fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Na unapojamba unapata raha au unapata nafuu fulani? Na kati ya mwanaume na mwanamke,yupi hujamba mara nyingi zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa,sasa jaribu kuhesabu kuanzia keshomimi najamba kila pale kijambio kinapotaka kujamba so huwa sina time ya kuhesabu
Jesus Christ on the cross...!🥺🥺🥺Na unapojamba unapata raha au unapata nafuu fulani? Na kati ya mwanaume na mwanamke,yupi hujamba mara nyingi zaidi?
Kawaje?Jesus Christ on the cross...!🥺🥺🥺
Isije kuwa ndo umekaa karibu na mimi Mkuu!mimi najamba kila pale kijambio kinapotaka kujamba so huwa sina time ya kuhesabu
Kumbe!Kujamba hakutokani na jinsi wewe mjambaji mashuhuri bali mifumo ya chakula ambayo iko sawa kwa jinsi zote
Ili uweze kujibu swali nililoulizaKwaiyo kila ukijamba unahesabu ili iweje
Usijiachieachie hovyo.Mashaka yatatawala kuhusu muundo kamili wa marinda yako.Na unapojamba unapata raha au unapata nafuu fulani? Na kati ya mwanaume na mwanamke,yupi hujamba mara nyingi zaidi?
Aliangikwa msalabani Golgota ili wenye dhambi wote wapate msamaha wa dhambi kupitia damu yake takatifu iliyomwagika pale mlimaniKawaje?
Oh hiyo nilikuwa sijui,maana mie sina uelewa mkubwa kuhusu masuala ya diniAliangikwa msalabani Golgota ili wenye dhambi wote wapate msamaha wa dhambi kupitia damu yake takatifu iliyomwagika pale mlimani
ok sawaHaina haja ya kuponda swali lako maana ni kweli kila mtu hujamba. Idadi ya kujamba inategemea umekula chakula gani