Unadhani kama tungekuwa na tume ya uchaguzi kama ya USA, Samia angeweza kutoboa hata kwa 10%?

True.
 
Kama ndani ya Ccm kungekuwa na democracy asingepata 20 bora!
 
Duh, najaribu kukuelewa logic yako kuhusu USA
 
Mwanamke kaumbwa kuwa msaidizi sio kiongozi
 

Harris kakataliwa kids jinsia Yake Hilo lipo wazi.
Kwa hiyo Sera ya Democratic imebadilika baàda ya Harris kugombea Urais, alikuwepo Obama, Biden akachaguliwa lakini alivyogombea Hillary na Kamala Sera za Democratic zikabadilika. Hivi inaingia kweli akilini?
 
Trump muda wote alioshindana na wanaume alipigwa chini.

Takwimu zinaonesha waliompigia Kura Harris ni weusi zaidi.

Huu uchaguzi ulijaa ubaguzi sana.
 
Hata huku hatoboi Kwa Katiba hii hii,

HATOGOMBEA!!
 
Trump muda wote alioshindana na wanaume alipigwa chini.

Takwimu zinaonesha waliompigia Kura Harris ni weusi zaidi.

Huu uchaguzi ulijaa ubaguzi sana.
Sio kweli, Biden alipata kura za weusi kuliko Kamala. In fact Trump kapigiwa kura na Latinos and blacks kuliko wakati 2016 na 2020
 
Sio kweli, Biden alipata kura za weusi kuliko Kamala. In fact Trump kapigiwa kura na Latinos and blacks kuliko wakati 2016 na 2020
Takwimu zipo!

Hiyo ni kwa mujibu wa takwimu za vyombo vya habari huko USA

Blacks wengi wamempigia Harris.

Trump anashinda sababu ya anashindana na wanawake ambao hawatakiwi kutawala USA
 
Takwimu zipo!

Hiyo ni kwa mujibu wa takwimu za vyombo vya habari huko USA

Blacks wengi wamempigia Harris.

Trump anashinda sababu ya anashindana na wanawake ambao hawatakiwi kutawala USA
Acha uongo mkuu unapotoshaje? Nimesema biden alipata kura nyingi za blacks na Latinos kuliko Harris sasa unachopinga ni nini?
Trump was able to make slight inroads with Black voters nationally, who made up about 1 in 10 voters across the country.

Nationally, about 8 in 10 Black voters supported Harris. But, that was down from about 9 in 10 in the last presidential election who went for Biden.

Source: Trump gained more women, Hispanic and Black voters in 2024
 
Harris kakataliwa kids jinsia Yake Hilo lipo wazi.
You're insane, Trump alimzidi Biden kwenye opinion polls zote na kama sio kubadili mgombea wangepoteza majimbo yote marekani.

Tuwe serious tu, angebakia biden angeshinda?
Kwa hiyo Sera ya Democratic imebadilika baàda ya Harris kugombea Urais, alikuwepo Obama, Biden akachaguliwa
Biden alikua anaenda kupigwa aliondolewa ila ikawa too late. So sidhani kuna Democrat angemuangusha Trump ndio siasa za USA, hata huyo kamala angegombea 2020 angeshinda, wana tabia ya kupokezana vijiti kutoka Republican kwenda Democrats kama aneyekua madarakani aki mess up.

Tuache ushamba, mtu msomi kama wewe unakomalia jinsia as if hao CCM mafisadi miaka 60 walikua wanaongozwa na mwanamke?
 
Endelea kudhani, Mama mitano 5
 
Lingeshindwa mno hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…