Unadhani ni kwanini wanawake wengi hawapendi kutumia kinga?

Kwasababu ccm hawataki tume huru ya UCHAGUZI na wanaiba kura kwa kutumia vyombo vya dola.
mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi anateuliwa na anayeenda kugombea urais.hapo ni tume huru au geresha?
 
Kipanya anasema hivi 👇

 
Muanze veggies kupeana huo ushauri mana mnapenda ngono zembe 😹
 
Muanze veggies kupeana huo ushauri mana mnapenda ngono zembe 😹
kutumia kinga ni ushauri wangu mujarabu na wa upendo sana kwa wadau wote wa JF hususani jukwaa hili muhimu sana na si vinginevyo mya lady 🐒
 
mimi ni mtafiti mwandamizi gentleman,
na huo ni ushuhuda wa miongoni mwa matokeo ya utafiti
Katika kufanya tafiti kuna namna nyingi za kukusanya taarifa zikiwemo participant methord na questionnaire method. Tunaomba kujua wewe umetumia njia ipi kati ya izo kufika hitimisho.
 
Katika kufanya tafiti kuna namna nyingi za kukusanya taarifa zikiwemo participant methord na questionnaire method. Tunaomba kujua wewe umetumia njia ipi kati ya izo kufika hitimisho.
hiyo si muhimu sana, kwasababu its not for academic purposes,
jambo la maana zaidi ni kila moja kujitahiodi kutumia kondomu au kubaki njia kuu
 
Hamna mtu anaye enjoy sex akitumia condom (na hili halina jinsia) ila hali ya dunia ndio inalazimisha watu watumie.

Ukiona mtu analeta sababu nyingi ili asitumie kinga na hamjawahi kupima pamoja kujua afya zenu, wewe kimbia tu kuokoa maisha yako.
Nikipaka mafuta mengi kuna ubaya???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…