Unahisi ni nani alifikisha suala la Feisal kwa Rais Samia na kwa lengo gani?

Unahisi ni nani alifikisha suala la Feisal kwa Rais Samia na kwa lengo gani?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Kauli ya Rais Samia leo ni kama ameinyooshea kidole Dar Young African (Yanga), Yanga mnaugomvi na Feisal!

Unaweza kumsikiliza tena Mh Rais alafu ukapata jibu kuwa ni nani alienda kumuelezea Mh Rais issue ya Feisal? Na je! Aliefikisha ujumbe kwa Mh Rais alikuwa wa mlengo gani? Hakuwa na upande?

Mpeleka taarifa alimueleza Mh Rais kuwa Yanga ilitoa public statement inayomtaka Feisal kufika Ofisin kwa Yanga ili waweze kumalizana kama yeye mwenyewe anataka kuvunja mkataba apigiwe hesabu zake anunue mkataba wake awe huru? Au wao wanahisi Yanga wanasema aende basi jicho lao lipo kwamba anaitwa aende akacheze tu?
43920961.jpg
 
Kama yanga walipewa mamilioni ya kila Goli walilofunga wakapokea tena kwa shangwe, Wakapewa ndege ya Serikali (kwa gharama za walipa kodi) na wakakubali...basi na wao wakubali Ombi la Rais la Kumalizana na Fei.....

"Usipokuwa tayari kuliwa Huli"
 
wanasiasa wanatakiwa kukaa mbali kabisa na michezo, watatugawa sana wakiingilia. pia, hakuna watu wanasaidiana kama wanzanzibar, mzenji hata akikamatwa na kosa bara leo, kesho hadi waziri yeyote wa jamhuri anajua. ni kama wana kaumoja ka kwenye magroup hadi ya whatsapp. kuna kamanda mmoja aliwahi kutoa siri kwamba, ukikamata mzanji afu usipigiwe simu hadi na mawaziri wa kizenji, huyo labda kama ana chogo. hapo mh moyo unamuuma mno kwasababu ni mzenji, sio kwasababuni Mtanzania. ukweli ndio huu.
 
Kama yanga walipewa mamilioni ya kila Goli walilofunga wakapokea tena kwa shangwe, Wakapewa ndege ya Serikali (kwa gharama za walipa kodi) na wakakubali...basi na wao wakubali Ombi la Rais la Kumalizana na Fei.....

"Usipokuwa tayari kuliwa Huli"
kwanini fei na sio wengine? ndio swali.
 
Kama yanga walipewa mamilioni ya kila Goli walilofunga wakapokea tena kwa shangwe, Wakapewa ndege ya Serikali (kwa gharama za walipa kodi) na wakakubali...basi na wao wakubali Ombi la Rais la Kumalizana na Fei.....

"Usipokuwa tayari kuliwa Huli"
Kwani barua waliyotoa yanga March 6 ilikuwa na mapumgufu yoyote? Mbona iko sawa kabisa ila haitekelezwi upande Feisal? Kwanini issue hii tunataka kuipeleka kwa Emotional?
 
Fei anasema walikaa masaa 6 wakashindwana. Ila haina maana tena.
Mkuu issue ya kukaa kushindwan haikuwa mjadala ulikuwa personal tu na issue ilikuwa kumshawishi arudi! Sasa kagoma kurudi basi si unataka kununua mkataba wako? Njoo tupigiane hesabu alafu sio lazima aende yeye Feisal! Atume wanasheria wake na watu wake anao waamini basi! Yanga itengeneze hesabu zake imkabidhi anunue mkataba wake awe free.
 
🤣🤣🤣 utopolo bana,yamewekewa ndoano yamenasa🤣🤣yamepewa ndege bure,yakachekelea,yakapewa mil 20 yakawa yanapiga makelele mitaani,🤣sasa yameitwa ikulu kulipia,ukila lazima uliwe,suala la feitoto limeisha hivoo,hakuna cha injinia uchwara wala wala mihogo🏌️
 
Mkuu issue ya kukaa kushindwan haikuwa mjadala ulikuwa personal tu na issue ilikuwa kumshawishi arudi! Sasa kagoma kurudi basi si unataka kununua mkataba wako? Njoo tupigiane hesabu alafu sio lazima aende yeye Feisal! Atume wanasheria wake na watu wake anao waamini basi! Yanga itengeneze hesabu zake imkabidhi anunue mkataba wake awe free.
Ndo anachotaka Fei. Unadhani kuna shida basi, tatizo inaonekana sababu dogo ni jeuri palikuwa na mtu anataka kumnyoosha kwa kutumia mbinu za kimafia zinazoitwa "hajafata taratibu"

Refer kwenye mahojiano clouds.

Masood KP: Ikitokea Yanga wakataka uwalipe upo tayari, na fedha utatoa wapi?

Fei: Nitawarudia wale wale walionichangia nikaweka m114 ambao wengine wapo humo humo ndani ya Yanga.
 
