financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Sema tu you're freeNakaa Kimya Maana Bado Sijasema Ila Ningesema[emoji22]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tu you're freeNakaa Kimya Maana Bado Sijasema Ila Ningesema[emoji22]
[emoji23][emoji23][emoji23] uwezi kuwa na Mimi wewe.....Namind kuona wewe Ex wangu unajitoa kwenye hilo sakata wakati ndio sababu kuu ya mimi kukuacha
Sema tu you're free
Sawa mouth-smeller[emoji23][emoji23][emoji23] uwezi kuwa na Mimi wewe.....
Hata ufanyeje...
Unamaanisha Harufu ingehamia humu ama ingebadilikaje?Sisemi Ila Ningesema Hali Ingebadirika Hapa[emoji23]
Unamaanisha Harufu ingehamia humu ama ingebadilikaje?
Sasa kwanini ulianza kusema ikiwa lengo lako ni kukaa kimya?, we sema unachokijuaNimekaa Kimya[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba dini zingine hazihamasishi usafi ama? Udini umeingiaje hapaUislam raha saha sana, tunatawadha kwa uchache kutwa mara tano, kwa maana hiyo tunaosha kinywa kutwa mara tano na highly recommended kwenye Uislam kutumia mswaki wa mti kabla ya kutawadha.
Sasa kwanini ulianza kusema ikiwa lengo lako ni kukaa kimya?, we sema unachokijua
Kidding in a serious note eeh? Ok 👍Am Kidding. I Know Nothing.
Za Siku Nyingi?
Kidding in a serious note eeh? Ok [emoji106]
Worry not, it's okI Mean No Offense. I Apologize.[emoji847]
[emoji1752]Worry not, it's ok
Does there any solution or medical care to carry out this problem.....
Na mimi nina hili tatizokapige Xray,inawezekana una cavity na meno mabovu yaliyotoboka na ndio chanzo cha harufu mbaya, kazibe au kang'oe meno mabovu, ukipiga mswaki uwe unasafisha ulimi na flossing pia
Yupo humu sasa nimchanie wapi ? Nikimface akanifanyia figisu nikawa nikawa jobless nitawaambia nini watu wa JF ?Duh unamchana humu huenda hata hayupo maskini
Muelekezee hapahapa jinsi ya kusafisha kinywa na wengine wanufaikemchumbawangu njoo pm.nikuelekeze kitu.