Unadhani ni kwanini wito wa kuichangia CHADEMA pesa ya maji na kuendeshea chama hicho uliotolewa na kiongozi wake mpya unasuasua kama vile umepuuzwa?

Hili swali ulipaswa kujiuliza wewe, umeshaamka usiku wa manane na ukaanza soma haya matakataka yako unayoandika hakika utajuta kwanini hauna akili kiasi kikubwa. Mfano...wewe na Lisu nani mwenye akili?
relax basi gentleman,
kibaka omba omba hajawahi kua na akili wewe,

yaan una akili halafu omba omba pesa? huo si utapeli gentleman?πŸ’
 
Kuna kuna vituo vya afya vina hudumia zaidi ya watu laki tano lakini ha ina hata X-ray mashine ,ila pesa za kutoa rushwa na kugawa rushwa mnazipata halafu bado tuwaqmini kwamba mpo kwa ajili ya wananchi.
Gentleman,
kwanini chadema wamesusa kuchangia pesa kwajili ya viongoz wao kunywa pombe na kula nyama?πŸ’
 
Gentleman,
kwanini chadema wamesusa kuchangia pesa kwajili ya viongoz wao kunywa pombe na kula nyama?πŸ’
CHADEMA hawana siasa zenye ushawishi na hawajajua watanzania wanahitaji siasa za aina gani ili waungwe mkono

Lakini CCM inaumiza sana taifa hili kwa sababu ya ujinga wa wana CCM pamoja na viongozi wao wakipewa msaada mkubwa kabisa na jeshi la polisi nchi ina katwa kidogo kidogo mtakapo kuja kugundua na kushtuka nchi itakuwa imechakaa kabisa na naomba mungu asaidie mgundue mapema maana huko tuendako hata watoto na wajukuu zenu watakinywea kikombe hiki mana zama hubadirika pia
 
Wewe huwa kinawasha muda wote. Unapaka nini njia haipoi?
 
Kuendesha taasisi sio kupiga domo na kumchafua FAM alishindwa kuchangisha hata miln30 za mkutano seuze za kuendesha chama
 
Wewe huwa kinawasha muda wote. Unapaka nini njia haipoi?
ikiwa huna mawazo mapya wala fikra mbadala dhidi ya hoja mahusisi mezani,

huna haja ya kujiexpose ulivyo kwa wadau πŸ’
 
kwanini hujachangia chadema mpaka sasa gentleman?πŸ’
 
πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€

Kama watu hawachangii ni kwa sababu hawana hela na kama hawana hela ni kwa sababu CCM Iko madarakani.

Kama hawachangii kwa kuwa hawaoni umuhimu wa kuchangia basi jua huo ni ujinga. Ujinga umeongezeka sana siku hizi kwa kuwa CCM Iko madarakani.
 
hivi ni kiasi gani kinahitajka gentleman?

na halafu,
mwaka jana kwaajili ya kuchangia gari zilihitajika kiasi gani na kilipatikana kiasi gani?

gari ilinunuliwa au pesa iliyeyukia kwenye bapa na nyama?πŸ’
 
kwahiyo kutapeliwa pesa na kibaka wa siasa hapakuumizi kabisa popote gentleman? dah!

basi wewe mvumilivi sana aise kamanda πŸ’
Bora huyu angalau anaonesha anachotaka kufanya,sio baadhi ya viongozi wa CCM, kama Wasira anaongopa dhahiri kabisa,ni kweli Siasa ni maneno,ila yaendane na ukweli,ukija na maneno mengi na tukiyapima tunaona kabisa yana ukweli au uongo.mfano wanachodai Chadema ni cha kweli na kipo dhahiri kabisa.na sisi wananchi kinatugusa kwa asilimia 100.CCM walishawahi kutuwekea mwenyekiti wa hovyo mtaani kwetu mwaka 2019,wananchi tukateseka naye sana,na yeye akawa anatamba tu,kuwa ataendelea kuwa mwenyekiti daima.huku utendaji wake ukiwa mbovu,mtu wa dili,kuuza mashamba ya kijiji,kuwadhurumu wananchi ardhi zao na kuziuza kwa matajiri kwa vile tu hawana hati miliki.laiti uchaguzi ungekuwa huru na haki,uenyekiti angeusikia kwenye bomba tu
 
kwani mwaka jana kwaajili ya kununua gari alihitaji kiasi gani na ilipatikana kiasi gani?

Na je, gari ilinunuliwa au mazingaumbwa tu?

haya,
sasa hivi kinahitajka kiasi gani na ni ngapi zimeshachangwa kwa mfano?

huyu ni afadhali ee gentleman, dah πŸ’
 
hivi ni kiasi gani kinahitajka gentleman?

na halafu,
mwaka jana kwaajili ya kuchangia gari zilihitajika kiasi gani na kilipatikana kiasi gani?

gari ilinunuliwa au pesa iliyeyukia kwenye bapa na nyama?πŸ’
Gari ilikuwa mambo yake binafsi.
 
Hauna hoja ya kunishawishi nisiwachangie
 
Ulichokiandika kina beba uwezo wa akili yako...huko kusuasua umejuaje umeshachungulia Account yao? Mna akili kama ya Kasongo Wasira kila mara Lisu ama Chadema. Muda mwingine puuza ujinga uliojaa kichwani mwako.
Mkuu, hawa jamaa wako busy na mambo makini ya CHADEMA; ila ya yule aliye hoji mbona FOMU 1 haikutolewa hawatuelezi kwa kinagaubaga!
 
Mkuu, hawa jamaa wako busy na mambo makini ya CHADEMA; ila ya yule aliye hoji mbona FOMU 1 haikutolewa hawatuelezi kwa kinagaubaga!
Gentleman,
umechangia kwanza au ndio wale mnaokwepakwepa kuangalia upepo πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…