Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Mkuu, hiyo unayotaka kununua ni nini? Fafanua vizuri basi. Kuna 1.3Bil kwenye ac ya Bibi. Nataka kufanya tukioBillion moja na kuendelea
Mchanganuo
Pesa yote nunua Gvt bond
Faida approximately 120m annually equivalent to 10M monthly
Hapa utakaa popote Tanzania na utakula milo yote muhimu na hela ya kusaidia shida za hapa na pale
Changanua basi, hata nikisema nakimbia, nijue nakimbia