Dkt. Gwajima D
Minister
- Nov 28, 2015
- 966
- 6,019
- Thread starter
- #41
Ubarikiwe, tuendelee kushirikiana 🙏🏽Mama nakupenda sana kwa kazi yako!
Mungu akutumie kwa njia hii na zaidi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubarikiwe, tuendelee kushirikiana 🙏🏽Mama nakupenda sana kwa kazi yako!
Mungu akutumie kwa njia hii na zaidi!
Marahaba, shukrani, ubarikiwe 🙏🏽Shikamoo dr gwajima
Shukrani 🙏🏽Sawa mkuu
Asante kwa huo muongozo kutoka serikalini,Wasaalam Wana Jukwaa wote.
Kwa aliyebarikiwa neema ya Kulea watoto kwa malezi ya kambo au kumuasili kisheria awe wake;
UTARATIBU;
Baada ya kuwasilisha maombi Halmashauri;
1. Afisa Ustawi wa Jamii atakutembelea na kufanya tathmini.
2. Taarifa itawasilishwa kwa Kamishna wa Ustawi wa Jamii Wizarani.
3. Iwapo hakuna hoja pingamizi, Kamishna atatoa kibali kwa mwombaji kumtambua mtoto.
4. Afisa Ustawi wa Jamii ataendelea kufanya ufuatiliaji wa maendeleo ya familia iliyomtambua mtoto na kuanza kumlea malezi ya kambo.
5. Taarifa ya maendeleo ya malezi ya kambo baada ya mathalani miezi sita hivi itawasilishwa tena kwa Kamishna, kwa ajili ya kuthibitisha kuwa maendeleo ya malezi ya kambo ni mazuri, hakuna changamoto hivyo, kibali cha kwenda mahakamani kuomba ridhaa ya Kuasili mtoto huyo kitatolewa.
Hakuna malipo yoyote epuka ulaghai wa wasio waadilifu.
Kuna sifa za historia ya mwombaji na uadilifu wake, kutokana na hizo, maamuzi huzingatiwa🙏🏽Mwanaume alitekataa ndoa anaruhusiwa kuasili mtoto wa kike!?
Vipi huyo mtoto akikuwa akawa mrembo, huyo baba yake anaweza oa!?
Vema ila siyo lazimaNi lazima wawe wanandoa?
Aleikum Salaam, shukrani 🤲Asalamaleko Dkt. Gwajima D
Mpandishe cheonaweza kumfungilia mashartaka mke wangu anae nitesa kabla sijapewa kesi Dkt. Gwajima D
Naomba jibu ya swali langu, mnapotoa taarifa au kuanzisha mijadala kwenye jamii ni vizuri muwe mmejiandaa kujibu maswali katika nyanja tofauti,Aleikum Salaam, shukrani 🤲
Asante muheshimiwa, ila kuna urasimu mwingi sana. Kuna ndugu yangu aliambiwa lazima awe na milioni ishirini kwenye account ndio aweze kuasili. Yeye ni muajiriwa tu wa serikali kuipata hiyo hela ni ngumu, ila uwezo wa kutunza mtoto anao.Wasaalam Wana Jukwaa wote.
Kwa aliyebarikiwa neema ya Kulea watoto kwa malezi ya kambo au kumuasili kisheria awe wake;
UTARATIBU;
Baada ya kuwasilisha maombi Halmashauri;
1. Afisa Ustawi wa Jamii atakutembelea na kufanya tathmini.
2. Taarifa itawasilishwa kwa Kamishna wa Ustawi wa Jamii Wizarani.
3. Iwapo hakuna hoja pingamizi, Kamishna atatoa kibali kwa mwombaji kumtambua mtoto.
4. Afisa Ustawi wa Jamii ataendelea kufanya ufuatiliaji wa maendeleo ya familia iliyomtambua mtoto na kuanza kumlea malezi ya kambo.
