Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Baby wako huyooo si umuambieAlafu wanapenda deep kiss...
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baby wako huyooo si umuambieAlafu wanapenda deep kiss...
[emoji23][emoji23]
no hayawahusu.Muelekezee hapahapa jinsi ya kusafisha kinywa na wengine wanufaike
Mtumishi niache bana, nawasha moto...Baby wako huyooo si umuambie
Kwakuwa mdomo wake unatoa Choking-irritating smellno hayawahusu.
Ungemkaushia tu, akiufuma huo mwandiko akagundua ni wewe umeisha pia😀Yupo humu sasa nimchanie wapi ? Nikimface akanifanyia figisu nikawa nikawa jobless nitawaambia nini watu wa JF ?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kwa TZ sijui, naishi njeNa mimi nina hili tatizo
Gharama za xray ni kiasi gani ndugu yangu
Mouthwash kwa meno yaliyotoboka full pockets of bacteria's haisaidiiMouthwash ndio dawa
njoo nikunuse binti yanguSijijui nanuka au nanukia dah😀 unaweza hisi uko sawa kumbe watu wanakuvumilia tu, naombeni mtu aninuse🏃♀️
Kweli Dr na utaniambia ukweli if the smell isn't good? 😁njoo nikunuse binti yangu
shaka ondoaKweli Dr na utaniambia ukweli if the smell isn't good? 😁
Mkuu umenigusa hapa, nina jino moja limetoboka yan hilo hata uswaki sasahivi baada ya dakika kadhaa ukichukua toothpick upitishe kwa ile shimo,inatoka na harufu Kali sana.kapige Xray,inawezekana una cavity na meno mabovu yaliyotoboka na ndio chanzo cha harufu mbaya, kazibe au kang'oe meno mabovu, ukipiga mswaki uwe unasafisha ulimi na flossing pia
Yes sir, dawa ni kuling'oa au kuliziba tuu, wakati mwingine daktari anaweza kuwa na option zaidi ya hizo, kwa bima sijui naishi nje ya Tanzania kwa sasaMkuu umenigusa hapa, nina jino moja limetoboka yan hilo hata uswaki sasahivi baada ya dakika kadhaa ukichukua toothpick upitishe kwa ile shimo,inatoka na harufu Kali sana.
Huduma ya kuziba jino inapatikana kwa kadi za Bima??