Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukumbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.

5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.

6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8: Ni Benjamin Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.

Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kubbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu waliliona kama sio kitu.

9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
Mkuu no 5 na 8 kama ume contradict 🙄Baba halisi hapo ni nani Kati ya David Ben Gulion na Benjamin Ben Gulion
 
Hivi bado kuna watanzania bado wana haya mawazo magando yaliyojaa ujinga wa zama za mawe za kati.... Kwa taarifa yako ukristo israel n 2% tu ya waisraeli... Soma hapa Religion in Israel - Wikipedia, the free encyclopedia

Ili ujue ujue hili taifa lina wenye nalo kidin na sio ukristo wala uislam....

Hebu niambie mungu alikuwa wapi hitler alivyowateketeza....
X mass na mwaka mpya nilikuwepo haifa city mkuu,kilichonishangaza siku ya x mass hakukuwa na sikukuu yyt ilikuwa ni siku ya kawaida,na mleta uzi amesahau kitu kimoja km ni nchi pekee duniani ambayo jumapili ndio mwanzo wa wiki km ilivyo nchi nyingine jumatatu kuwa ndio mwanzo wa wiki,jamaa weekend wanaianza ijumaa saa 6 mchana na jumamosi full day,jumapili wanaingia mzigoni,na jamaa si wabaguzi wa dini wala rangi km tunavyohaminishwa
 
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukumbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.

5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.

6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.

Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kubbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu waliliona kama sio kitu.

9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
Facts ya 3 ni uongo! Nchi haiwezi ikaonekana kwenye ramani ya dunia ukaikimbia kwa masaa mawili ukaimaliza. Zanzibar yenyewe kwenye ramani ya duniani haionekani, nenda kakimbia uone kama hujamaliza miezi kuimaliza.....
 
Mkuu naona huu Uzi watu wanakuja na hitikadi za dini zao lkn ukweli unabaki pale pale kuwa cc niwayaudi ndo maana tunachukiwa hata waungane awawezi Fanya kitu lile ni taifa la mungu tangu musa alipowaamisha kutoka kwa farao aliye watumikisha wayaudi kama watumwa nafikili kama umesoma kutoka utajua namanisha nn kwahyo hilo limekuwa taifa la watu makin hata hao wamarekani wanaomba ushauri kwao asante sana baba
sisi mataifa mengine ni mataifa ya shetani..?
 
X mass na mwaka mpya nilikuwepo haifa city mkuu,kilichonishangaza siku ya x mass hakukuwa na sikukuu yyt ilikuwa ni siku ya kawaida,na mleta uzi amesahau kitu kimoja km ni nchi pekee duniani ambayo jumapili ndio mwanzo wa wiki km ilivyo nchi nyingine jumatatu kuwa ndio mwanzo wa wiki,jamaa weekend wanaianza ijumaa saa 6 mchana na jumamosi full day,jumapili wanaingia mzigoni,na jamaa si wabaguzi wa dini wala rangi km tunavyohaminishwa

Nimependa experience yako... But kuhusu ubaguzi natofautiana na wewe jaribu kuingia you tube uone waethiopia na wasudan wanavyonyanyaswa
 
point ni hii,...unaifahamu asili ya israel????,..asili ni yakobo ambaye ni mtoto isaka,..isaka ni mtoto wa ibrahim,..Mungu alianza kusema na Ibrahim,,ntakufanya uwe taifa kubwa,.Mungu pia akasema na isaka pia kwa hizo habari,..na baadae Yakobo,..Mungu akasema nae ntatiza ahadi yangu niliyosema,..Mungu akamwambia yakobo utaitwa israel,...tangu pale ndo israel ikazaliwa,...hiyo fact ya kwanza,..2.akamwambia litabarikiwa taifa lako na atakaye lilaani nae ntamlaani na atakaelibariki nae ntambariki,..uwezi kujilinganisha Tz na israel WAKATI Mungu anasema na waasisi wa taifa husika,..alafu ukizungumzia spiritual issues ni mambo tafauti na utaifa,...hope ur christian soma bible deeply bt usisome uwe mbishi huwz kuambua kitu bt soma indeep upate knowledge ikusaidie maishani mwako
Peleka upuuzi huko. Yaani wewe ni upumbavu umekujaa kichwa kizima
 
Kweli mkunje samaki angali mbichi, hizi dini za utotoni nikumeza bila kujali, ingekua unajifunza dini baada ya kuwa na elimu. Matokeo yangekuwa tofauti
 
Nimependa experience yako... But kuhusu ubaguzi natofautiana na wewe jaribu kuingia you tube uone waethiopia na wasudan wanavyonyanyaswa
Waethiopia wanaenjoy hapa mpk ktk jeshi la israel kuna waethiopia wengi mno sina hakika sana khs wasudan ila kuna jamaa aliniambia kuna sehemu maalum ya kuishi wamepewa,khs ubaguzi binafsi sijawahi chembe ya ubaguzi kwa waisrael,na experience na east europe nimeuona ubaguzi wa wazi wazi,hlf khs wahamihaji wanaoingia israel kupitia egypty wakikamatwa na waegypty uwa wanawaua kabla hawajaingia israel
 
hawa ndo wabaguzi bora kabisa kuwahi kutokea....
Hapo napinga kabisa. Myahudi ameteseka kwa miaka zaidi ya elfu 5. Aliwekwa utumwani Misri, aliteseka kuingia kanaan, kabla ya hapo Abraham alitembea miaka mingapi toka Iraq kwenye mito ya tigris na Elfragtes? je vita vingapi wamepigana ili waweze kusurvive?

Mazalia yao tunayaona yanavyozidi kuteseka ulimwengu mzima. Wafalasha ilibidi wawachukue toka Ethiopia lakini je waliweza kuwaokoa wahima toka kwa Interahamwe? Migration ilikuwepo na itaendelea ingawa sasa hivi inakuwa controlle)d na majeshi ya mipaka lakini tukumbuke watu walihama na watazidi kuhama kama unavyoona wasyria na waafghan wanahamia ulaya. Toka Iraq Abraham alihamia Kanaan na mke wake Sara pamoja na mjakazi wake alompatia toto (soma agano la kale) Myahudi yupo Tanganyika, yupo ulaya, Amerika na popote kama mtu mweusi alivyo kila mahala. Utumwa na kuhama vimechangia pamoja na kukimbia unyanyasaji na kuteswa kwa karne nyingi.
 
Is mosad a terrorist organization????
Kiongozi inategemea unatumia tafsri ipi kutafsiri terrorism. Lakin ninapendekeza kwako kitabu kinaitwa the General's Son kimeandikwa na mtoto wa generali wa jeshi la israel aliyehusika katika harakati za kuanzisha taifa la israel....! Google ....hyo title..pia iko video yake youtube. Please go for it.
 
Kiongozi inategemea unatumia tafsri ipi kutafsiri terrorism. Lakin ninapendekeza kwako kitabu kinaitwa the General's Son kimeandikwa na mtoto wa generali wa jeshi la israel aliyehusika katika harakati za kuanzisha taifa la israel....! Google ....hyo title..pia iko video yake youtube. Please go for it.
Thanks kaka. Nimewaza hata kabla ya kugugo nimegundua terrorism term ambayo ni too subjective. It depends na how you narrate it. Nimekuelewa kiongozi wangu na nashukuru umejibu kwa hekima kubwa.
Pia kuna mdau kachangia kwamba mosad ni most trained and well fed na wana kitengo maalum cha assassins. Hapo nikapata maana halisi uliyoikusudia na nakuunga mkono.
 
Nampe
Shukrani kwa elimu.

Kiboko ya hawa jamaa alikuwa Hitler, aliwachoma moto uchi vitoto vya Israel..
Nda sana hitler aliuonesha uimwengu kwamba waisrael ni watu kama wengine.Tena ni wazuri hata kubanika
 
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukumbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.

5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.

6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.

Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kubbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu waliliona kama sio kitu.

9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
Pamoja na kufanya yote lakini;

1: Hakuwahi kutembelea concentration camp ambazo waisrael walitekwa kuteswa na kuuawa hata moja.

2.Mchumba Wake wa kwanza alikuwa muisrael lakini kwa kukosa ujasiri alikuwa anaogopa kumuongelesha mara kwa mara.

3. Daktari Myahudi aliihudumia familia yake bure kabisa kutokana na ukata wa familia yao. Hitler alihakikisha anamuhifadi hadi akamuita myahudi asiye na matatizo / a noble jew.

4: Mtu aliyempendekezea nembo/logo ile iliyotumika na Nazi au jeshi la Hitler alikuwa ni askari wa ujerumani mwenye asili ya uyahudi. Baada ya kugundua ni Muyahudi SS ambayo ni kama bunge la enzi za hitler walimuachia huru.

5: Kabla ya mauaji ya wayahudi, Hitler aliwapa nafasi waingereza na wamarekani kuwachukua wakimbizi wa Kiyahudi nchini mwao lakini walikataa.
 
M
Evans with all due respect,yaani wewe unaamini Israel ni taifa la mungu zaidi kuliko Tanzania?Yaani haya mataifa mawili hayana usawa wowote kwa Mungu?Kwa kosa gani hasa Mtanzania alilomkosea huyo Mungu kiasi cha kumuweka daraja la chini namna hiyo?

Hii concept haingii akilini kabisa,put the book down and let us discuss this like civilized human beings

Haiwezekani ukanipa concept ya kibaguzi namna hiyo halafu nikuone wa maana,huo mstari wa kibaguzi namna kwenye biblia nitauruka kwa makusudi na alieuandika kwakweli atakua ana matatizo...huu ni unyama mbaya sana,kuambukiza wanadamu ubaguzi mbovu namna hii
mkuu na kama anaamini hivyo basi inatubidi sasa tuungane na wasioamini uwepo mungu.
 
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer, PHDs na Graduates (135 per 10,000).

2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 alipewa ofa ya Urais wa Israel lakini aliona akatae.

3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukumbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.

4; Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono wapalestina na inahubiri Israel ivunjwevunjwe kwa amani ili wapalestina wabaki na nchi yao.

5: Baba wa taifa na mwanzilishi wa Israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion.

6: Jiji la Yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.

7: Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.

8: Ni DAVID Ben Gulion founder wa Israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa la Negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.

Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kubbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kilimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima yanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu waliliona kama sio kitu.

9: Karibu uchumi wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chama ni chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi, popote alipo nyumbani kwanza.
Nimeipenda sana
 
Back
Top Bottom