comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Magaidi wa CHADEMA kazini ili kuishika serikali ubaya- Muingu anawalipaMhutu mungu wenu ndiye muuajiView attachment 2580802
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magaidi wa CHADEMA kazini ili kuishika serikali ubaya- Muingu anawalipaMhutu mungu wenu ndiye muuajiView attachment 2580802
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Yule mungu wenu aliyeko motoni ndiye alikuwa gaidi ndiyo maana anachomwa motoMagaidi wa CHADEMA kazini ili kuishika serikali ubaya- Muingu anawalipa
Acha uongo mkuu- kuchoma ni siku ya mwisho na kwa ulivyo wewe si tu utochomwa bali wewe na gaidi Mbowe mtakuwa kuniYule mungu wenu aliyeko motoni ndiye alikuwa gaidi ndiyo maana anachomwa moto
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Acha ujinga mleta mada,kwani wakati wa kesi bambikizi una umri gani,au ni miongoni mwa wale wamsamaha wa maovu awm5😂September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.
Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).
Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.
Long story short, kuna ushahidi wa kumuweka GEORGE SANGA hatiani, na Polisi kuna maelezo ya yeye kukiri kosa.
Now, Chadema wanapiga kelele kwamba George Sanga aachiwe huru, kwa kutumia umbrella ya MARIDHIANO; Are you guys serious?
Huo ni unafiki mbaya sana kwa sababu;
1. Emmanuele Polycarp Mlelwa aliuwawa KIKATILI. Alipigwa sana, kisha akanyongw ana mwili wake ukatupwa. Mama yake amelia na anaendelea kulia. Hawa watu wa CHADEMA hawataki kabisa kuongelea hicho kifo, hawataki kuongelea haki ipatikane, eti kisa Emmanuel alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya vijana wa CCM shuleni kwao. Kama kweli wao ni wapenda haki, mbona hawaongelei justice ya uyu aliyeuwawa? Do they think about his mother?
2. Mbona wanamuongelea Sanga peke yake? Sanga alikamatwa akiwa na Thadei Mwanyika, Optanus Nkwera na Goodluck Mfuse. Mbona hizi kampeni zao za Twitter ni kumuongelea Sanga tu?
Ushauri kwa Sertikali ya Rais Samia Suluhu ni kwamba WAHALIFU wasijifiche kwenye umbrella ya maridhiano. Hawa CHADEMA wanachukulia hiyo kama immunity ya wao kufanya uhalifu then they come with hashtags on Twitter.
George Snga ana kesi ya mauwaji, Mahakama iamue kama his is guilty or innocent.
EMMANUEL MLELWA ALIUWAWA his family needs justice, haki yake ipatikane.
View attachment 2580014
View attachment 2580015
View attachment 2580025
View attachment 2580026
View attachment 2580027
Umejuaje ni kesi mbambikizi?Acha ujinga mleta mada,kwani wakati wa kesi bambikizi una umri gani,au ni miongoni mwa wale wamsamaha wa maovu awm5😂
Ndio uliokuwa mtindo wa wanachukua chako mapema ("CCM")Umejuaje ni kesi mbambikizi?
.......Haki yake mpeni.Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ni cheo cha Kisiasa na useless kwenye issue za upelelezi wa mambo.
Acheni kumpa sifa asizokuwa nazo au mmeanza tena uchawa wenu?
Dua la kuku....!!!(kwa sentensi yako ya mwisho)Kwa kitendo chako kiovu cha kumuunga mkono Sabaya , Natangaza kukudharau rasmi katika kipindi chako chote kidogo sana ulichobakiwa nacho hapa dunia , Amina
Alitesa mama yako au?Wee jamaa huu uongo wako hautakusaidia chochote , mnafiki mkubwa na katili mkubwa wee ! hivi huu upuuzi wa barua sijui ya kukiri makosa iliyoletwa na DPP unadhani ina uhalali wowote ?
Unaanzaje kumwamini Biswalo Mganga wewe kapuku mtozeni ? tukiweka ushahidi hapa kwamba hakuna alipokiri George Sanga kuhusika na hiyo barua uko tayari kulipa fidia .
Mnaposingizia wenzenu mambo mazito tambueni kwamba mtalipwa kwa ubaya wenu , yuko wapi Jiwe leo aliyetukana na kutesa kila mtanzania ?
Mwambie huyo! Wakati wataalamu wanafikiri jinsi gani tutaifanya tarehe 17 March kuwa siku ya kitaifa kumshukuru Mungu kutuondolea laana na ubatili katika taifa yeye ana tukumbusha machungu!Usituletee visa vilivyopangiwa na serikali ya yule dhalimu. Hujui hata mbunge Mwanyika alifanyiwa kitu mbaya akiwa rais wa GGM? Jiwe alikuwa nuksi.
.
Kwahiyo hiyo chuki yako dhidi ya chadema mpelekee babako na mamako. Hapa tunashighulika na masuala muhimu tu.
Kwa akili yako Kuna mtu anaua na kuhifadhi damu na nguo za marehemu kwenye gari??