Mpwa siuliziii utumbo wa ngombe au mbuzi...Uncle tangu nikiwa mdogo, nilikuwa naomba kweli utumbo wasiutupe, nausafisha, natia viungo nakaanga teh, hadi leo nikiuona mate yananitoka. Cha kushangaza nikikuta tu nyama imechanganywa na utumbo wa ng'ombe sigusiìiiiii
Mpwa siuliziii utumbo wa ngombe au mbuzi...
Naulizia wa Kuku..
Hahaha..... Umebarikiwa saana.Uncle si ndo nimeusifia utumbo wa kuku. Ukikuta sehemu niletee tafadhali; usisahau na kapilipili. (Mate yamenitoka)
Hahaha..... Umebarikiwa saana.
Kwa hiyo kwa kuku mpwa wewe unatupa manyoya tu! haha hata sikuiti na sitaki kuona mtu anaula.
Sijawahi...na sidhani kama nitaweza.Mpwa pale natupa manyoya tu. Ushawahi kula supu ya miguu ya kuku?
Tena hapo unapiga uongo mwingi matajili wote watajilikana na kazi zao [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shibe bhn akapita mwajuma unae asha unaeMkuu vinaliwa tena sana tu.
Ikifika mida ya jioni unaona watu wanapita na masinia yamejaa miguu, utumbo na vipapatio kutokea Kisutu huko.
Hio ndio misosi yetu, ukipata na tembele ukakazia na maji ya Kandoro ya kutosha kinachofuata ni kuvua tu shati na kulala kibarazani kupata upepo safi kabisa huku unahemea juuu juu.
Miguu ya kuku natafuna sana aisee nahisi kama katika makuzi yako hivi vitu havikuwa common vinakupa shidaKuna mwana siku nipo foleni dukani..nikaona kapimiwa miguu kama ndoo nzima. nikawa najiambia nikiwa nakula miguu si nitahisi nakula mkono wa binadamu.
Daah ila hongera kwao wamepewa roho nzuri ya kuingiza kila kisicho najisi.
Teh pole sana uncleSijawahi...na sidhani kama nitaweza.
Kuna siku nilijaribu shingo za hawa wa kisasa nikakimbilie kwenye sink.
we mtoto wa kisure unajuje hizi?Dagaa mchele na miguu ya kuku
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]Uncle si ndo nimeusifia utumbo wa kuku. Ukikuta sehemu niletee tafadhali; usisahau na kapilipili. (Mate yamenitoka)
Acha basi, unaona kabisa nilivo chikunde, kweli niwe wakishua???we mtoto wa kisure unajuje hizi?
Chikunde vipi tena? Isijekuwa ndo umeghairi kunipeleka airport sijui ipo ipo?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]
Shukrani Mpwa.Teh pole sana uncle
Shukrani Mpwa.
Ila hamna huruma mpwa...kichwa cha kuku kilivyo kikavu unan'gata wapi?
HahaTeh unang'ata tu mifupa na kufyonza
Majani ya mabogaMsusa ni nini?
Uliona Uzi wako?Hahahaha
Safi kabisa. Na Kama hujashiba unasema uongezwe ili Mambo yawe sawa. Ili hata Kama Kuna kitakachojiri Basi uwe umeshiba na uweze ku perform vilivyo.Mi hata niwe na nanii nakula kwa mikono tu na nijiwa na njaa nasema na njaa ,kama sikijui kitu nauliza au naomba nionje kwanza