Unadhani ni kwanini kufuzu kwa Yanga SC kumewaumiza sana SIMBA SC kiasi kwamba wanaropoka kila mara kupitia vyombo vya habari

Unadhani ni kwanini kufuzu kwa Yanga SC kumewaumiza sana SIMBA SC kiasi kwamba wanaropoka kila mara kupitia vyombo vya habari

Jamaa yangu unaandikaga pumba sana sjui kwanini?hivi kwanini lkn?
 
Simba lazima waumie kwasababu walikua wanasema kua Yanga hawezi kutoboa CAFCL kwasababu kule hakuna Malumo gallants wala Rivers united.

Ila cha Kushangaza Yule Asec ambaye mwaka jana alitoka hatua ya robo fainali CAFCC ndiye ameongoza kundi lao ambaye yupo yeye na shoga yake Wydad.
 
Simba lazima waumie kwasababu walikua wanasema kua Yanga hawezi kutoboa CAFCL kwasababu kule hakuna Malumo gallants wala Rivers united.

Ila cha Kushangaza Yule Asec ambaye mwaka jana alitoka hatua ya robo fainali CAFCC ndiye ameongoza kundi lao ambaye yupo yeye na shoga yake Wydad.
Hapa lazima wapige kimya!!
 
Ndugu zangu hivi nini kimepelekea viongozi wa SIMBA kuchanganyikiwa baada tu ya Dar Young Africans SC kuingia quarter final ya CAFCL 2024.

Musemaji wao anaropoka.

Page zao zinaropoka tu.

Siamini kama SIMBA haina watu professional wa mpira.

Au SIMBA anaogopa kwamba hata kama atafuzu basi atakutana na YANGA na atapigwa 5G tena?

Kwanza wapo kwenye haya mashindano kwa huruma tu za kanuni za CAF, hii ni kwa sababu wanashiriki michuano ya mabingwa Africa wakati wao sio mabingwa wa msimu uliopita.

Mwenye kujua tatizo lao aseme jamani
Ndio maana Manara alisemga hamna AKILI, pumbav.
 
Ndugu zangu hivi nini kimepelekea viongozi wa SIMBA kuchanganyikiwa baada tu ya Dar Young Africans SC kuingia quarter final ya CAFCL 2024.

Musemaji wao anaropoka.

Page zao zinaropoka tu.

Siamini kama SIMBA haina watu professional wa mpira.

Au SIMBA anaogopa kwamba hata kama atafuzu basi atakutana na YANGA na atapigwa 5G tena?

Kwanza wapo kwenye haya mashindano kwa huruma tu za kanuni za CAF, hii ni kwa sababu wanashiriki michuano ya mabingwa Africa wakati wao sio mabingwa wa msimu uliopita.

Mwenye kujua tatizo lao aseme jamani
Yanga ndiyo wameumia sana Simba kuingia robo fainali hadi mwanachama kazimia uwanjani, hapo anasindikizwa na gongowazi wenzake
Ndugu zangu hivi nini kimepelekea viongozi wa SIMBA kuchanganyikiwa baada tu ya Dar Young Africans SC kuingia quarter final ya CAFCL 2024.

Musemaji wao anaropoka.

Page zao zinaropoka tu.

Siamini kama SIMBA haina watu professional wa mpira.

Au SIMBA anaogopa kwamba hata kama atafuzu basi atakutana na YANGA na atapigwa 5G tena?

Kwanza wapo kwenye haya mashindano kwa huruma tu za kanuni za CAF, hii ni kwa sababu wanashiriki michuano ya mabingwa Africa wakati wao sio mabingwa wa msimu uliopita.

Mwenye kujua tatizo lao aseme jamani
Yanga ndiyo wameumia sana Simba kufuzu kucheza robo fainali hadi washabiki wao kuzimia baada ya Simba kuwasulubu wale wageni wao pendwa walio wakirimu na kuwapa mbinu za kuifunga Simba. Hapa shabiki wa yanga akisindikizwa na gongowazi wenzake
 

Attachments

  • VID-20240303-WA0016.mp4
    1.6 MB
Back
Top Bottom