Unahitaji shingapi ili usifanye kazi tena?

Unahitaji shingapi ili usifanye kazi tena?

Umewahi kufikiri kwenye hii miaka ya artificial intelligence robots zikianza kuwepo hadi vijijini utafanya kazi gani? Miaka 30 iliyopita ukiwa na taarifa ya kupeleka kijiji jirani ulikuwa unatuma mtu, leo taarifa hiyo hiyo unaipeleka sehemu yoyote ulimwenguni kwa sekunde chache. Kwa hiyo hoja ya mwandishi ipo na inafikirisha sana sababu huko mbeleni tutakuwa hatuna kazi za kufanya anyway.

Tutakua na kazi ya kumaintain na kuprogram hayo marobot.
 
Tutakua na kazi ya kumaintain na kuprogram hayo marobot.
Unaprogram robot ambayo inafikiria vizuri kuliko wewe? Sasa hivi AI ipo vizuri kuliko akili ya binadamu siyo kama computer ambazo unasema unaprogram. Yenyewe inafikiri wisely kuliko binadamu. Huna hata haja ya kuuliza inafanya ikihisi ni muda wa kufanya kitu fulani
 
Unaprogram robot ambayo inafikiria vizuri kuliko wewe? Sasa hivi AI ipo vizuri kuliko akili ya binadamu siyo kama computer ambazo unasema unaprogram. Yenyewe inafikiri wisely kuliko binadamu. Huna hata haja ya kuuliza inafanya ikihisi ni muda wa kufanya kitu fulani

Sababu imekuwa programmed na binadamu what to do. Hizo fantasy zenu za robot kuwa na free will na inteligence zaidi ya binadamu will never happen. Zitaishia kuwa fantasy tu kama kuamini uwepo wa aliens/ushirikina.
 
Sababu imekuwa programmed na binadamu what to do. Hizo fantasy zenu za robot kuwa na free will na inteligence zaidi ya binadamu will never happen. Zitaishia kuwa fantasy tu kama kuamini uwepo wa aliens/ushirikina.
Angalia video hapo chini uone AI ilivyofika then uje utoe maoni yako
 

Attachments

  • VID-20230920-WA0001.mp4
    6.1 MB
Billion moja na kuendelea

Mchanganuo

Pesa yote nunua Gvt bond

Faida approximately 120m annually equivalent to 10M monthly

Hapa utakaa popote Tanzania na utakula milo yote muhimu na hela ya kusaidia shida za hapa na pale

Technically i need a minimum of 5 million dollars.
Twende taratibu, hyo 5M nkiiweka fixed at a minimu of 5% return per annum nna uhakika wa kupata 41 Million tanzanian shillings per month.
Ukitoa max. Kodi ya 20% nabaki na 32.8M approximately 33M.
Therefore per day nna uhakika wa kuspend about 1M bila kuyumba.
Niendelee na uchambuzi au niishie hapa hapa??
Mbona huku bado ni kutafuta hela? Au ni mimi sijamuelewa mleta mada
 
Nimewaza jinsi watu tunavyotumia muda mwingi kwenye maisha yetu katika kutafuta hela. Iwe ni muajiriwa wa kawaida, au hata tajiri, wote wanahangaika na pirika za kiuchumi, na kwa ujumla lengo kuu ni kupata pesa zaidi.

Sasa nimejiuliza hivi haiwezekani kuwa na hela za kutosha kiasi kwamba hutohitaji kufanya kazi tena? Na kama inawezekana, ni kiasi gani cha fedha kinahitajika?
Kwa upande wangu Sihitaji mapesa mengi sana ila nahitaji na ninapambana kwa kila namna mawazo yangu yamfikie Madam President. Na ninaamini itakuwa hivyo na hapo pesa itakuwa inaingia na Wenye hela zao hasa Wanasiasa watakuwa wanazileta tu kwangu.
 
Angalia video hapo chini uone AI ilivyofika then uje utoe maoni yako

Sioni cha ajabu kabisa hapo. Singapore wamesema soon watu wataanza kusafiri bila kutumia ID yeyote ile sioni ajabu hizo ni technology za biometrics tu.

