GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Elimu ya Tanzania ni Mbovu na mbaya sana tena iko ICU kwa sasa je, ni lini mtatumia muda wenu na hizi nguvu zenu nyingi Kuijadili?Kukodishwa kipande cha ardhi kwa mgeni muda usiojulikana mwisho wake ni ishu pevu lazima ijadiliwe kwa nguvu zote
Kisu kinakaribia mfupaKazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu 'Comments' zenu hivyo Karibuni sana.
ni kweli tuna elimu mbovu balaa, jirani zetu kenya watatuzidi maarifa tusipofanya marekebisho. Tukiendelea kuwa na elimu mbovu akina DP World na wengine wa aina hiyo ya uwekezaji watakuja kwa wingi kuwekeza nchini mwetu wakidai wanawekeza kwa ufanisi na tija huku tukiwaangalia tu wanavyovuna rasilimali zetu kwa faida ya mataifa yaoElimu ya Tanzania ni Mbovu na mbaya sana tena iko ICU kwa sasa je, ni lini mtatumia muda wenu na hizi nguvu zenu nyingi Kuijadili?
Kati ya Elimu mbovu iliyoko Tanzania na Sakata hili la Bandari na DP World Kwako Wewe kama zinachaji kweli Mtimani mwako lipi ambalo Wengi wetu ndiyo tulitakiwa tulipigie sana Kelele tena Usiku na Mchana?Kwahiyo bandari sio jambo la msingi la kijadili ???