Unafiki wa CHADEMA: Wanampigania mtuhumiwa wa mauaji, wanapuuza haki ya aliyeuawa

Unafiki wa CHADEMA: Wanampigania mtuhumiwa wa mauaji, wanapuuza haki ya aliyeuawa

N hiyo

Na hiyo gari kwa nini ilikua na vitu vya marehemu?
Na vingine vikutwe kwa huyo sanga?
Ulikuwepo? Hivi kweli uende kuua mtu na nguo za Chadema si utakua traceable mapema sana!! Kuna propaganda hazina faida. Ilikua wakati wa kampeni nzito so jamaa walitafuta namna ya kudhoofisha wagombea wa Chadema. Sio huyo tu zaidi ya Wana Chadema 400 wameshafutiwa mashtaka yakiwemo ya murder case maana zilikua za kisiasa tu. Imagine wengine kama 600 Bado wapo magerezani alafu mtu utaamini kweli chama kimoja kiwe na wahalifu elfu 1000 watende kosa ndani ya mwezi mmoja??

Aisee JPM amekufa kwa visasi vya watu wengi sana
 
Ulikuwepo? Hivi kweli uende kuua mtu na nguo za Chadema si utakua traceable mapema sana!! Kuna propaganda hazina faida. Ilikua wakati wa kampeni nzito so jamaa walitafuta namna ya kudhoofisha wagombea wa Chadema. Sio huyo tu zaidi ya Wana Chadema 400 wameshafutiwa mashtaka yakiwemo ya murder case maana zilikua za kisiasa tu. Imagine wengine kama 600 Bado wapo magerezani alafu mtu utaamini kweli chama kimoja kiwe na wahalifu elfu 1000 watende kosa ndani ya mwezi mmoja??

Aisee JPM amekufa kwa visasi vya watu wengi sana
Tunduma zaidi viongozi wa chadema 100 walikamatwa na kurundikwa selo kwa muda mrefu kwa kosa la uongo la kumuua mwanaccm mmoja tu ! wote wameachiwa
 
Wanasemage ni kesi ya kiasiasa .
Mkuu huyo jamaa nani alikuwa anamjua Tanzania hii?? Waachwe kuzushiwa hizo kesi wanaosumbua serikali kama Malisa na Martin Masese aje azushiwe yeye ambaye alikuwa hafahamiki na hana impact yeyote
 
Aliyeua na aliyeuawa wote wana haki[emoji1241]
 
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.

Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).

Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.

Long story short, kuna ushahidi wa kumuweka GEORGE SANGA hatiani, na Polisi kuna maelezo ya yeye kukiri kosa.

Now, Chadema wanapiga kelele kwamba George Sanga aachiwe huru, kwa kutumia umbrella ya MARIDHIANO; Are you guys serious?

Huo ni unafiki mbaya sana kwa sababu;

1. Emmanuele Polycarp Mlelwa aliuwawa KIKATILI. Alipigwa sana, kisha akanyongw ana mwili wake ukatupwa. Mama yake amelia na anaendelea kulia. Hawa watu wa CHADEMA hawataki kabisa kuongelea hicho kifo, hawataki kuongelea haki ipatikane, eti kisa Emmanuel alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya vijana wa CCM shuleni kwao. Kama kweli wao ni wapenda haki, mbona hawaongelei justice ya uyu aliyeuwawa? Do they think about his mother?

2. Mbona wanamuongelea Sanga peke yake? Sanga alikamatwa akiwa na Thadei Mwanyika, Optanus Nkwera na Goodluck Mfuse. Mbona hizi kampeni zao za Twitter ni kumuongelea Sanga tu?

Ushauri kwa Sertikali ya Rais Samia Suluhu ni kwamba WAHALIFU wasijifiche kwenye umbrella ya maridhiano. Hawa CHADEMA wanachukulia hiyo kama immunity ya wao kufanya uhalifu then they come with hashtags on Twitter.
George Snga ana kesi ya mauwaji, Mahakama iamue kama his is guilty or innocent.

