evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,333
unajua kazi mchungaji ni nini...,,mchungaji sio Mungu,...naishi kwa ajili ya Mungu..,nimpendeze Mungu nisifanye dhambi....,,Mkuu mambo kama haya maaskofu/wachngaji/manabiii huwa hawaelezi waumini wao, pale ni full kulishwa maneno na kuambiwa tuombee taifa la Israeli, Hawa jamaa ni wabaguzi hakuna mfano,
daahh kwani nan ameiabudu Israel mbona unatunga ndugu..,,Tunamuabudu Mungu pekee..,,,nielewe tafadhaliHuo uteulie ulisoma wapi? au ulihubiriwa na akofu/mchungaji/nabii? acheni kujitoa ufahamu, hiyo Israeli mnayo iabudu ndo Inayo ongoza kwa kuwabagua Waafrica, soma historia ya Ubaguzi wa rangu kule Africa kusini ujue mchango wa Israeli ulikuwa ni upi, acheni
Origin yao ni wapisoma uelewe!
taifa hilo ni magumashi,halina ardhi yake,waporaji tu,wameamua tu kukalia eneo la watu.
watahukumiwa nawao..,,,si binadamu..,,Hukumu ya MUNGU Haibagui ndugu..,,kuwa muisrael sio kwamba wewe ndo huukumiwiii..,,haipo hivyo..,,Israeli moja ya mataifa ya kwanza kabisa kuhalalisha Ushoga duniani, Isareli ndo nchi ya kwanza kuhalalisha Ushoga jeshini na juzu katu USA kafuatia.
Israeli ni moja ya mataifa yanato ongoza kwa kuwabagua Waafrica, Isaralei inaubaguzi wa kiwango cha juu kabisa kwa Waafrica, Haitakiwa waafrica waishi Israeli na huwa wanafukuzwa au hata kuuwawa, Wa ethipoia wanateswa sana Isareli na wameisha katazwa kuzwaliana.
Israeli ndo Taifa pekee lililo kuwa linawaunga mkono Makaburu wa Africa kusini kipindi cha ubaguzi wa rangi kwa nguvu zote, ingawa hata Ulaya ilikuwa inaegemea kwa makaburi ila Isaraeli walikuwa ni zaidi.
Tatizo la Wakristo wenzangu wa Bongo tumeshikiwa akili, tumelishwa maneno na kuamini, ukifuatilia matendo ya nchi ya Isaraeli utagundua kwamba huu uteule ni siasa tu.
Acheni ksuhiukiwa akili someni vitabu
Israeli moja ya mataifa ya kwanza kabisa kuhalalisha Ushoga duniani, Isareli ndo nchi ya kwanza kuhalalisha Ushoga jeshini na juzu katu USA kafuatia.
Israeli ni moja ya mataifa yanato ongoza kwa kuwabagua Waafrica, Isaralei inaubaguzi wa kiwango cha juu kabisa kwa Waafrica, Haitakiwa waafrica waishi Israeli na huwa wanafukuzwa au hata kuuwawa, Wa ethipoia wanateswa sana Isareli na wameisha katazwa kuzwaliana.
Israeli ndo Taifa pekee lililo kuwa linawaunga mkono Makaburu wa Africa kusini kipindi cha ubaguzi wa rangi kwa nguvu zote, ingawa hata Ulaya ilikuwa inaegemea kwa makaburi ila Isaraeli walikuwa ni zaidi.
Tatizo la Wakristo wenzangu wa Bongo tumeshikiwa akili, tumelishwa maneno na kuamini, ukifuatilia matendo ya nchi ya Isaraeli utagundua kwamba huu uteule ni siasa tu.
Acheni ksuhiukiwa akili someni vitabu
1: Ni nchi pekee duniani yenye wasomi wengi maengineer,PHDs na Graduates (135 per 10,000).
2: Mwanasayansi Albeit Einstain 1952 Alipewa ofa ya Urais wa israel lakini aliona akatae.
3; Ndio nchi nyembamba unaweza kukumbia kutoka mashariki hadi magharibi kwa masaa mawili tu.
4;Dini ya waisrael NETUREI KATA inawaunga mkono waparestina na inahubiri israel ivunjwevunjwe kwa amani ili waparestina wabaki na nchi yao.
5:Baba wa taifa na mwanzilishi wa israel hii ya leo alikuwa ni ethiest/AAMINI UWEPO WA MUNGU aliitwa David Ben Gulion
6:Jiji la yerusalem tangu liwepo, limeshabomolewa na kuharibiwa kabisa mara mbili, kutekwa mara 23, Kuvamiwa mara 52, kutekwa na kukombolewa mara 44 na ni jiji kongwe sana duniani.
7:Chanzo cha uwepo wao ni familia ya jamaa aliitwa YAKOBO aliyekuwa na watoto 12. Familia moja ikazaa taifa.
Updates
8: ni Benjamin Ben Gulion founder wa israel aliyeahidi dunia ataibadili jangwa LA negevu kuwa bustani na kuilisha dunia.
Kwa kuonyesha mfano alienda kuishi jangwani kubbuz sda boker nyumba yake. Leo kibbuz ndio kittovu cha kulimo duniani. Kuna makampuni lukuki ya tech na dunia nzima kanaenda kujifunza kilimo na ufugaji lililokuwa jangwa ambalo waarabu waliliona kama sio kitu.
9: karibu uchumi Wa dunia nzima na matajiri wakubwa duniani ni waisrael na wanasaikolojia chamani chao. Wanamiliki taasisi lukuki za kipesa. Wao wanaamini Israel ni damu sio ardhi popole alipo nyumbani kwanza
Yesu aliwaaita wayahudi ni wa hekalu la shetani,sijaona tena akigeuka na kuwasifu hao watu
Zama kwenye hoja acha porojoKajifundishe kuandika vizuri kwanza halafu njoo tena!
try to show maturity sometimesKhs nin dada clever
try to show maturity sometimes.Khs nin dada clever
Kwa hiyo uharibifu wa hii lugha yetu ya Kiswahili wewe unaona ni sawa tu? Muhimu kwako ni hoja tuu? Hii lugha ni yetu ni wajibu wa kila mmoja kuilinda ili isiharibiweZama kwenye hoja acha porojo
Acha utani nchi gani haina special killing squad!!!!?Nchi pekee ambayo katika shirika lake la ujasusi MOSSAD ina special killing squad (assasins ) linalojulikana kama KIDONS.
Kuteketezwa na Hitler ilikuwa ni plan ya waisrael mwenyewe ili Kupata justification ya kwenda kuanzisha taifa lao wenyewe..kuna watu hawaamini kama holocaust ilikuwa kwel akiwemo rais mstaafu wa Iran AhmednejdHivi bado kuna watanzania bado wana haya mawazo magando yaliyojaa ujinga wa zama za mawe za kati.... Kwa taarifa yako ukristo israel n 2% tu ya waisraeli... Soma hapa Religion in Israel - Wikipedia, the free encyclopedia
Ili ujue ujue hili taifa lina wenye nalo kidin na sio ukristo wala uislam....
Hebu niambie mungu alikuwa wapi hitler alivyowateketeza....
IMANI POTOFUNdio.maana Tanzania tumelaaniwa kutokana na serikali yetu Kuvunja uhusiano na Israel na kukumbatia wapalestina
Kuteketezwa na Hitler ilikuwa ni plan ya waisrael mwenyewe ili Kupata justification ya kwenda kuanzisha taifa lao wenyewe..kuna watu hawaamini kama holocaust ilikuwa kwel akiwemo rais mstaafu wa Iran Ahmednejd
Hiyo huwezi kuelewa ipo juu zaidi ya uwezo wa akili yako ya kukariri madesaHahaha umesoma zionism wewe kweli au unatapika ndoto na simulizi za vijueni
ndio taifa lililosababisha dunia kukosa amani na ndio taifa waanzilishi wa Ugaidi