Unafiki wa CHADEMA: Wanampigania mtuhumiwa wa mauaji, wanapuuza haki ya aliyeuawa

Unafiki wa CHADEMA: Wanampigania mtuhumiwa wa mauaji, wanapuuza haki ya aliyeuawa

Anna Nkya

Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
69
Reaction score
341
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.

Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).

Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.

Long story short, kuna ushahidi wa kumuweka GEORGE SANGA hatiani, na Polisi kuna maelezo ya yeye kukiri kosa.

Now, Chadema wanapiga kelele kwamba George Sanga aachiwe huru, kwa kutumia umbrella ya MARIDHIANO; Are you guys serious?

Huo ni unafiki mbaya sana kwa sababu;

1. Emmanuele Polycarp Mlelwa aliuwawa KIKATILI. Alipigwa sana, kisha akanyongw ana mwili wake ukatupwa. Mama yake amelia na anaendelea kulia. Hawa watu wa CHADEMA hawataki kabisa kuongelea hicho kifo, hawataki kuongelea haki ipatikane, eti kisa Emmanuel alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya vijana wa CCM shuleni kwao. Kama kweli wao ni wapenda haki, mbona hawaongelei justice ya uyu aliyeuwawa? Do they think about his mother?

2. Mbona wanamuongelea Sanga peke yake? Sanga alikamatwa akiwa na Thadei Mwanyika, Optanus Nkwera na Goodluck Mfuse. Mbona hizi kampeni zao za Twitter ni kumuongelea Sanga tu?

Ushauri kwa Sertikali ya Rais Samia Suluhu ni kwamba WAHALIFU wasijifiche kwenye umbrella ya maridhiano. Hawa CHADEMA wanachukulia hiyo kama immunity ya wao kufanya uhalifu then they come with hashtags on Twitter.
George Snga ana kesi ya mauwaji, Mahakama iamue kama his is guilty or innocent.

EMMANUEL MLELWA ALIUWAWA his family needs justice, haki yake ipatikane.

IMG_1839 (5).JPG

EjPQd0HWkAAbng0.jpg

EjAdR1JXgAAoAYx.jpg

EjAdRGHWoAIgw5K.jpg

IMG_1839 (6).JPG
 
Akili za chadema wapo against kila siku ilo mradi tu wapate la kusema ili watu wajue chama bado kipo hai.
 
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.

Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).

Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.

Long story shorty, kuna ushahidi wa kumuweka GEORGE SANGA hatiani, na Polisi kuna maelezo ya yeye kukiri kosa.

Now, Chadema wanapiga kelele kwamba George Sanga aachiwe huru, kwa kutumia umbrella ya MARIDHIANO; Are you guys serious?

Huo ni unafiki mbaya sana kwa sababu;

1. Emmanuele Polycarp Mlelwa aliuwawa KIKATILI. Alipigwa sana, kisha akanyongw ana mwili wake ukatupwa. Mama yake amelia na anaendelea kulia. Hawa watu wa CHADEMA hawataki kabisa kuongelea hicho kifo, hawataki kuongelea haki ipatikane, eti kisa Emmanuel alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya vijana wa CCM shuleni kwao. Kama kweli wao ni wapenda haki, mbona hawaongelei justice ya uyu aliyeuwawa? Do they think about his mother?

2. Mbona wanamuongelea Sanga peke yake? Sanga alikamatwa akiwa na Thadei Mwanyika, Optanus Nkwera na Goodluck Mfuse. Mbona hizi kampeni zao za Twitter ni kumuongelea Sanga tu?

Ushauri kwa Sertikali ya Rais Samia Suluhu ni kwamba WAHALIFU wasijifiche kwenye umbrella ya maridhiano. Hawa CHADEMA wanachukulia hiyo kama immunity ya wao kufanya uhalifu then they come with hashtags on Twitter.
George Snga ana kesi ya mauwaji, Mahakama iamue kama his is guilty or innocent.