EMMANUEL MLELWA ALIUWAWA his family needs justice, haki yake ipatikane.

View attachment 2580014
View attachment 2580015
View attachment 2580025
View attachment 2580026
View attachment 2580027
nyie mashoga ya ccm ni wapumbavu sana ndio maana mamayenu aliwaletea tetezi lenu ikulu ili muendeleze ushoga wenu maana akili hamna.
 
Chadema ni chama Cha kijinga sana kigenge Cha familia ya mzee mtei na mbowe ndio amekasimiwa wajibu wa kimqjukumu ndiomana chadema siku zote itakuwa chini ya uongozi wa wachaga
ccm ni genge la mashoga ndio maana mamayenu akaona awaletee mtetez wa mashoga kutoka marekani pale ikulu, kwa taarifa yenu 2025 mashoga yote mtajibeba.
 
CCM wajinga wengi sana mpaka inakera hebu tuzungumzie lipoti ya CAG yaweza kua na mashiko kuliko haya inaonekana yamekuzidi umuli
ccm ni wapumbavu hawawezi kujadir wiz wa mabillion kutokana na report ua CAG yamekalia chadema ndio maana mamayao akayaletea tetez la mashoga ikulu.
 
Sabaya yeye alikuwa mkuu wa polisi wilaya au usalama wa taifa au?
Acheni sifa za kingese humu.
Alikuwa Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa Wilaya ya Hai wakati fulani.

Ni wakati huo aliwezesha kuharibu mfumo huo wa uhujumu Uchumi kwa kutengeneza fedha bandia na kuziingiza kwenye mfumo wa uuzaji na manunuzi nchini!!! Leta maswali mengine.
 
Alikuwa Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa Wilaya ya Hai wakati fulani.

Ni wakati huo aliwezesha kuharibu mfumo huo wa uhujumu Uchumi kwa kutengeneza fedha bandia na kuziingiza kwenye mfumo wa uuzaji na manunuzi nchini!!! Leta maswali mengine.
Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ni cheo cha Kisiasa na useless kwenye issue za upelelezi wa mambo.
Acheni kumpa sifa asizokuwa nazo au mmeanza tena uchawa wenu?
 
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.

Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).

Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.

Long story short, kuna ushahidi wa kumuweka GEORGE SANGA hatiani, na Polisi kuna maelezo ya yeye kukiri kosa.

Now, Chadema wanapiga kelele kwamba George Sanga aachiwe huru, kwa kutumia umbrella ya MARIDHIANO; Are you guys serious?

Huo ni unafiki mbaya sana kwa sababu;

1. Emmanuele Polycarp Mlelwa aliuwawa KIKATILI. Alipigwa sana, kisha akanyongw ana mwili wake ukatupwa. Mama yake amelia na anaendelea kulia. Hawa watu wa CHADEMA hawataki kabisa kuongelea hicho kifo, hawataki kuongelea haki ipatikane, eti kisa Emmanuel alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya vijana wa CCM shuleni kwao. Kama kweli wao ni wapenda haki, mbona hawaongelei justice ya uyu aliyeuwawa? Do they think about his mother?

2. Mbona wanamuongelea Sanga peke yake? Sanga alikamatwa akiwa na Thadei Mwanyika, Optanus Nkwera na Goodluck Mfuse. Mbona hizi kampeni zao za Twitter ni kumuongelea Sanga tu?

Ushauri kwa Sertikali ya Rais Samia Suluhu ni kwamba WAHALIFU wasijifiche kwenye umbrella ya maridhiano. Hawa CHADEMA wanachukulia hiyo kama immunity ya wao kufanya uhalifu then they come with hashtags on Twitter.
George Snga ana kesi ya mauwaji, Mahakama iamue kama his is guilty or innocent.

EMMANUEL MLELWA ALIUWAWA his family needs justice, haki yake ipatikane.

