Kwani wa Mama wa Nyumbani ndiyo wako hivyo!? Huyo ni tabia yake,hata angekuwa anafanya kazi za kuajiriwa bado angeyachukuwa Maneno ya Nyumbani na kuyapeleka huko kazini kwake! Kuna Wanawake wengi tu huko ma officeni kutwa nzima nao wanahadithia Maisha ya familia yake na vitu wanavyomiliki,hadi Mtu unamjuwa Mumewe ni Mtu wa aina gani kupitia umbea wake!! Ni Wanawake wengi wenye tabia hii ya kupenda ku breg!!Mtafutie kazi ya kufanya mkeo,inaonekana ni Mama wa nyumbani tu.
Pole sana mkuu!kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu ,, hata vitu vya siri !!!… Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa!!
Tena huyo Mama Kama ana busara angewaita wote wawili, Mtu na Mkewe ndiyo aambie,labda kweli angebadilika, lakini Cha ajabu mleta taarifa na anataka ID yake ifichwe, Sasa Kama nae anasema uwongo tutajuwaje!? Mi ukinipa habari za Mke wangu na mwambia,akikanusha lazima mleta habari nikwite au nifanye uchunguzi wangu mwingine kutoka vyanzo vyangu vya umbea!!swali
Wewe ulimsikia akiongea huo umbea una uhakika kama anaongea yeye??
Aliekwambia ni huyo mama au kuna wengine??
Kuwa makini sikuhizi mijimama inapenda kupelekewa moto huenda anakuvizia huyo mama kwaiyo anawachonganisha
Huyo mama nae hana kazi ya kufanya sasa anakwambia hivo ili nini umuache mkeo ama[emoji849][emoji849]
Hii ni kweli,mi naijuwa office yote ya Mke wangu,kwa Ubuyu wake tu!!hiyo point kabisa, wanawake wote wanapenda attention, na wanapenda kuongea mambo yao ya siri na watu wao wa karibu, sasa kama mume yuko karibu na mke basi ujue mume atapata taarifa zote maana mke hatapeleka nje ila atamsimulia mumewe.
tujitahidi kuwapa muda wa kuwasikiliza, hakuna mwanamke ambaye hapendi kusiikilizwa hivyo tuwape muda tu wa kuwasikiliza hata kama anongea pumba wewe msikilize tuu ni dawa kwao
Mwanamke ni Mwanamke,hakuna Cha type, sisi Wanaume huwa tunawaweka wote kwenye kapu moja, sema wengine mkisomeshwa na Waume zenu huwa mnaelewa na kujirekebisha!!Ni wanawake type zako
Tuanzie kwanza hapa,mkeo ni mshabiki wa timu gani...?Hello Jf
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu!!..
Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana nyumbani na hata nikishinda sijuani sana na majirani !!
Sasa kati ya majirani nilio nao kuna jiran mmoja tupo nae karibu sana n mmama mtu mzima umri wa mama yangu!! Na mazoea yametokana na ukaribu na utegemezi nilio uweka wakt nanunua eneo hili naloishi hapa mtaani kwani ilinibidi niwe nawasiliana nae mara kwa mara kupata taarifa saahihi juu ya mmiliki wa mwanzo, migogoro ya eneo nk!
Sasa amekua akiniita na kunishauri vitu mbalimbali!!Ikiwa pamoja na maneno yanayosikika mtaani!!
kifupi chanzo n mke wangu n mmbea sanaa!! kwa kifupi hana siri hata mojaaa!! Kila kitu anasimulia kwa watu na majirani !!Yaan namaanisha kila kitu ,, hata vitu vya siri !!!… Ni mtu wa kujikweza na kuropoka yaan hiyo taabia ndiyo inayosababisha aongee vitu bila kuulizwa!!
Ingawa sijazoeana na watu mtaani ila kila mtu anajua kwangu kukoje kuna nn, na viwanja wapi,nyumba wapi,Tunakula nn, nafanya kazi wapi,nimesafiri,nimerudi, yaan kila kitu ,nimemfanya leo au sijamfanya,nina boxa ngap nk
Nikimaanisha kila kitu eleweni…achilia mbali umbea wa wanawake ule wa kawaida ambao kila mwanamke anao!!..naongelea mdomo,majigambo n umbea wa kutoa kila na vyote vya ndan na nje!
Tabia nyingine zinavumilika lakini hii naona inanikera
Nimekua nikisikia minong’ono kadhaa,mengine nakuta story sasa huyu mama jiran ndo atleast anakifua kuniambia baadhi ya mambo !!… lakini wengine wananichora tu,,,, kuna vitu majiran wanavijua mimi sivijui
Sasa najiuliza nimfanyaje nilishamuonya tukaishia kugombana si mara moja!!…
Ukimwambia anakataa na hasa kulia!!..mwisho tunagombana!!
Je ww unafanyaje kama una mke wa hivi ndani???
Naomba mnisaidie kushauri!!
HayaMwanamke ni Mwanamke,hakuna Cha type, sisi Wanaume huwa tunawaweka wote kwenye kapu moja, sema wengine mkisomeshwa na Waume zenu huwa mnaelewa na kujirekebisha!!
Iko hivyo mkuu, ukimfanya mwanamke rafiki inasaidia sana taarifa utapata tu bila kuomba, utasimuliwa za majirani, utasimuliwa za kanisani/msikitini utasimuliwa za kazini, Mimi huko Instagram sipo lakini nikikaa tu na waifu napata taarifa zoteHii ni kweli,mi naijuwa office yote ya Mke wangu,kwa Ubuyu wake tu!!
Mwanamke msiri hayupoPole sana mkuu
Muache unioe mimi sio mbea ni msiri sana.
Tena sina majigambo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]nahisi kama vile umemuoa Ex wangu.
Kama anaitwa Aisha basi ndiye huyo!!.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mkeo atakuwa ni shabiki wa Chadema, hao watu ni vichwa ngumu sana.
Alifilisi mtaji !? Hahaaa mkeo itakuwa Ni. Kimeo huyonilimfungulia duka nikaona mambo yanazidi kuwa mengi nikamrudisha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mpe noti bandia za matumizi utanishukuru baadae
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] watakwenda kumshtaki Russian embassy halafu aje kupata msalaHapo sasa inabidi uwe unamdanganya. Usimwambie ukweli... Mwambie una mpango wa kwenda kupigana Ukraine, halafu isikilizie kwa majirani zako.
Hata Mimi nimejiuliza sanaKwani Ndugu ulimuokota tu Barabarani huyo mkeo ukaoa.!? Hizo tabia ungezijua mapema Wakati wa Uchumba ungejua Ungemuepukaje.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Bora wewe mke wako ni mbea.
Mke wangu ni muongo muongo, mtaani kila mtu anafahamu na kila jumapili yupo dhehebu jipya.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] watakwenda kumshtaki Russian embassy halafu aje kupata msala