EMMANUEL MLELWA ALIUWAWA , his family needs justice, haki yake ipatikane.
Erythrocyte tia neno hapa
 
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.

Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).

Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.

Long story shorty, kuna ushahidi wa kumuweka GEORGE SANGA hatiani, na Polisi kuna maelezo ya yeye kukiri kosa.

Now, Chadema wanapiga kelele kwamba George Sanga aachiwe huru, kwa kutumia umbrella ya MARIDHIANO; Are you guys serious?

Huo ni unafiki mbaya sana kwa sababu;

1. Emmanuele Polycarp Mlelwa aliuwawa KIKATILI. Alipigwa sana, kisha akanyongw ana mwili wake ukatupwa. Mama yake amelia na anaendelea kulia. Hawa watu wa CHADEMA hawataki kabisa kuongelea hicho kifo, hawataki kuongelea haki ipatikane, eti kisa Emmanuel alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya vijana wa CCM shuleni kwao. Kama kweli wao ni wapenda haki, mbona hawaongelei justice ya uyu aliyeuwawa? Do they think about his mother?

2. Mbona wanamuongelea Sanga peke yake? Sanga alikamatwa akiwa na Thadei Mwanyika, Optanus Nkwera na Goodluck Mfuse. Mbona hizi kampeni zao za Twitter ni kumuongelea Sanga tu?

Ushauri kwa Sertikali ya Rais Samia Suluhu ni kwamba WAHALIFU wasijifiche kwenye umbrella ya maridhiano. Hawa CHADEMA wanachukulia hiyo kama immunity ya wao kufanya uhalifu then they come with hashtags on Twitter.
George Snga ana kesi ya mauwaji, Mahakama iamue kama his is guilty or innocent.

EMMANUEL MLELWA ALIUWAWA , his family needs justice, haki yake ipatikane.
Wee jamaa huu uongo wako hautakusaidia chochote , mnafiki mkubwa na katili mkubwa wee ! hivi huu upuuzi wa barua sijui ya kukiri makosa iliyoletwa na DPP unadhani ina uhalali wowote ?

Unaanzaje kumwamini Biswalo Mganga wewe kapuku mtozeni ? tukiweka ushahidi hapa kwamba hakuna alipokiri George Sanga kuhusika na hiyo barua uko tayari kulipa fidia .

Mnaposingizia wenzenu mambo mazito tambueni kwamba mtalipwa kwa ubaya wenu , yuko wapi Jiwe leo aliyetukana na kutesa kila mtanzania ?
 
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.

Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).

Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.

Long story shorty, kuna ushahidi wa kumuweka GEORGE SANGA hatiani, na Polisi kuna maelezo ya yeye kukiri kosa.

Now, Chadema wanapiga kelele kwamba George Sanga aachiwe huru, kwa kutumia umbrella ya MARIDHIANO; Are you guys serious?

Huo ni unafiki mbaya sana kwa sababu;

1. Emmanuele Polycarp Mlelwa aliuwawa KIKATILI. Alipigwa sana, kisha akanyongw ana mwili wake ukatupwa. Mama yake amelia na anaendelea kulia. Hawa watu wa CHADEMA hawataki kabisa kuongelea hicho kifo, hawataki kuongelea haki ipatikane, eti kisa Emmanuel alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya vijana wa CCM shuleni kwao. Kama kweli wao ni wapenda haki, mbona hawaongelei justice ya uyu aliyeuwawa? Do they think about his mother?

2. Mbona wanamuongelea Sanga peke yake? Sanga alikamatwa akiwa na Thadei Mwanyika, Optanus Nkwera na Goodluck Mfuse. Mbona hizi kampeni zao za Twitter ni kumuongelea Sanga tu?

Ushauri kwa Sertikali ya Rais Samia Suluhu ni kwamba WAHALIFU wasijifiche kwenye umbrella ya maridhiano. Hawa CHADEMA wanachukulia hiyo kama immunity ya wao kufanya uhalifu then they come with hashtags on Twitter.
George Snga ana kesi ya mauwaji, Mahakama iamue kama his is guilty or innocent.

