa shoka! Itachukua miaka mingi kumpata mzalendo wa kweli kama alivyokuwa JPM.
Kuuwa watu na kufunga watu bila hatia ndio uzalendo au ujuha mnaojifunza hapo Lumumba? Mungu hapendi uonevu ndio maana kilio Cha watu wengi kilimfikia Mungu ktk kiti chake zcha enzi na Mungu akajibu maombi ya waonewa kwa Moto na kusema nimeghairi kama Mimi ndiye niliye liumba jiwe, na hakika halitasali
a jiwe juu ya jiwe ambalo halita bomolewa. Mara vikasikika vilio na mayowe, lbilisi na malaika zake wakilia kwa uchungu huko motoni. Nileteeeni gwajiboy nileteeeni gwajiboy.
 
Unabii hauko hivyo, bhana! Yaani ukweli kwamba cheo ni dhamana au kusema ipo siku mimi, wewe au mtu mwingine atakufa nao ni unabii? You must be kidding! Kila mtu analijua hili. Tusilolijua ni timing yake, na hiki ndicho kinachohitaji unabii.

Nabii anazungumzia timing ya jambo kwa kubainisha vitu ambavyo ndivyo vitakuwa ishara kwamba muda wa jambo fulani kutokea umewadia!
Daniel alitabiri anguko la tawalaa, Yohana kuoitia ufunuo alitabiri anguko la falme ya Babeli nk
 
Una husda sana alikufanya nini ndugu! Unauthibitisho wowote wa hizi hoja zako mufilisi au ni chukk na wivu pole sana
Huyu hana unabii wowote ni chokora, mwizi na mgongaji. Tafuta post zangu humu JF kuhusu huu unabii bandia. Mimi ndiye mtu wa kwanza niliye mfumbua kuwa huyu anataka kuotumia dini kisiasa na kimanufaa.

Ile asilia yake ya ujambazi na ulaghai ndio utampeleka hadi aamue kufungua kanisa lake na aanze kuzoa 10% kutoka kwa wananchi masikini.
 
Unabii hauko hivyo, bhana! Yaani ukweli kwamba cheo ni dhamana au kusema ipo siku mimi, wewe au mtu mwingine atakufa nao ni unabii? You must be kidding! Kila mtu analijua hili. Tusilolijua ni timing yake, na hiki ndicho kinachohitaji unabii.

Nabii anazungumzia timing ya jambo kwa kubainisha vitu ambavyo ndivyo vitakuwa ishara kwamba muda wa jambo fulani kutokea umewadia!
Ni rahisi sana kuwa impress baadhi ya Watanzania.

You state the obvious [say..in November and December…it is going to be very hot in the coastal cities], and then when it comes to pass, some nincompoop will wax lyrical about your ‘prophesy’.
 
Aijificha kwenye kichaka cha uzalendo akafanya maovu ya kutisha, alichokosea ni unafiki wa kujifanya mwema kumbe alikuwa ibilisi ndiyo maana aliadhibiwa maandiko yanasema "bora kuwa baridi au moto kuliko kuwa vuguvugu nitakuangamiza"
Akili kisoda! Ni kuwa aliyokuwa anayafanya yalimwingiza hatarini. Unadhani kumweka ndani mtu kama sethi ilikuwa ni mchezo? Yule alikuwa mwanaume wa shoka! Itachukua miaka mingi kumpata mzalendo wa kweli kama alivyokuwa JPM.
 
Back
Top Bottom