_ly
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 527
- 1,675
yani nilikuwa nasikiaga tu kuwa wanawake akili zao ndogo nilikuwa nabisha...
.
nimebahatika kusom baadhi ya shauri(coment) kwenye huu uzi kutoka kwa wanawake wenzie aisee ni madudu..
.
wengine wanasema aache kumjali waishi tu kwa kuwa wana watt, wengne wanasema naye alipize kisasi kwa kifupi wenge wamemshauri aendeleze shali...
.
kwako mleta uzi:- kitu kimoja cha kujiuliza ikitokea leo mkaachana na mmeo nani atafaidika na nani atapata hasara??
.
jua kuwa leo hii ukimuacha mmeo anakuachia watt na anauwezo wa kuoa tena mwanamke mzur mdogo mkali kuliko hata ww na akaanzisha familia kwa upya na akakusau dk 0 tu..
lakin kwako ww ni ngumu, vijana wenyewe wakuoa hata humu unawaona kila siku kuwasema vibaya single mom, mwisho wa siku utatumika uko nje ili ukidhi haja zak na za watt..
.
so tumia akili usitumie hisia
.
nimebahatika kusom baadhi ya shauri(coment) kwenye huu uzi kutoka kwa wanawake wenzie aisee ni madudu..
.
wengine wanasema aache kumjali waishi tu kwa kuwa wana watt, wengne wanasema naye alipize kisasi kwa kifupi wenge wamemshauri aendeleze shali...
.
kwako mleta uzi:- kitu kimoja cha kujiuliza ikitokea leo mkaachana na mmeo nani atafaidika na nani atapata hasara??
.
jua kuwa leo hii ukimuacha mmeo anakuachia watt na anauwezo wa kuoa tena mwanamke mzur mdogo mkali kuliko hata ww na akaanzisha familia kwa upya na akakusau dk 0 tu..
lakin kwako ww ni ngumu, vijana wenyewe wakuoa hata humu unawaona kila siku kuwasema vibaya single mom, mwisho wa siku utatumika uko nje ili ukidhi haja zak na za watt..
.
so tumia akili usitumie hisia