MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ndio maajabu hayo. 2020 anakiri na bado hajahukumiwa hawaoni ni fix mtupu?Sasa amekili 2020 mpaka leo hajahukumiwa najua ukikili tu ushahidi wote huo angekua ashahukumiwa kunyongwa. Ukimsagia ubaya mwenzako kumbuka nawe unaishi yatakukuta tu
Wewe ni mpumbavu saaana, bahati nzuri saana nilikua Njombe by that time, for your information, mkanda wa suruali unaosadikiwa kutumika Wala haukua eneo la tukio, tafuta bandiko langu kuhusu huu upambavu wako.Katika uchunguzi, GEORGE SANGA ambaye hivi sasa members wa CHADEMA wanasema aachiwe, alikiri kuhusika katika mauwaji yale (kwa mujibu wa Barua ya Mkurugenzi wa Mashtaka iliyotolewa 30/09/2020. Nitaiattach hapa).
Huyu ni mpumbavu sana sana, nilikua Njombe by that time na niliwahi kuandika hapa hasira za Wana Njombe kuhusu hiliNdio maajabu hayo. 2020 anakiri na bado hajahukumiwa hawaoni ni fix mtupu?
Mijitu yenye roho mbaya mifuasi ya jiwe kumbe bado haijaisha ulimwenguni?
Huyu mleta ni mpumbavu na hajielewiKipindi kingai aliwatesa wale makomandoo ili wakiri makosa yao lkn Mambo yalikuwa tofauti mahakamani.
Pengine hata hayo maelezo ya kukiri kwa huyo kada wa chadema ni ya mchongo tu.
Inaonyesha hii kesi ina mengi ya utata...Wewe ni mpumbavu saaana, bahati nzuri saana nilikua Njombe by that time, for your information, mkanda wa suruali unaosadikiwa kutumika Wala haukua eneo la tukio, tafuta bandiko langu kuhusu huu upambavu wako.
Njombe wote wenye akili wanajua mlichokifanya CCM usiwe mjinga na kutufanya wote wajinga. Amekiri wapi? Unajua madhila waliyofanyiwa?
Usiwe mpumbavu wewe na waliokutuma! Acheni kuandika mambo msiyoyajua
Hivi unaifahamu awamu ya 5 wewe ? uhakika kwamba hiyo gari ilikutwa na vitu vya Marehemu unao ? .N hiyo
Na hiyo gari kwa nini ilikua na vitu vya marehemu?
Na vingine vikutwe kwa huyo sanga?
Anna Nkya mamluki wa kitengo na mkazi wa Geita amepangwa ku divert mada za CAGNdio maajabu hayo. 2020 anakiri na bado hajahukumiwa hawaoni ni fix mtupu?
Mijitu yenye roho mbaya mifuasi ya jiwe kumbe bado haijaisha ulimwenguni?
Kwa hiyo uuwe mtu halafu ujifiche chini ya kivuli cha maridhianoKwanini unawaita wapuuzi? Taifa zima liliziona picha za mkuu wa nchi na kiongozi freeman wakimaanisha maridhiano
Usituletee visa vilivyopangiwa na serikali ya yule dhalimu. Hujui hata mbunge Mwanyika alifanyiwa kitu mbaya akiwa rais wa GGM? Jiwe alikuwa nuksi.Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.
Muongo wewe uzushi,mtu wa kutunga ,huyu member yupo humu tangu 2021 wewe unaleta siasa za kijinga hapaFuatilia ID ya huyu mamluki Anna Nkya utaelewa , ni ID ya kimkakati , kwanza siyo jina lake hilo , namfahamu vizuri tu
Hiki chama kikitoka kuzimuKwa tunaoijua CHADEMA hatushangai.
Sera yao ya siri ya utekaji, mateso na mauaji imedhihirika kwenye matukio mengi.
Baada ya matukio wanakimbilia kupiga uongo kwenye mitandao ya kijamii. Kesi ya Mbowe ilidhihirisha kwamba walitaka kushika madaraka kwa mbinu chafu za mauaji na kuhamasisha vurugu. Uzuri records za ushahidi ulionyooka(japo walikesha JF kuimba kesi ya kubumba) zitabaki daima kwa vizazi vyote kuuujua ukweli huu.
kwani mimi nimesemaje ?Muongo wewe uzushi,mtu wa kutunga ,huyu member yupo humu tangu 2021 wewe unaleta siasa za kijinga hapa
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lako ni la kijinga sana ! wewe bado ni dagaa sana hapa JF , Tukiandika tunamaanisha , huyu pamoja na kujipachika jina la kichaga wala si mchaga , hilo jina limewekwa kwa malengo maalum
September 2020, Emmanuel Polycup Mlelwa ambaye alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa, alitekwa, aliteswa, aliuwawa, na mwili wake ulienda kutupwa katika eneo la bwawa la Kibena huko Njombe.
!!?Gari la George Sanga (Picha nitaiweka) lenye usajili namba T 457 DAB lilikutwa na vitu vya Marehemu. Baadae ilithibitika kwamba, gari hilo la George Sanga lilitumika kumtelka Marehemu Emmanuel Sanga. Kama haitoshi, nyumbani kwa George Sanga kulikutwa nguo zenye damu.
Wewe LGBT ni mjinga mmoja hapa jf kazi kuandika upuuzi kila siku na lichama la mashoga humuSwali lako ni la kijinga sana ! wewe bado ni dagaa sana hapa JF , Tukiandika tunamaanisha , huyu pamoja na kujipachika jina la kichaga wala si mchaga , hilo jina limewekwa kwa malengo maalum