Nachokwambia machine kuwa na free will na inteligence zaidi ya binadamu will never happen. Itaishia kuwa fantasy na kwenye movies tu kama uwepo wa aliens au ushirikina. In reality havipo and never will.
 
Nimewaza jinsi watu tunavyotumia muda mwingi kwenye maisha yetu katika kutafuta hela. Iwe ni muajiriwa wa kawaida, au hata tajiri, wote wanahangaika na pirika za kiuchumi, na kwa ujumla lengo kuu ni kupata pesa zaidi.

Sasa nimejiuliza hivi haiwezekani kuwa na hela za kutosha kiasi kwamba hutohitaji kufanya kazi tena? Na kama inawezekana, ni kiasi gani cha fedha kinahitajika?

hamna hicho kiasi,,, kitu usichoelewa kadiri unavokua na hela ndivo unaongeza matumizi

kuna siku ugali wa elf2 itakua si tuyep yako unataka wa Laki1
 
Nimewaza jinsi watu tunavyotumia muda mwingi kwenye maisha yetu katika kutafuta hela. Iwe ni muajiriwa wa kawaida, au hata tajiri, wote wanahangaika na pirika za kiuchumi, na kwa ujumla lengo kuu ni kupata pesa zaidi.

Sasa nimejiuliza hivi haiwezekani kuwa na hela za kutosha kiasi kwamba hutohitaji kufanya kazi tena? Na kama inawezekana, ni kiasi gani cha fedha kinahitajika?
Mimi nilishapigaga hesabu 47 Billion pesa zetu za madafu zinanitosha kutumia life time
 
Nimewaza jinsi watu tunavyotumia muda mwingi kwenye maisha yetu katika kutafuta hela. Iwe ni muajiriwa wa kawaida, au hata tajiri, wote wanahangaika na pirika za kiuchumi, na kwa ujumla lengo kuu ni kupata pesa zaidi.

Sasa nimejiuliza hivi haiwezekani kuwa na hela za kutosha kiasi kwamba hutohitaji kufanya kazi tena? Na kama inawezekana, ni kiasi gani cha fedha kinahitajika?
Ukijua mahitaji yako na akiba ya mwezi inayokutosha, jipangie utaishi miaka mingapi, ndio utajua unahitahi pesa ngapi.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Technically i need a minimum of 5 million dollars.
Twende taratibu, hyo 5M nkiiweka fixed at a minimu of 5% return per annum nna uhakika wa kupata 41 Million tanzanian shillings per month.
Ukitoa max. Kodi ya 20% nabaki na 32.8M approximately 33M.
Therefore per day nna uhakika wa kuspend about 1M bila kuyumba.
Niendelee na uchambuzi au niishie hapa hapa??
Utakufa haraka sana
 
Kwa pesa isiyokuwa ya kufuja wala kujinyima, kwa siku mtu unahitaji angalau 100,000/= hapo nyumba ya kuishi unayo tayari

Kwa hiyo kwa mwaka unahitaji angalau 36, 600,000/=
Kwa miaka 10 unahiaji million 366
Kwenye hizi ngeza million zingine 36.60 kutokana na inflation
Hapo zinakuwa angalau million 410 kwa miaka kumi

Million hizi 410 zidisha sasa na miaka yako ya kuishi ambayo unakisia kuwa imeabaki, ukichukualia kuwa utaishi angala miaka 95+
95+?🤣🤣🤣🤣🤣💺
 
Kuna kitu niliona kwa wazungu, kinaitwa F.I.R.E yaani Financial Independence, Retire Early.

Ni kwamba unakusanya pesa kupitia kazi ama biashara ama vyote, halafu unawekeza kwa namna ambayo itakuwezesha kutokutumia muda wako mwingi kwenye kazi.

Ndio kuna watu wanaona kama kazi inaleta maana kwenye maisha yao, unaweza ukaendelea kufanya kazi kwa kiasi unachotaka

Lengo kuu ni kuwa na uwezo wa kifedha wa kuishi maisha unayotaka, nadharia ni kwamba ukitataua tatizo la pesa hayo mengine utaweza kupangilia vizuri

Kipindi naleta huu uzi nilishindwa kufafanua
 
Back
Top Bottom