View attachment 2580014
View attachment 2580015
View attachment 2580025
View attachment 2580026
View attachment 2580027
Mbona barua inaonesha ni ya kufoji, andika nyingine ukumbuke kugonga mihuri husika na jina na sahihi ya mwandishi.
 
Alikuwa Mwenyekiti wa ulinzi na usalama wa Wilaya ya Hai wakati fulani.

Ni wakati huo aliwezesha kuharibu mfumo huo wa uhujumu Uchumi kwa kutengeneza fedha bandia na kuziingiza kwenye mfumo wa uuzaji na manunuzi nchini!!! Leta maswali mengine.
Kwa kitendo chako kiovu cha kumuunga mkono Sabaya , Natangaza kukudharau rasmi katika kipindi chako chote kidogo sana ulichobakiwa nacho hapa dunia , Amina
 
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.

Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).

Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.

Long story short, kuna ushahidi wa kumuweka GEORGE SANGA hatiani, na Polisi kuna maelezo ya yeye kukiri kosa.

Now, Chadema wanapiga kelele kwamba George Sanga aachiwe huru, kwa kutumia umbrella ya MARIDHIANO; Are you guys serious?

Huo ni unafiki mbaya sana kwa sababu;

1. Emmanuele Polycarp Mlelwa aliuwawa KIKATILI. Alipigwa sana, kisha akanyongw ana mwili wake ukatupwa. Mama yake amelia na anaendelea kulia. Hawa watu wa CHADEMA hawataki kabisa kuongelea hicho kifo, hawataki kuongelea haki ipatikane, eti kisa Emmanuel alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya vijana wa CCM shuleni kwao. Kama kweli wao ni wapenda haki, mbona hawaongelei justice ya uyu aliyeuwawa? Do they think about his mother?

2. Mbona wanamuongelea Sanga peke yake? Sanga alikamatwa akiwa na Thadei Mwanyika, Optanus Nkwera na Goodluck Mfuse. Mbona hizi kampeni zao za Twitter ni kumuongelea Sanga tu?

Ushauri kwa Sertikali ya Rais Samia Suluhu ni kwamba WAHALIFU wasijifiche kwenye umbrella ya maridhiano. Hawa CHADEMA wanachukulia hiyo kama immunity ya wao kufanya uhalifu then they come with hashtags on Twitter.
George Snga ana kesi ya mauwaji, Mahakama iamue kama his is guilty or innocent.

EMMANUEL MLELWA ALIUWAWA his family needs justice, haki yake ipatikane.

View attachment 2580014
View attachment 2580015
View attachment 2580025
View attachment 2580026
View attachment 2580027
Watakuja hapa na kusema DPP alikuwa Biswalo Mganga
 
CCM wajinga wengi sana mpaka inakera hebu tuzungumzie lipoti ya CAG yaweza kua na mashiko kuliko haya inaonekana yamekuzidi umuli
Toeni #freesanga twitter kwa sababu it is purely obstruction of justice
 
Wee jamaa huu uongo wako hautakusaidia chochote , mnafiki mkubwa na katili mkubwa wee ! hivi huu upuuzi wa barua sijui ya kukiri makosa iliyoletwa na DPP unadhani ina uhalali wowote ?

Unaanzaje kumwamini Biswalo Mganga wewe kapuku mtozeni ? tukiweka ushahidi hapa kwamba hakuna alipokiri George Sanga kuhusika na hiyo barua uko tayari kulipa fidia .

Mnaposingia wenzenu mambo mazito tambueni kwamba mtalipwa kwa ubaya wenu , yuko wapi Jiwe leo aliyetukana na kutesa kila mtanzania ?
#freesanga is equal to the obstruction of justice
 
Jibuni hoja- SANGA ni muuwaji FULL STOP. Na kimsingi CHADEMA imeua watu wengi sana kisa kikiwa kimoja- kutofautiana nao- kuanzia kwa CHACHA WANGWE
Mhutu mungu wenu ndiye muuaji
1679652251550.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom