Unafiki wa CHADEMA: Wanampigania mtuhumiwa wa mauaji, wanapuuza haki ya aliyeuawa

Acha ujinga mleta mada,kwani wakati wa kesi bambikizi una umri gani,au ni miongoni mwa wale wamsamaha wa maovu awm5😂
 
Acha ujinga mleta mada,kwani wakati wa kesi bambikizi una umri gani,au ni miongoni mwa wale wamsamaha wa maovu awm5😂
Umejuaje ni kesi mbambikizi?
 
Kwa kitendo chako kiovu cha kumuunga mkono Sabaya , Natangaza kukudharau rasmi katika kipindi chako chote kidogo sana ulichobakiwa nacho hapa dunia , Amina
Dua la kuku....!!!(kwa sentensi yako ya mwisho)
Genge la kutengeneza fedha bandia lilivurugwa na nani?
===
Nawajua, hii ndiyo njia yenu Rahisi ya kuonyesha mmeishiwa hoja. Hata hivyo, sihitaji heshima yako nahitaji utii wako kwa waafrika na viongozi wao na kuheshimu raia wote wa Tanzania na Afrika kwa ujumla. Ni hilo tu basi.

Kama "ubongo wako haujafuliwa" utakuwa umenielewa.

Nakutakia Pasaka njema, na mfungo mwema wa Ramadhan. Yaani Ramadhan Kareem.
 
Alitesa mama yako au?
 
Mwambie huyo! Wakati wataalamu wanafikiri jinsi gani tutaifanya tarehe 17 March kuwa siku ya kitaifa kumshukuru Mungu kutuondolea laana na ubatili katika taifa yeye ana tukumbusha machungu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…