Unajifunza nini kupitia picha hii?

Hahahaha🤣🤣🤣
Comment no #43 imenichekesha Sana Hadi nimetapika....

Astaghafirullah
Astaghafirullah
Astaghafirullah
 
Sema darah nawapa pole sana kwa wadada wahangaikaji wote,
No shortcutt they have to struggle for their happiness no more ideas b' use other routes are of shame
Hapo akijichanganya anakuwa mke wa kila mtu.. kwa hizi hizi buku buku tu. What you think of the alternative ways? Nadhani antenatal kizimba sokoni mbande kisewe pale asengafikia huku
 
Hesabu hizi zinaaply context gani hadi vijijin?
 
tatizo mnatafutaga wasiojielewa ili muwalipe kidogo kwa kazi kubwa waifanyayo. kingine hamtafuti watu wenye sifa..
pichani hapo ukipiga hesabu nje ya mwili jamaa kazidiwa thamani na vifaa alivyopewa na ofisi unategemea nini..?
 
Oh! Nadhan una ushhidi may be unahusika na hizi ishu moja kwa moja. Ukiachilia mbali hili la kuuza laini ni task gan huy mtu anaweza kuperfom na ananufaikaje?
 
Hesabu hizi zinaaply context gani hadi vijijin?
Bei ya simcard 1 bei halali ni 1000 popote, ila kwa sababu ya ushindani, kuna wanaopewa simcards za bure na company ili wao wazisajili bure kwa wateja. Hapo freelancer hanunui simcard lakini anapata connection kubwa ya wateja wapya so commission inapanda.
 
tatizo mnatafutaga wasiojielewa ili muwalipe kidogo kwa kazi kubwa waifanyayo. kingine hamtafuti watu wenye sifa..
pichani hapo ukipiga hesabu nje ya mwili jamaa kazidiwa thamani na vifaa alivyopewa na ofisi unategemea nini..?
Ofis hapo si imempa hiko kiskana cha vidole tu. Mana sim lazima uwe nayo wanaandika kabisa kwenye tangazo
 
tumia maelezo rahisi...... hiv kwa maelezo haya sindo matokeo ya picha hii... jamaa akaona kwenye Elfu Kumi elfu Saba Mia Tano inakua yangu.. sasa hiyo mirzi minne yakuisubiri 7500" hsuoni ni hela ndogo sana kulingana na Muda?
 
Acha kabisaa mkuu, nilishawah kuileta hii habar kwa id nyingine..sina hamu tena, kwakifupi nimerudi nyuma sanaaaaaaa kwaajil ya wale watu kias kwamba dooh!!acha tu, nikieleza sana usije ukaunganisha dots bure
Au wew ndo yule bos wangu pale gomz halipi akiletewa tenda anachikia hela juu kwa juu. Last time hamkufikishana polisi huku unalia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…