superchager turubo
Senior Member
- Aug 12, 2023
- 177
- 304
waoooooo mremboo.Me napiga msuaki kila ninapomaliza kula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waoooooo mremboo.Me napiga msuaki kila ninapomaliza kula
Sio nzuri Zina sukariWengine naona huwa wanatafuna trident za mint ili kukata harufu wawapo public
Harufu ya kinywa kwa kiasi kikubwa hutoka mdomoni na kwa kiasi kidogo tumboni. Kwa uzoefu wangu kila nikilala bila kupiga mswaki asubuhi nitaamke mdomo unatema ila nikipiga mswaki huwa safi. Ingine vyakula vya viungo vingi pia huleta harufu mbaya, kati ya mlo just safisha na maji tu kawaidaSalaam!
Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.
Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.
Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.
Does there any solution or medical care to carry out this problem.....
Mawazo yenu yanahitajika.
Usiombe asubuhi aongee na simu na yupo siti ya dirishani asubuhi basi la mkoa utatamani umnunulie hata biscuits ale akate harufu.Kuna watu wananuka mdomo jamani...
Acheni tu [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] ni balaa...Usiombe asubuhi aongee na simu na yupo siti ya dirishani asubuhi basi la mkoa utatamani umnunulie hata biscuits ale akate harufu.
Kunywa maji asubuhi kabla ya kula chochote. Fanya usafi wa kinywa na ulimi (wengi husugua meno tu na kusahau kusafisha ulimi).Salaam!
Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.
Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.
Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.
Does there any solution or medical care to carry out this problem.....
Mawazo yenu yanahitajika.
Sijijui nanuka au nanukia dah[emoji3] unaweza hisi uko sawa kumbe watu wanakuvumilia tu, naombeni mtu aninuse[emoji2088]
Mtoto mzuri huyo anuki bana[emoji23][emoji23]Niseme[emoji856]
Mtoto mzuri huyo anuki bana[emoji23][emoji23]
Uislam raha sana, tunatawadha kwa uchache kutwa mara tano, kwa maana hiyo tunaosha kinywa kutwa mara tano na "highly recommended" kwenye Uislam kutumia mswaki wa mti kabla ya kutawadha.Salaam!
Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.
Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.
Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.
Does there any solution or medical care to carry out this problem.....
Mawazo yenu yanahitajika.
Hahaa useme nini tena na hujaninusa?Niseme[emoji856]
Duh unamchana humu huenda hata hayupo maskiniPopote ulipo boss wangu wa Mbeya Dc jua tunakuvumilia tu ila ukweli unanuka mdomo kishenzi boss
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Nakaa Kimya Maana Bado Sijasema Ila Ningesema[emoji22]Hahaa useme nini tena na hujaninusa?
Huenda ananifahamu zaidi ya ninavyojijua🥳Mtoto mzuri huyo anuki bana![]()
![]()
Namind kuona wewe Ex wangu unajitoa kwenye hilo sakata wakati ndio sababu kuu ya mimi kukuacha[emoji23][emoji23] mkuu unamind nini...