5. Taarifa ya maendeleo ya malezi ya kambo baada ya mathalani miezi sita hivi itawasilishwa tena kwa Kamishna, kwa ajili ya kuthibitisha kuwa maendeleo ya malezi ya kambo ni mazuri, hakuna changamoto hivyo, kibali cha kwenda mahakamani kuomba ridhaa ya Kuasili mtoto huyo kitatolewa.
Hakuna malipo yoyote epuka ulaghai wa wasio waadilifu.
📌🔨Ni jambo jema kulea mtoto asiye wako kwa kupenda si kwa kudanganywa.
Hii kitu mpya tusaidie kuielewa vizuri mkuu3. Kwa wale ambao wanatafuta watoto kwa njia ya In vitro fertilization (IVF) Sheria inasemaje endapo mhusika wa mtoto au watoto akatumia surrogate mother na kumlipa??
Hii inatumika kwa watu wasio na uwezo wa kupata mtoto, labda mwanaume hawezi kutungisha mimba au mwanamke hana uwezo wa kupata ujauzito kwa sababu kadhaa.Hii kitu mpya tusaidie kuielewa vizuri mkuu
Hongera sana una karama ya kipekee, nahisi umelelewa na wazazi wenye kumjua Mungu vilivyo, itapendeza ukiwa balozi wa kuwawezesha watu wengine kuwa na moyo wa upendo wa kiasi hichoNinaye mtoto ambaye nimekuwa nikimlea kwa hiari yapata miaka 6 sasa, wazazi wake wote wapo ila walitengana mapema sana.... baba wa mtoto ndiye alikuwa rafiki yangu.
Baada ya kutengana kwao, baba hakutaka kuhusika na malezi kwa namna yoyote licha ya ushauri wangu kama rafiki..... mwisho mama mtoto akaniomba mimi nimsaidie malezi kwa kuishi na mtoto na kumsomesha.
Kuna nyakati kadhaa nimeshuhudia majina ya mtoto kwenye daftari zake akibadili na kuandika jina langu, ile kuulizia kumbe mama mtoto pia anajua na ameridhia.... kitu ambacho nimekipinga kwa kuwa nilihisi pengine itakuja kuleta shida mbeleni.
Kuna nyakati natamani kufanya hivyo ili kumwezesha mtoto kuwa mnufaika wa BIMA ya AFYA, ushauri niliopewa ni huu wa kumuasili ila bado sijafikia maamuzi..... sababu sijakubali kupora haki ya mzazi wake ambaye ni rafiki yangu japo hajali lolote ila huwezi kujua ya kesho.
Je, naweza kumuasili mtoto kisheria ili aweze kupata hizi 'benefits' lakini akabakia na majina yake?
Asante sana Mheshimiwa na sisi tuliozaa nje ya ndoa Ila wake zetu hawajui utaratibu upoje?Wasaalam Wana Jukwaa wote.
Kwa aliyebarikiwa neema ya Kulea watoto kwa malezi ya kambo au kumuasili kisheria awe wake;
UTARATIBU;
Baada ya kuwasilisha maombi Halmashauri;
1. Afisa Ustawi wa Jamii atakutembelea na kufanya tathmini.
2. Taarifa itawasilishwa kwa Kamishna wa Ustawi wa Jamii Wizarani.
3. Iwapo hakuna hoja pingamizi, Kamishna atatoa kibali kwa mwombaji kumtambua mtoto.
4. Afisa Ustawi wa Jamii ataendelea kufanya ufuatiliaji wa maendeleo ya familia iliyomtambua mtoto na kuanza kumlea malezi ya kambo.
5. Taarifa ya maendeleo ya malezi ya kambo baada ya mathalani miezi sita hivi itawasilishwa tena kwa Kamishna, kwa ajili ya kuthibitisha kuwa maendeleo ya malezi ya kambo ni mazuri, hakuna changamoto hivyo, kibali cha kwenda mahakamani kuomba ridhaa ya Kuasili mtoto huyo kitatolewa.
Hakuna malipo yoyote epuka ulaghai wa wasio waadilifu.