Unaelewa nini juu ya Israel? Anza na hizi dondoo za aina yake

Mkuu mambo kama haya maaskofu/wachngaji/manabiii huwa hawaelezi waumini wao, pale ni full kulishwa maneno na kuambiwa tuombee taifa la Israeli, Hawa jamaa ni wabaguzi hakuna mfano,
unajua kazi mchungaji ni nini...,,mchungaji sio Mungu,...naishi kwa ajili ya Mungu..,nimpendeze Mungu nisifanye dhambi....,,
 
daahh kwani nan ameiabudu Israel mbona unatunga ndugu..,,Tunamuabudu Mungu pekee..,,,nielewe tafadhali
 
watahukumiwa nawao..,,,si binadamu..,,Hukumu ya MUNGU Haibagui ndugu..,,kuwa muisrael sio kwamba wewe ndo huukumiwiii..,,haipo hivyo..,,
 

Uko sahihi mkuu.
Hili wa tanzania wengi hawalijui..kuwa Israel waliwahi kujenga maabara ya utafiti ya kutengeneza silaha itakayo ua watu weusi tu..na kuwaacha makaburu,yaani watu weupe.Ukiwauliza wasauzi wengi watakuambia .Waliwasaidia sana makaburu kutengeneza silaha za nyuklia.
Nyerere akawaambia'' tengenezeni tu silaha za nyuklia,lakini jueni kuwa zitakuwa zakwetu''.Na kweli. Baada ya Mandela kuwa raisi zikawa chini ya mamlaka yake,lakini kwa busara aliyonayo akaamuru ziteketezwe.
Waisrael ni noma..
 
 
Yesu aliwaaita wayahudi ni wa hekalu la shetani,sijaona tena akigeuka na kuwasifu hao watu
 
Zama kwenye hoja acha porojo
Kwa hiyo uharibifu wa hii lugha yetu ya Kiswahili wewe unaona ni sawa tu? Muhimu kwako ni hoja tuu? Hii lugha ni yetu ni wajibu wa kila mmoja kuilinda ili isiharibiwe
 
Kuteketezwa na Hitler ilikuwa ni plan ya waisrael mwenyewe ili Kupata justification ya kwenda kuanzisha taifa lao wenyewe..kuna watu hawaamini kama holocaust ilikuwa kwel akiwemo rais mstaafu wa Iran Ahmednejd
 
Kuteketezwa na Hitler ilikuwa ni plan ya waisrael mwenyewe ili Kupata justification ya kwenda kuanzisha taifa lao wenyewe..kuna watu hawaamini kama holocaust ilikuwa kwel akiwemo rais mstaafu wa Iran Ahmednejd

Hahaha umesoma zionism wewe kweli au unatapika ndoto na simulizi za vijueni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…