Unafiki wa CHADEMA: Wanampigania mtuhumiwa wa mauaji, wanapuuza haki ya aliyeuawa

Unafiki wa CHADEMA: Wanampigania mtuhumiwa wa mauaji, wanapuuza haki ya aliyeuawa

CHADEMA ni laana ya taifa. Majanga haya yote yanayotokea nchini ni kutokana na uwepo wao. Zile enzi za Yona ingebidi watupwe baharini kuepusha chombo kuzama. Hawa walishawahi kujilipua na bomu mkutanoni Soweto Arusha ili kupata kiki za kisiasa kwahiyo ni rahisi sana kwao kunyofoa roho ya mtu.. Kama wamehusika na mauaji sheria ichukue mkondo wake. Kama ni maridhiano inajulikana ni kwa mambo ya kisiasa tu na sio hayo makosa ya jinai.
 
Sasa amekili 2020 mpaka leo hajahukumiwa najua ukikili tu ushahidi wote huo angekua ashahukumiwa kunyongwa. Ukimsagia ubaya mwenzako kumbuka nawe unaishi yatakukuta tu
Ndio maajabu hayo. 2020 anakiri na bado hajahukumiwa hawaoni ni fix mtupu?
Mijitu yenye roho mbaya mifuasi ya jiwe kumbe bado haijaisha ulimwenguni?
 
Pamoja na maelezo yote ya hiyo barua ila imetosa jibu la swali moja la msingi ambalo ni nini sababu ya kumuua?
 
Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).
Wewe ni mpumbavu saaana, bahati nzuri saana nilikua Njombe by that time, for your information, mkanda wa suruali unaosadikiwa kutumika Wala haukua eneo la tukio, tafuta bandiko langu kuhusu huu upambavu wako.
Njombe wote wenye akili wanajua mlichokifanya CCM usiwe mjinga na kutufanya wote wajinga. Amekiri wapi? Unajua madhila waliyofanyiwa?

Usiwe mpumbavu wewe na waliokutuma! Acheni kuandika mambo msiyoyajua
 
Ndio maajabu hayo. 2020 anakiri na bado hajahukumiwa hawaoni ni fix mtupu?
Mijitu yenye roho mbaya mifuasi ya jiwe kumbe bado haijaisha ulimwenguni?
Huyu ni mpumbavu sana sana, nilikua Njombe by that time na niliwahi kuandika hapa hasira za Wana Njombe kuhusu hili
 
Wewe ni mpumbavu saaana, bahati nzuri saana nilikua Njombe by that time, for your information, mkanda wa suruali unaosadikiwa kutumika Wala haukua eneo la tukio, tafuta bandiko langu kuhusu huu upambavu wako.
Njombe wote wenye akili wanajua mlichokifanya CCM usiwe mjinga na kutufanya wote wajinga. Amekiri wapi? Unajua madhila waliyofanyiwa?

Usiwe mpumbavu wewe na waliokutuma! Acheni kuandika mambo msiyoyajua
Inaonyesha hii kesi ina mengi ya utata...
 
N hiyo

Na hiyo gari kwa nini ilikua na vitu vya marehemu?
Na vingine vikutwe kwa huyo sanga?
Hivi unaifahamu awamu ya 5 wewe ? uhakika kwamba hiyo gari ilikutwa na vitu vya Marehemu unao ? .

Mbowe na wenzake walihukumiwa kwamba walisababisha mauaji ya Akwilina , lakini kabla ya hapo Lazaro Mambosasa alikiri Jeshi la Polisi kuhusika na mauaji hiyo unaichukuliaje ?
 
Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.
Usituletee visa vilivyopangiwa na serikali ya yule dhalimu. Hujui hata mbunge Mwanyika alifanyiwa kitu mbaya akiwa rais wa GGM? Jiwe alikuwa nuksi.
.
Kwahiyo hiyo chuki yako dhidi ya chadema mpelekee babako na mamako. Hapa tunashighulika na masuala muhimu tu.

Kwa akili yako Kuna mtu anaua na kuhifadhi damu na nguo za marehemu kwenye gari??
 
Kwa tunaoijua CHADEMA hatushangai.
Sera yao ya siri ya utekaji, mateso na mauaji imedhihirika kwenye matukio mengi.
Baada ya matukio wanakimbilia kupiga uongo kwenye mitandao ya kijamii. Kesi ya Mbowe ilidhihirisha kwamba walitaka kushika madaraka kwa mbinu chafu za mauaji na kuhamasisha vurugu. Uzuri records za ushahidi ulionyooka(japo walikesha JF kuimba kesi ya kubumba) zitabaki daima kwa vizazi vyote kuuujua ukweli huu.
Hiki chama kikitoka kuzimu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.

Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.
!!?
 
Swali lako ni la kijinga sana ! wewe bado ni dagaa sana hapa JF , Tukiandika tunamaanisha , huyu pamoja na kujipachika jina la kichaga wala si mchaga , hilo jina limewekwa kwa malengo maalum
Wewe LGBT ni mjinga mmoja hapa jf kazi kuandika upuuzi kila siku na lichama la mashoga humu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina mashaka hii ni kesi ya kutengenezwa!
Ingawa mimi siyo mwanasheria,nachojua mara nyingi Polisi huwa wakati mwingine wanatumia torturing method kumlazimisha mtuhumiwa akiri kosa.
Mahakama huwa haikubali ushahdi wa Polisi kama njia hiyo ilitumika kumlazimisha mtuhumiwa akiri kosa.Mtuhumiwa anayo haki ya kukana ushahidi huo na kumpa nafasi ya kujitetea upya.
Kwa barua hiyo sidhani kama kuna ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani mtuhumiwa!
 
Back
Top Bottom