Hapa kuna 'ombi' la Mama ambae ni Rais wa JMT.Rage anakuwa irrelevant na ndiyo maana Feisal wala hakuhangaika nae hata kabla ya hili ombi.Trust me katika hili Yanga watatumia busara zaidi na Feisal atakuwa huru si kwa masharti magumu.Sana sana watapokea hiyo 112M na story itakuwa imeishia hapo.Kwani hapa issue nani anataka kuvunjaje mkataba au utarstibu gani unapaswa kufuata kuvunja mkataba? Rage ameshauli kijana amuombe ata yeye aende akakae na Yanga, Kimsingi Feisal anapaswa kununua mkataba wake uliobaki ambao kwa hesabu za haraka za Rage hautozidi Million 300
Na wewe utafia nyuma mwiko?Rais amekuwa kama Mama tu, na Huruma kwa kijana hata kama kijana kakosea, kwa hapa, ni bora tu kumfanyia wepesi huyu dogo aende kufia huko mbele
Sasa busara hip unqona Yanga wanapaswa kuitumia ambayo kimsingi hawajaitumia?Hapa kuna 'ombi' la Mama ambae ni Rais wa JMT.Rage anakuwa irrelevant na ndiyo maana Feisal wala hakuhangaika nae hata kabla ya hili ombi.Trust me katika hili Yanga watatumia busara zaidi na Feisal atakuwa huru si kwa masharti magumu.Sana sana watapokea hiyo 112M na story itakuwa imeishia hapo.
Saivi unaweza shangaa fei akasema Hana hio hela tena wakakosa vyoteHapa kuna 'ombi' la Mama ambae ni Rais wa JMT.Rage anakuwa irrelevant na ndiyo maana Feisal wala hakuhangaika nae hata kabla ya hili ombi.Trust me katika hili Yanga watatumia busara zaidi na Feisal atakuwa huru si kwa masharti magumu.Sana sana watapokea hiyo 112M na story itakuwa imeishia hapo.
Siyo tu kutumia busara, kauli ya Rais ilimaliza mchezo. Hakuna namna Yanga itafanya tena kumkomalia Feisali. Watamruhusu tu Feisali whether wanataka au hawataki. Ingawa watamruhusu kinyoooonge.Hapa kuna 'ombi' la Mama ambae ni Rais wa JMT.Rage anakuwa irrelevant na ndiyo maana Feisal wala hakuhangaika nae hata kabla ya hili ombi.Trust me katika hili Yanga watatumia busara zaidi na Feisal atakuwa huru si kwa masharti magumu.Sana sana watapokea hiyo 112M na story itakuwa imeishia hapo.
Exactly, na hawana Cha kumfanya tena.Saivi unaweza shangaa fei akasema Hana hio hela tena wakakosa vyote
Nakuuliza kama wewe ndiye C.E.O wa Klabu! Endapo watamuachia kama hivi ulivyoandika! Kama Taasisi yako itakuwa umepata matokeo chanya ama hasi?Siyo tu kutumia busara, kauli ya Rais ilimaliza mchezo. Hakuna namna Yanga itafanya tena kumkomalia Feisali. Watamruhusu tu Feisali whether wanataka au hawataki. Ingawa watamruhusu kinyoooonge.
Maneno ya Rais ya mwisho alisema anasubiri mrejesho hapohapo ikulu("natarajia kuona mnaniletea mrejesho hapahapa"). Kwa maneno hayo unadhani alimaanisha nini. In short, Feisal msimu huu mpya atakuwa na timu nyingine tena bila masharti yoyote. Wakimzingua anarudi kwa prezidaa. Nchi ya Tanzania raha sn, "nifanyie ujinga nikamwambie mjomba uone", "au mkikosa tu kuelewana utaskia"hivi unanifahamu mimi ni nani" ha ha ha ha Yanga hoyeeeeee.
Sasa utafanyaje, haitajalisha utapata matokeo gani muhimu ni kuacha lipite ugange yajayoNakuuliza kama wewe ndiye C.E.O wa Klabu! Endapo watamuachia kama hivi ulivyoandika! Kama Taasisi yako itakuwa umepata matokeo chanya ama hasi?
Uzanzibari kwanza. Umenierewa????Kauli ya Rais Samia leo ni kama ameinyooshea kidole Dar Young African (Yanga), Yanga mnaugomvi na Feisal!
