mapema
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 640
- 1,881
Ni ndoto yangu kuwa sehemu ya jamii kuwainua watoto walio kwenye mahitaji na changamoto za kimaisha.
Hilo la kuasili nimewahi kulifikiria lakini nikifikiria umuhimu wa nasaba kwakeli naona sio bora sana kumchukua mtoto wa mtu damu ya mtu kuifanya iwe damu yako, labda sipo sahihi.
Hilo la kuasili nimewahi kulifikiria lakini nikifikiria umuhimu wa nasaba kwakeli naona sio bora sana kumchukua mtoto wa mtu damu ya mtu kuifanya iwe damu yako, labda sipo sahihi.