Basi mkuu usiwatukuze saana kisa ukristo wako Mchamungu ndio mbora zaidi mbele ya Mwenyezimungukwani wanawaua bila sababu,...
sure,...na ktk takwimu
75.4% Jewish, 16.9% Muslim, 2.1% Christian, and 1.7% Druze, with the remaining 4.0% not classified by religion, and a small Baha'i community,....Baal ni ibada ya masanam,...na watu wapo wanaoabudu sanamu,...na MUNGU alileta mitume akina ezekiel kukemea kuabudu sanamu na jua,,,...ila hadi leo watu wanaabudu sanamu,...hukumu ya Mungu ipo palepaleeeeeeee ndugu,....
Utakufa na udini ww angalia maisha yako na Allah wako
wanauwana wanagombania mipaka,....mimi sijabariki kuuwana kwaoo,...ila inabidi utubu ndugu,....umeita mitume wa Mungu wehu,...Yohana alitokewa na Yesu akiwa ktk kisiwa kimoja patmo,...akamwambia uyaonayo hapa yaandike,...akaandika,...wewe leo unamtukana...,,katubu ndugu..,Mkuu una justify uuaji wa binadamu yeyote?
Aisee acha dini haijakusaidia chochote
Jambo kubwa ni kujua binadamu wote sawa mbele za Mungu na Israel historia yake ni yakobo ambaye aliambiwa na Mungu utakuwa taifa kubwa..iko hivyo na ahukumu ya Mungu ni ya haki kwa kila binadamu,....cha msingi tutende mema tuishi ktk njia Mungu anazotaka tuishi,...siku ya hukumu ipo na hakuna muisrael ambaye anafanya dhambi alaf asihukumiwe,...hukumu ya MUNGU NI ya hakiiiii,...iko hivyo
kwani wanawaua bila sababu,...
sure,...na ktk takwimu
75.4% Jewish, 16.9% Muslim, 2.1% Christian, and 1.7% Druze, with the remaining 4.0% not classified by religion, and a small Baha'i community,....Baal ni ibada ya masanam,...na watu wapo wanaoabudu sanamu,...na MUNGU alileta mitume akina ezekiel kukemea kuabudu sanamu na jua,,,...ila hadi leo watu wanaabudu sanamu,...hukumu ya Mungu ipo palepaleeeeeeee ndugu,....
naamini ila Israel ni taifa teule..,,na kuamini wanadamu ni wateule kivipi???UNAJUA MAANA YA MTEULEMkuu Evans ukiambiwa Israel na Tanzania ni sehemu mbili sawa kabisa bila upendeleo wowote mbele ya mungu utakubali kweli?
Yaani unaamini Wanadamu wote duniani ni "Wateule" mbele za Mungu kama wanadamu?Unaamini hilo kweli?
Ila jua hili..,,bible inasema jitahidini kuingia ktk njia nyembamba maana wengi watataka kuingia wasiweze.,,,ndomaana yake hiyo ndugu.,,..njia ni nyembamba nayo imesonga na wanaifuata ni wachache,...Huo ndio ukweli,Christianity in Israel is just 2.1%
stupid king. huna lolote umejaa mavi kichwani.Kajifundishe kuandika vizuri kwanza halafu njoo tena!
Umenifanya nichekie tumboni, yesu/issa ni mjimbe wa mungu
Kila anayemwamini Mungu anafanya kuirithi ahadi ya ibrahimu. Kanani/parestina/itabidi ilikuwa ni mfano tu.point ni hii,...unaifahamu asili ya israel????,..asili ni yakobo ambaye ni mtoto isaka,..isaka ni mtoto wa ibrahim,..Mungu alianza kusema na Ibrahim,,ntakufanya uwe taifa kubwa,.Mungu pia akasema na isaka pia kwa hizo habari,..na baadae Yakobo,..Mungu akasema nae ntatiza ahadi yangu niliyosema,..Mungu akamwambia yakobo utaitwa israel,...tangu pale ndo israel ikazaliwa,...hiyo fact ya kwanza,..2.akamwambia litabarikiwa taifa lako na atakaye lilaani nae ntamlaani na atakaelibariki nae ntambariki,..uwezi kujilinganisha Tz na israel WAKATI Mungu anasema na waasisi wa taifa husika,..alafu ukizungumzia spiritual issues ni mambo tafauti na utaifa,...hope ur christian soma bible deeply bt usisome uwe mbishi huwz kuambua kitu bt soma indeep upate knowledge ikusaidie maishani mwako
wanauwana wanagombania mipaka,....mimi sijabariki kuuwana kwaoo,...ila inabidi utubu ndugu,....umeita mitume wa Mungu wehu,...Yohana alitokewa na Yesu akiwa ktk kisiwa kimoja patmo,...akamwambia uyaonayo hapa yaandike,...akaandika,...wewe leo unamtukana...,,katubu ndugu..,
LebronWade
naamini ila Israel ni taifa teule..,,na kuamini wanadamu ni wateule kivipi???UNAJUA MAANA YA MTEULE
Huo uteulie ulisoma wapi? au ulihubiriwa na akofu/mchungaji/nabii? acheni kujitoa ufahamu, hiyo Israeli mnayo iabudu ndo Inayo ongoza kwa kuwabagua Waafrica, soma historia ya Ubaguzi wa rangu kule Africa kusini ujue mchango wa Israeli ulikuwa ni upi, acheninaamini ila Israel ni taifa teule..,,na kuamini wanadamu ni wateule kivipi???UNAJUA MAANA YA MTEULE
Wanaongoza kwa kuandika na media kuliko taifa lolote dunianindiyo taifa linaloishi kwa kubebwa na kulialia sana.
na ndiyo taifa lisilo na eneo la hata nchi moja ya ardhi halali
Huo ndio ukweli,Christianity in Israel is just 2.1%
LebronWade ww nimekutisha nini????????Ndio shida inapoanzia....lazima muanze kwa kumtisha mtu kwanza..why scaring people?
Wameandika Wayahudi kama wewe na mimi,intentions zao za kibinadamu hatuzijui,ila wanaponiaminisha wao ni bora zaidi ya wanadamu wengine mbele ya Mungu nina haki ya kuhoji kwa hasira kabisa
Hebu twende na historical timelines maandishi yamevumbuliwa lini na fasihi andishi yenye sentensi organized na uandishi sanifu kabisa ulianza lini...usiniletee stori ya kuoteshwa ndoto
Hiki ndio kipimo kimojawapo cha ukanjanja katika mambo ya kidini.Mkuu mambo kama haya maaskofu/wachngaji/manabiii huwa hawaelezi waumini wao, pale ni full kulishwa maneno na kuambiwa tuombee taifa la Israeli, Hawa jamaa ni wabaguzi hakuna mfano,