Unaweza kumsikiliza tena Mh Rais alafu ukapata jibu kuwa ni nani alienda kumuelezea Mh Rais issue ya Feisal? Na je! Aliefikisha ujumbe kwa Mh Rais alikuwa wa mlengo gani? Hakuwa na upande?
Mpeleka taarifa alimueleza Mh Rais kuwa Yanga ilitoa public statement inayomtaka Feisal kufika Ofisin kwa Yanga ili waweze kumalizana kama yeye mwenyewe anataka kuvunja mkataba apigiwe hesabu zake anunue mkataba wake awe huru? Au wao wanahisi Yanga wanasema aende basi jicho lao lipo kwamba anaitwa aende akacheze tu?
View attachment 2647362
black and whiteKauli ya Rais Samia leo ni kama ameinyooshea kidole Dar Young African (Yanga), Yanga mnaugomvi na Feisal!
Unaweza kumsikiliza tena Mh Rais alafu ukapata jibu kuwa ni nani alienda kumuelezea Mh Rais issue ya Feisal? Na je! Aliefikisha ujumbe kwa Mh Rais alikuwa wa mlengo gani? Hakuwa na upande?
Mpeleka taarifa alimueleza Mh Rais kuwa Yanga ilitoa public statement inayomtaka Feisal kufika Ofisin kwa Yanga ili waweze kumalizana kama yeye mwenyewe anataka kuvunja mkataba apigiwe hesabu zake anunue mkataba wake awe huru? Au wao wanahisi Yanga wanasema aende basi jicho lao lipo kwamba anaitwa aende akacheze tu?
View attachment 2647362
mbona yamejaa kwenye twitter na instagram, hakuna hata haja ya mtu kumfikishia Raisi alimradi yeye ni msomaji mzuri wa mitandao.Unaweza kumsikiliza tena Mh Rais alafu ukapata jibu kuwa ni nani alienda kumuelezea Mh Rais issue ya Feisal? Na je! Aliefikisha ujumbe kwa Mh Rais alikuwa wa mlengo gani? Hakuwa na upande?
Kwa jinsi alivyoongea we unahisi ameyapata mtandaoni? Yule kaambiwa kuna issue hii wewe kama Mama naomba utusaidie! Kwani yule Jasmin juzi alikuwa analia nn pale Clouds Media?mbona yamejaa kwenye twitter na instagram, hakuna hata haja ya mtu kumfikishia Raisi alimradi yeye ni msomaji mzuri wa mitandao.
Simba hawato msajili Feisal katu! Azam ndiyo wanamtaka ila issue ya Feisal Mama kaipata kupitia upande wa wawakilishi wa Feisal, wale wanaweza ata kuandika barua kwa Rais wakiomba msaada! Kwani juzi Jasmin alikuwa analia nn pale Clouds?black and white
hapo waliosababisha mpaka mama akaijua issue ya fei kwanza ni media na pili ni kupitia mwana FA.
na next month lazma Fei asajiliwe simba au Azam sababu ote hao wanataka kuicheza karata yao vyema(win win situatioan) kwanza kumuwin mama sababu atakuwa anafatilia pili kuiwin government in term of grants and aids
Mtazamo wako tuNop Feisal hajaonewa mpaka dakika hiiView attachment 2647549
baada ya kauli ile ya raisi kitakachofanywa na yanga ni kutumia bango hili hili kumuita fei wayamalize km raisi alivyosema sasa yeye kwasababu ni brain empty atakwamisha mpango wa raisi kwa kutokuja au kuja ila kukataa utaratibu wa kumalizanaKauli ya Rais Samia leo ni kama ameinyooshea kidole Dar Young African (Yanga), Yanga mnaugomvi na Feisal!
Unaweza kumsikiliza tena Mh Rais alafu ukapata jibu kuwa ni nani alienda kumuelezea Mh Rais issue ya Feisal? Na je! Aliefikisha ujumbe kwa Mh Rais alikuwa wa mlengo gani? Hakuwa na upande?
Mpeleka taarifa alimueleza Mh Rais kuwa Yanga ilitoa public statement inayomtaka Feisal kufika Ofisin kwa Yanga ili waweze kumalizana kama yeye mwenyewe anataka kuvunja mkataba apigiwe hesabu zake anunue mkataba wake awe huru? Au wao wanahisi Yanga wanasema aende basi jicho lao lipo kwamba anaitwa aende akacheze tu?
View attachment 2647362