Historia ndio ilisababisha, then media ikambeba na mwisho mama akamuuliza naibu waziri (kwakua ni shabiki wa Simba ama ni kijana mwenzie) basi akawa upande wa Fey mtoto wenu huyo kijana wa unguja kwenye urojo
 
🤣🤣🤣 utopolo bana,yamewekewa ndoano yamenasa🤣🤣yamepewa ndege bure,yakachekelea,yakapewa mil 20 yakawa yanapiga makelele mitaani,🤣sasa yameitwa ikulu kulipia,ukila lazima uliwe,suala la feitoto limeisha hivoo,hakuna cha injinia uchwara wala wala mihogo🏌️
Ninachojua mimi issue ikishafika kwenye simba na Yanga basi inchi inagawanyika! Ata ao waliopo karibu na mama naamini watauuliza kwani we unaelewa nn kuhusu hii issue? Wataanza kumpa mkasa mzima hawa hawa ambao wapo upande wa Gangana
 
Kama yanga walipewa mamilioni ya kila Goli walilofunga wakapokea tena kwa shangwe, Wakapewa ndege ya Serikali (kwa gharama za walipa kodi) na wakakubali...basi na wao wakubali Ombi la Rais la Kumalizana na Fei.....

"Usipokuwa tayari kuliwa Huli"
Kumalizana nae kivipi?

Amandla...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] utopolo bana,yamewekewa ndoano yamenasa[emoji1787][emoji1787]yamepewa ndege bure,yakachekelea,yakapewa mil 20 yakawa yanapiga makelele mitaani,[emoji1787]sasa yameitwa ikulu kulipia,ukila lazima uliwe,suala la feitoto limeisha hivoo,hakuna cha injinia uchwara wala wala mihogo[emoji2506]
Masotojo ya ikulu yamewaponza
 
Kama yanga walipewa mamilioni ya kila Goli walilofunga wakapokea tena kwa shangwe, Wakapewa ndege ya Serikali (kwa gharama za walipa kodi) na wakakubali...basi na wao wakubali Ombi la Rais la Kumalizana na Fei.....

"Usipokuwa tayari kuliwa Huli"
Ngumu kumezaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wanasiasa wanatakiwa kukaa mbali kabisa na michezo, watatugawa sana wakiingilia. pia, hakuna watu wanasaidiana kama wanzanzibar, mzenji hata akikamatwa na kosa bara leo, kesho hadi waziri yeyote wa jamhuri anajua. ni kama wana kaumoja ka kwenye magroup hadi ya whatsapp. kuna kamanda mmoja aliwahi kutoa siri kwamba, ukikamata mzanji afu usipigiwe simu hadi na mawaziri wa kizenji, huyo labda kama ana chogo. hapo mh moyo unamuuma mno kwasababu ni mzenji, sio kwasababuni Mtanzania. ukweli ndio huu.
Mlipokua mnafurahia kwenda kula pilau ikuluu? Hamkujua kuwa ni mtegooo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imeishaa hiyooooo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] utopolo bana,yamewekewa ndoano yamenasa[emoji1787][emoji1787]yamepewa ndege bure,yakachekelea,yakapewa mil 20 yakawa yanapiga makelele mitaani,[emoji1787]sasa yameitwa ikulu kulipia,ukila lazima uliwe,suala la feitoto limeisha hivoo,hakuna cha injinia uchwara wala wala mihogo[emoji2506]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mama amewakamataa patamuuuu, hawana pa kutokeaaaa.

Wanabakii kujilizaa urohoo mchezooo, woiiiiii
Pilau haliliwii bureeeee.
 
Ninachojua mimi issue ikishafika kwenye simba na Yanga basi inchi inagawanyika! Ata ao waliopo karibu na mama naamini watauuliza kwani we unaelewa nn kuhusu hii issue? Wataanza kumpa mkasa mzima hawa hawa ambao wapo upande wa Gangana
Thubutuu unadhani hadi Rais kusema pale hajui kilichokua kinaendeleaaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Imeishaaaaa hiyooooooo
 
Kauli ya Rais Samia leo ni kama ameinyooshea kidole Dar Young African (Yanga), Yanga mnaugomvi na Feisal!

Unaweza kumsikiliza tena Mh Rais alafu ukapata jibu kuwa ni nani alienda kumuelezea Mh Rais issue ya Feisal? Na je! Aliefikisha ujumbe kwa Mh Rais alikuwa wa mlengo gani? Hakuwa na upande?

Mpeleka taarifa alimueleza Mh Rais kuwa Yanga ilitoa public statement inayomtaka Feisal kufika Ofisin kwa Yanga ili waweze kumalizana kama yeye mwenyewe anataka kuvunja mkataba apigiwe hesabu zake anunue mkataba wake awe huru? Au wao wanahisi Yanga wanasema aende basi jicho lao lipo kwamba anaitwa aende akacheze tu?
View attachment 2647362
rais kaomba walimalize hajasema wamalizane vipi
 
Back
Top Bottom