Utaskia hua inaniwasha, mara ooh huwa inanisababishia fangas, ooh nina aleji na harufu yake ntapata mafua sasahivi n.k,
nini kifanyike ili jamiii hii ya wanawake na wanaume pia wapende kutumia kondomu wakati wa kufanya mapenzi?
huenda leo hii asubuh, kuna mtu kaamka na maambukizi ya vvu kizembe tu.
UKIMWI UPO NA HAUNA DAWA, TUMIA KONDOMU AU BAKI NJIA KUU KUJIEPUSHA NA FEFHEHA ZA U.T.I SUGU, KASWENDE AU GONO.π
Mungu Ibarki Tanzania
Hata mkipima condom ni muhimu tena kila baada ya dakika 5 ibadilishwe mpya .Hamna mtu anaye enjoy sex akitumia condom (na hili halina jinsia) ila hali ya dunia ndio inalazimisha watu watumie.
Ukiona mtu analeta sababu nyingi ili asitumie kinga na hamjawahi kupima pamoja kujua afya zenu, wewe kimbia tu kuokoa maisha yako.
Hahahaha,aieeMimi naona wanaume nyie ndio wasumbufu kwenye kutumia kinga. Na hata mkitumia full kulalamika tu inawabana katikati mnataka mvue
ni kweli kuna vikondom siku hizi ni vidogo mno, sasa kwa tuliojaaliwa mishedede ya maana kondom inabana sana misulu na ladha halisi ya mbususu inapotea,Mimi naona wanaume nyie ndio wasumbufu kwenye kutumia kinga. Na hata mkitumia full kulalamika tu inawabana katikati mnataka mvue
Ha hahahahaHuku mtaani kwetu mambo yapo kinyume chake
Wanawake wanataka condom,wanaume hawataki
Yes,Huku mtaani kwetu mambo yapo kinyume chake
Wanawake wanataka condom,wanaume hawataki
Mbona wachina wanakula ndizi na ganda lakeHata kama ingekuwa unaweza kula ndizi yenye haijamenywa...?
Mheshimiwa hii comment bila picha ya mshedede ni ubatilini kweli kuna vikondom siku hizi ni vidogo mno, sasa kwa tuliojaaliwa mishedede ya maana kondom inabana sana misulu na ladha halisi ya mbususu inapotea,
ila SALAMA CONDOMS haijawahi kumuangusha mwenye kibamia au aliejaaliwa sana hogo, inafiti vizur mno na haibani misuli,
Nashauri vijana kutumia salama kondom na itapendeza zaidi π
π€£Hata kama ingekuwa unaweza kula ndizi yenye haijamenywa...?
Wengine wanakwenda mbali zaidi wanakula hata shina lake π Maarifa: Mizizi ya mgomba yaweza kutumika kama chakulaMbona wachina wanakula ndizi na ganda lake
picha ni kwa hisani ya faragha,Mheshimiwa hii comment bila picha ya mshedede ni ubatili
Na kwako pia usisahau kusaliππ€£
Mjadala umefungwa tukalale usiku mwema
Radha wanayoipata haizidi yenye ndinzi imemenywa banaMbona wachina wanakula ndizi na ganda lake
Inategemea na shimopicha ni kwa hisani ya faragha,
hivi mmekuaje ukimkuta kijana ana kibamia anaonekana kama kibaka tu, na yule mwenye mshedede wa maana ndie hasa anaonekana mwanaume kamili, why now days?π
Mbona zimekuwa adimu mkuu ni durex frester dume na nyingin zimejaa madukanihivyo ni vikondom vya kisasa, Tumia salama kondom gentleman hutojuta π