T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Basi yule demu wangu aliyeniuliza nina mpango gani nae naenda kumwambia kuwa SIOI leo wala keshoHivi huyu ukimuacha si ndo mambo ya karma ama? HUTOKWEPA HILI hasa ikiwa ulimdanganya na kumuaminisha miaka yote hiyo kuwa yeye ni wako
Usimuache......ukimuacha huko utapoenda utachokwa utakonda vile vile......kaza moyo muoe zaa nae mtoto ni kiunganishi kikubwa sana....Alf unakua unachepuka pia kidg Ila tu asijue...basi maisha yatasonga!Una mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa
Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...
Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.
N.b
Ndugu yangu hapa anaomba ushauri
Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka
[emoji16][emoji16][emoji16]Napoleone , umekaa kwenye mahusiano na huyo Binti miaka karibia 4 unadhani kumuaminisha kuwa yeye ni wako inahitaji mtu awe kasoma hadi chuo kikuu?
Hata ningekuwa ni Mimi ningekuendea ukambani nakuloga hiko kidudu kinapotea kinafutika kama ufutio wa pensel inabakia alama tu ubaki unahadithia tu kuwa kilikuwa-ga hapa [emoji12]
Aisee,ndo maana mnarogwa!Una mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa
Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula hali..hadi anaumwa..ndugu na rafik wanakupigia simu kila mara. Hivi unafanyaje hali hii inapotokea na unakuta wew ndo umeshamchoka kabisaa yaan...binti analia muda wote...
Inafikia hatua unamuonea huruma ile ya kwel lakin ndo hvo ushamchoka. Unamfanyaje mtu huyu....maana anadirik kusema bas uumpe hata mtoto halaf umwache..angalau apate zawad ya mtoto huyo. Aisee sasaa kwel nmeaamin kuna watu wanafunga ndoa kwa huruma tuu.
N.b
Ndugu yangu hapa anaomba ushauri
Najua mapema sanaa..hili wingu leo mapema sana natoroka
Na tena sio karma ya kitoto!Keshaambiwa hayo yote...anasema sijamchoka ni vile tu upepo ni mbaya...imagine anajibu hvyo mkuu..namuonea huruma kinoma..sjui namfanyaje huyu....hiv huyu ukimuacha si ndo mambo ya karma ama?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na utoto mwingi pia,angalia tu anavyojieleza ndiyo utajua huyu ni mvulana na si mwanaume.Wanawake wanaotoka na mtu anayetumia hii ID, wako na kazi kubwa mno.
Huyu ni mtu
- Ana kiburi
-Ana majivuno
-Anapenda attention
-Anajiamini hana Kasoro
Basi tu alimraaadi yani.
Pole zao sana .