Bandar Abbas
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 468
- 1,219
Umeangalia tonsils?Mbona mimi nafanya yote hayo na bado mdomo unanuka sana
mmghUsafi wa kina.
InategemeaKwani tusifanye wa kina [emoji28][emoji28][emoji28]
Karafuu huwa natumia nikiwa napigana denda na "she" sabab hua inakata ile smell ya mate mnapolambana ndimi mixer lips Mwanzo mwshoTafuna karafuu au iweke mdomoni afu una itafuna mdogomdogo ,yani unakata kijipande kidogo unakitafuna afu unatulia kwa muda kama unahisi tena harufu unakimega kidogo unatafuna
Nijia za usafi fatisha za juu hapo
Kumbe na wachumba mnawapata humu alfu hamsemi ππππ€£π€£π€£Unanioa lini? Maana tupo kwenye uchumba tayariπ€
Huez kwepa denda to yeye ciz inapofika kweny koras hata hujui ulikulaje denda ukishashusha wazungu ndo unajiuliza hivi nimekula dendaDenda zitawaponza[emoji855] watu wameoza meno balaa[emoji849]
πππππHuez kwepa denda to yeye ciz inapofika kweny koras hata hujui ulikulaje denda ukishashusha wazungu ndo unajiuliza hivi nimekula denda
Onhoo,ulikuwa hujui shost?ππππ΄π΄π΄Kumbe na wachumba mnawapata humu alfu hamsemi πππ
Maji ya limao/ndimu kunywa wakati wa kwenya kulala ama ukiamka asubuhiSalaam!
Ni njia zipi unatumia kulinda usafi wa kinywa chako na kufanya mdomo usitoe harufu.
Kuna kuswaki kila baada ya mlo lakini wakuu imagine unaswaki asubuhi na jioni during day ila tambua kuna ile umepata breakfast then mchana lunch alafu mdomo unabaki bila usafi wa uhakika.
Kuna harufu iliyopo kiasili kwa kinywa au wengine meno yanalika na wadudu au kupekechwa hivo harufu lazima izidi.
Does there any solution or medical care to carry out this problem.....
Mawazo yenu yanahitajika.
SAFARI MOJA HUANZISHA NYINGINEDoes there any solution or medical care to carry out this problem.....
Mawazo yenu yanahitajika.
jiwekee mazoea ya kutafuna karafuu au mdalasini mara moja mojanaswaki asubuhi na jion basi
hapoo kwenye sabuni mkuu siafikiMaji ya limao/ndimu kunywa wakati wa kwenya kulala ama ukiamka asubuhi
Swaka baada ya mlo hasa wa usiku
Asubuhi tumia dawa ya meno pamoja na sabuni ya kuogea (paraza mswaki kwenye sabuni kisha dawa ya meno ije juu au dawa kwanza kisha sabuni
Kumbuka kunuka mdomo chanzo kikubwa sio meno bali ulimi.. Ulimi na kona za nyuma za fisi ndio huhifadhi bacteria wengi na mabaki ya chakula hivyo hakikisha kwenye kuswaka hayo maeneo unayapa kipaumbele kikubwa
Sent using Jamii Forums mobile app