Unajamba mara ngapi kwa siku?

Unajamba mara ngapi kwa siku?

Status
Not open for further replies.
mimi najamba kila pale kijambio kinapotaka kujamba so huwa sina time ya kuhesabu
Isije kuwa ndo umekaa karibu na mimi Mkuu!
Maana naona hapa nilipo tumbo limejaa gesi kwa sababu ya vijambo vyako, hebu jaribu kuwa msitaarabu basi.
Kuna sehemu za kwenda kujambia.
Na utaratibu ni kwamba, ukimaliza kujamba, unatawaza kwa maji.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom