Unafanya nini kuhakikisha kinywa chako hakitoi harufu mbaya?

Unafanya nini kuhakikisha kinywa chako hakitoi harufu mbaya?

Salaam!

Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.

Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.

Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.

Does there any solution or medical care to carry out this problem.....

Mawazo yenu yanahitajika.
Harufu ya kinywa kwa kiasi kikubwa hutoka mdomoni na kwa kiasi kidogo tumboni. Kwa uzoefu wangu kila nikilala bila kupiga mswaki asubuhi nitaamke mdomo unatema ila nikipiga mswaki huwa safi. Ingine vyakula vya viungo vingi pia huleta harufu mbaya, kati ya mlo just safisha na maji tu kawaida
 
Salaam!

Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.

Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.

Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.

Does there any solution or medical care to carry out this problem.....

Mawazo yenu yanahitajika.
Kunywa maji asubuhi kabla ya kula chochote. Fanya usafi wa kinywa na ulimi (wengi husugua meno tu na kusahau kusafisha ulimi).
Kunywa maji mara kwa mara. Epuka vilevi! Harufu hutaisikia kwenye kinywa chako!
 
Salaam!

Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.

Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.

Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.

Does there any solution or medical care to carry out this problem.....

Mawazo yenu yanahitajika.
Uislam raha sana, tunatawadha kwa uchache kutwa mara tano, kwa maana hiyo tunaosha kinywa kutwa mara tano na "highly recommended" kwenye Uislam kutumia mswaki wa mti kabla ya kutawadha.
 
Mtoto mzuri huyo anuki bana
emoji23.png
emoji23.png
Huenda ananifahamu zaidi ya ninavyojijua🥳
 
Back
Top Bottom