Mkuu kumbuka pia ata wanandoa wanaweza kuleteana ndani je! Pia watumie kingaUtaskia hua inaniwasha, mara ooh huwa inanisababishia fangas, ooh nina aleji na harufu yake ntapata mafua sasahivi n.k,
nini kifanyike ili jamiii hii ya wanawake na wanaume pia wapende kutumia kondomu wakati wa kufanya mapenzi?
huenda leo hii asubuh, kuna mtu kaamka na maambukizi ya vvu kizembe tu.
UKIMWI UPO NA HAUNA DAWA, TUMIA KONDOMU AU BAKI NJIA KUU KUJIEPUSHA NA FEFHEHA ZA U.T.I SUGU, KASWENDE AU GONO.🐒
Mungu Ibarki Tanzania
😻😻😻Hata kama ingekuwa wewe unaweza kula ndizi yenye haijamenywa...?
ni kweli, ila katikati ya tendo utam umechanganya, mambo yanabadilika, wanawake wanataka kondomu ivuliwe mb.00 ibaki yenyewe, wanaume hawatakiWanawake wanataka condom,wanaume hawataki
. Hawa viumbe waangalie tu kama walivyo, kuna jamaa alipata gono, alizinguka hii Tz lakini dawa zilidunda..Utaskia hua inaniwasha, mara ooh huwa inanisababishia fangas, ooh nina aleji na harufu yake ntapata mafua sasahivi n.k,
nini kifanyike ili jamiii hii ya wanawake na wanaume pia wapende kutumia kondomu wakati wa kufanya mapenzi?
huenda leo hii asubuh, kuna mtu kaamka na maambukizi ya vvu kizembe tu.
UKIMWI UPO NA HAUNA DAWA, TUMIA KONDOMU AU BAKI NJIA KUU KUJIEPUSHA NA FEFHEHA ZA U.T.I SUGU, KASWENDE AU GONO.🐒
Mungu Ibarki Tanzania
Real?. Hawa viumbe waangalie tu kama walivyo, kuna jamaa alipata gono, alizinguka hii Tz lakini dawa zilidunda..
. Ikabidi aende Kenya ndo alikoponea gono.
Serious issue mkuu.. Na aliyemuambukiza alikuwa ni Daktari(ke), yeye Daktari mwenyewe alishindwa kujitibu ikabidi aaze kulisambaza uraiani.. Siyo poa. 🙂🙂Real?
Daah hatari sanaSerious issue mkuu.. Na aliyemuambukiza alikuwa ni Daktari(ke), yeye Daktari mwenyewe alishindwa kujitibu ikabidi aaze kulisambaza uraiani.. Siyo poa. 🙂🙂
Yule jamaa, angekuwa maskini, wallah mashine ingekatwa 🙂🙂Daah hatari sana
Labda iwe inaongeza nguvu za kiume.Hata kama ingekuwa wewe unaweza kula ndizi yenye haijamenywa...?
Utaskia hua inaniwasha, mara ooh huwa inanisababishia fangas, ooh nina aleji na harufu yake ntapata mafua sasahivi n.k,
nini kifanyike ili jamiii hii ya wanawake na wanaume pia wapende kutumia kondomu wakati wa kufanya mapenzi?
huenda leo hii asubuh, kuna mtu kaamka na maambukizi ya vvu kizembe tu.
UKIMWI UPO NA HAUNA DAWA, TUMIA KONDOMU AU BAKI NJIA KUU KUJIEPUSHA NA FEFHEHA ZA U.T.I SUGU, KASWENDE AU GONO.🐒
Mungu Ibarki Tanzania
Hiyo inakuwa ni dawa sasa.,na sio chakula.Labda iwe inaongeza nguvu za kiume.
Ule Wa DOM? Si na yeye Angekuwa Ameshafukuzwa Chama kama Yule Dr. Wa Mkoa Wa Kilimanjaro.Huu ushauri ungeutoa kwenye ule mkutano wenu ungetisha sana..!!
Kuna Wanawake huwa wanazipiga kucha kule mbele…Kisha unashangaa ndom imebaki “Kaba Shingo” …Mimi naona wanaume nyie ndio wasumbufu kwenye kutumia kinga. Na hata mkitumia full kulalamika tu inawabana katikati mnataka mvue
Tuishie hapoYule jamaa, angekuwa maskini, wallah mashine ingekatwa 🙂🙂
Huruma ya nini na alitaka utamu kaupata, mpk ma shuleni huko ngazi ya msingi wanafundishwa sasa km yeye mbishi km veggies atulie hayo ndo matokeo..!!inasikitisha sana na inafedhehesha mno,
kuna kabinti au kavulana kametoka kupata maambukizi ya vvu, gono, kaswende au u.t.i sugu asubuh hii hii na homa itamuanza jioni,
saivi kanajichungulia tu kalivyosukutuliwa huko chini dah, inatia huruma sana aise 🐒
My lady,Huruma ya nini na alitaka utamu kaupata, mpk ma shuleni huko ngazi ya msingi wanafundishwa sasa km yeye mbishi km veggies atulie hayo ndo matokeo..!!
Ukipanda matembele, utachuma matembele.!
Hiyo uwe unataka au hutaki..!
Na wewe ulijuaje km kasukutuliwa km sio wewe ndo fataki mwenyewe?? 😹