Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Kabisaa..kama unaweza kuwaza mabaya juu yako, kuna ugumu gani kujiwazia mema!!?Hili ni jibu mujarabu.
Kufa tutakufa ila Ota kifò kizuri.
Sio mtu unawaza kupigwa visu mara kuwekewa sumu...labda kama wewe ni jambazi.
Upo kama mimi, hata mda huu nipo safarini. [emoji23][emoji23][emoji23]Mungu aniepushe Tuu,
Ila Nawaza sana Ajari, hasa ukizingatia ninavyosafiri na zaidi usiku.
Jamaa umenitabiria kifo kizuri kweliSasa ulitaka niseme nitafia gesti napiga 3some kama mzabzab ndio ionekana siko sunday school
HakikaHahahahah huu ni wajibu
Kwa nini ufie Agha Khan na usifie kitandani nyumbani kwako?nitakufa katika uzee mwema kabisaa. 97 years.
Nimeoza wanangu na nimewaona wajukuu na vitukuu mpaka vilembwe.
Nitakufa kwasababu ya utu uzima tu/uzee. Nitafia usingizini pale Aga khan.
Siyo kifuani mwangu?❤Nitakufa kwa ajali
Tulia weweeeUtakua kitanda umelala
Halloo,Tulia weweee
UzeeHakuna ajuaye atakufa lini na wapi ila kwa lifestyle lako na Mazingira ya kazi unajionaje vyanzo gani unahisi huenda vikakusababishia umauti.Mimi kuna homa ya matonses,ini au figo,kupigwa shoti ya umeme au gas kulipuka hivyo vitu vinanitia wasiwasi sana na niko navyo makini kinyama.
Utakuwa umri wa usumbufu huo, ndiyo maana huko kwa wakoloni mnapelekwa kwa nyumba za kulelea wazee!.nitakufa katika uzee mwema kabisaa. 97 years.
Nimeoza wanangu na nimewaona wajukuu na vitukuu mpaka vilembwe.
Nitakufa kwasababu ya utu uzima tu/uzee. Nitafia usingizini pale Aga khan.
Hahaha dogo bana. Wewe utakufa kwenye tairi la ndege ukizamia ulaya kama jina lako.Halloo,
Nani mwenzangu?
jidanganyeWhatever will be, will be. Lakini sio kwa ugonvi wa kugombea mwanamke
Halloo,Hahaha dogo bana. Wewe utakufa kwenye tairi la ndege ukizamia ulaya kama jina lako.