EMMANUEL MLELWA ALIUWAWA , his family needs justice, haki yake ipatikane.
Haki itendeke na ionekane imetendeka asionewe mtu !!
 
N hiyo
Wee jamaa huu uongo wako hautakusaidia chochote , mnafiki mkubwa na katili mkubwa wee ! hivi huu upuuzi wa barua sijui ya kukiri makosa iliyoletwa na DPP unadhani ina uhalali wowote ?

Unaanzaje kumwamini Biswalo Mganga wewe kapuku mtozeni ? tukiweka ushahidi hapa kwamba hakuna alipokiri George Sanga kuhusika na hiyo barua uko tayari kulipa fidia .

Mnaposingia wenzenu mambo mazito tambueni kwamba mtalipwa kwa ubaya wenu , yuko wapi Jiwe leo aliyetukana na kutesa kila mtanzania ?
Na hiyo gari kwa nini ilikua na vitu vya marehemu?
Na vingine vikutwe kwa huyo sanga?
 
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.

Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).

Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.

Long story shorty, kuna ushahidi wa kumuweka GEORGE SANGA hatiani, na Polisi kuna maelezo ya yeye kukiri kosa.

Now, Chadema wanapiga kelele kwamba George Sanga aachiwe huru, kwa kutumia umbrella ya MARIDHIANO; Are you guys serious?

Huo ni unafiki mbaya sana kwa sababu;

1. Emmanuele Polycarp Mlelwa aliuwawa KIKATILI. Alipigwa sana, kisha akanyongw ana mwili wake ukatupwa. Mama yake amelia na anaendelea kulia. Hawa watu wa CHADEMA hawataki kabisa kuongelea hicho kifo, hawataki kuongelea haki ipatikane, eti kisa Emmanuel alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya vijana wa CCM shuleni kwao. Kama kweli wao ni wapenda haki, mbona hawaongelei justice ya uyu aliyeuwawa? Do they think about his mother?

2. Mbona wanamuongelea Sanga peke yake? Sanga alikamatwa akiwa na Thadei Mwanyika, Optanus Nkwera na Goodluck Mfuse. Mbona hizi kampeni zao za Twitter ni kumuongelea Sanga tu?

Ushauri kwa Sertikali ya Rais Samia Suluhu ni kwamba WAHALIFU wasijifiche kwenye umbrella ya maridhiano. Hawa CHADEMA wanachukulia hiyo kama immunity ya wao kufanya uhalifu then they come with hashtags on Twitter.
George Snga ana kesi ya mauwaji, Mahakama iamue kama his is guilty or innocent.

EMMANUEL MLELWA ALIUWAWA , his family needs justice, haki yake ipatikane.
Kwa tunaoijua CHADEMA hatushangai.
Sera yao ya siri ya utekaji, mateso na mauaji imedhihirika kwenye matukio mengi.
Baada ya matukio wanakimbilia kupiga uongo kwenye mitandao ya kijamii. Kesi ya Mbowe ilidhihirisha kwamba walitaka kushika madaraka kwa mbinu chafu za mauaji na kuhamasisha vurugu. Uzuri records za ushahidi ulionyooka(japo walikesha JF kuimba kesi ya kubumba) zitabaki daima kwa vizazi vyote kuuujua ukweli huu.
 
CCM wajinga wengi sana mpaka inakera hebu tuzungumzie lipoti ya CAG yaweza kua na mashiko kuliko haya inaonekana yamekuzidi umuli
 
Chadema ni chama Cha kijinga sana kigenge Cha familia ya mzee mtei na mbowe ndio amekasimiwa wajibu wa kimqjukumu ndiomana chadema siku zote itakuwa chini ya uongozi wa wachaga
 
Back
Top Bottom