D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Awe mke mkubwa au?Mpandishe cheo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awe mke mkubwa au?Mpandishe cheo
Asante sana kwa hii elimu sikuwahi kujjua kama sayance imefika huko, vipi DNA itasoma takwimu za mwanamke yupi kati ya hao wawiliHii inatumika kwa watu wasio na uwezo wa kupata mtoto, labda mwanaume hawezi kutungisha mimba au mwanamke hana uwezo wa kupata ujauzito kwa sababu kadhaa.
Hivyo wanakubaliana kupandikiza ujauzito kwa njia za kisayansi hiyo njia ndio inaitwa In vitro fertilization (IVF) sasa Kuna namna mwanaume anaweza kutumia mayai ya mwanamke mwingine na ujauzito ukabebwa na mwanamke mwingine.
Hili jambo linafanyika sana katika hospital nyingi hapa Tanzania sasa, ila hadi sasa hakuna sera au Sheria kuhusu hili jambo au kama hizo sera na Sheria zipo basi ni vyema wananchi wakajulishwa na kuelimishwa
Mkafate watoto zenu 🤣Asante sana Mheshimiwa na sisi tuliozaa nje ya ndoa Ila wake zetu hawajui utaratibu upoje?
Tunahofia wake zetu wakijua patatimka hapo nyumbani. Hakuna namna ya kumfunga mdomo bi mzuri?Mkafate watoto zenu 🤣
🗣️ Mtu mzima hovyoo!! In Jei Kei's voice.Mimi ni baba mtu mzima, nahutaji jimama wa Kuni adopt
DNA itasoma kwa mwanamke alietoa yai, ila wataalam wataelezea zaidiAsante sana kwa hii elimu sikuwahi kujjua kama sayance imefika huko, vipi DNA itasoma takwimu za mwanamke yupi kati ya hao wawili
Ndivyo anavyoitwa, ulitaka amwitajeHii imekaa njema Dr, lakini nishauri ungeondoa neno (mtoto wa kambo)
Hukumuhofia wakati unamsaliti uje kumuhofia tayari ushaleta kiumbe duniani??Tunahofia wake zetu wakijua patatimka hapo nyumbani. Hakuna namna ya kumfunga mdomo bi mzuri?
Samahani dokta gwajima nipo nje ya mada nilikua nauliza hivi bado unajifukiza kama kipindi kile cha korona na je ina msaada gani na madhara ki afyaWasaalam Wana Jukwaa wote.
Kwa aliyebarikiwa neema ya Kulea watoto kwa malezi ya kambo au kumuasili kisheria awe wake;
UTARATIBU;
Baada ya kuwasilisha maombi Halmashauri;
1. Afisa Ustawi wa Jamii atakutembelea na kufanya tathmini.
2. Taarifa itawasilishwa kwa Kamishna wa Ustawi wa Jamii Wizarani.
3. Iwapo hakuna hoja pingamizi, Kamishna atatoa kibali kwa mwombaji kumtambua mtoto.
4. Afisa Ustawi wa Jamii ataendelea kufanya ufuatiliaji wa maendeleo ya familia iliyomtambua mtoto na kuanza kumlea malezi ya kambo.
5. Taarifa ya maendeleo ya malezi ya kambo baada ya mathalani miezi sita hivi itawasilishwa tena kwa Kamishna, kwa ajili ya kuthibitisha kuwa maendeleo ya malezi ya kambo ni mazuri, hakuna changamoto hivyo, kibali cha kwenda mahakamani kuomba ridhaa ya Kuasili mtoto huyo kitatolewa.
Hakuna malipo yoyote epuka ulaghai wa wasio waadilifu.
Kweli mama umemjibu kwa hekima.wanaume wanapitia mengiMlete Dawati la jinsia tafadhali. Usiruhusu hasira ifungue safari ya kuvuruga maisha yako na Baraka zako. Kuwa mtulivu, fuata utaratibu. Shukrani
🙏🙏DNA itasoma kwa mwanamke alietoa yai, ila wataalam wataelezea zaidi
Sitaki kuamini kuwa ndiye alisema wametest mitamboMama nakupenda sana kwa kazi yako!
Mungu akutumie kwa njia hii na zaidi!
Ahsante Sana kufuatilia mjadala huu na kuchangia. Tumetoa namba hizo za call center za wizara Ili kama ikitokea tumechelewa kuona hapa basi fuatilieni kwenye namba hizo.Naomba jibu ya swali langu, mnapotoa taarifa au kuanzisha mijadala kwenye jamii ni vizuri muwe mmejiandaa kujibu maswali katika nyanja tofauti,
Kuna vitu vingi ambavyo jamii inahitaji kuelimishwa hasa jambo la In vitro fertilization (IVF) lakini hadi sasa hakuna muongozo wa kisera toka serikalini ili hali sasa Kuna hospital nyingi zinatoa hiyo huduma sasa hapa nchini
Maswali niliyouliza kwenye post # 45 ni
1. Ningependa kujua, je kisheria serikali inaruhusu ku adopt mtoto mwenye umri kuanzia miaka mingapi?
2. Endapo ume adopt mtoto kumbe mzazi wake yupo kimya tu, badae mtoto amekua mkubwa mzazi wa huyo mtoto akaja muhitaji Sheria inasemaje?
3. Kwa wale ambao wanatafuta watoto kwa njia ya In vitro fertilization (IVF) Sheria inasemaje endapo mhusika wa mtoto au watoto akatumia surrogate mother na kumlipa??
Kifupi alidanganywa, angeibiwa, huo ni utapeli na ula rushwa. Hakuna malipo. Kama Yuko tayari anitumie ujumbe tuchunguze Ili aliyeomba hizo hela achukuliwe hatua. Hapa nahitaji ushirikiano wako tafadhali.Asante muheshimiwa, ila kuna urasimu mwingi sana. Kuna ndugu yangu aliambiwa lazima awe na milioni ishirini kwenye account ndio aweze kuasili. Yeye ni muajiriwa tu wa serikali kuipata hiyo hela ni ngumu, ila uwezo wa kutunza mtoto anao.
Tunaomba muheshimiwa toa tamko kwa idara zote husika, wasifanye mambo kuwa magumu. Wafanye due diligence yao na kufuata all the necessary procedures bila kumkatisha tamaa mtu mwenye nia njema ya kuasili.
Ahsante Sana kwa kujitoa kuelimisha, huu ndiyo ushirikiano wa wadau 🙏🏽Hii ni solution Kwa Wanandoa wenye changamoto ya kupata watoto.
Mnaweza mkakubaliana na Mkeo, mkaenda kum-adopt mtoto wa miezi kadhaa then mkamlea na kumfanya wa kwenu.
Kama litafanyika Kwa upendo, inaweza kusaidia kupunguza watoto wa mitaani ambao wamekosa huduma na Walezi.
Wale ambao wataguswa kufanya hivyo vyema mkawahi mapema.
Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, "Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa"
Yakobo 1:27
Hovyo kabisa🗣️ Mtu mzima hovyoo!! In Jei Kei's voice.
Mje mpate elimu tafadhaliAsante sana Mheshimiwa na sisi tuliozaa nje ya ndoa Ila wake zetu hawajui utaratibu upoje?
Ila kweli jamaa hovyo sana huyu khaaa🗣️ Mtu mzima hovyoo!! In Jei Kei's voice.