UNAJIMU: Sayari ya Mercury na Athari zake katika Maisha yetu

Haahahahaaa dah we jamaa unanipa raha sana.
 
Itabidi ubadili username, wakuite mtibuaji
 
Na mimi nina swali lako ManchoG , hivi kwa nini tabiri za kinajimu zina mapokeo tofauti ukilinganisha na tabiri zingine kama tabiri za hali ya hewa (weather forecast) ama tabiri za mahitaji (demand forecasts)

Sina utaalamu wa tabiri ya aina yeyote kati ya hizo hivyo sina la kuongeza/kuzungumzia

Kumbuka zote hizo ni tabiri, na watu wanachukulia kawaida. Kwa nini unajimu?

Labda kulingana na mafundisho waliyozoezwa mashuleni

Tumefundishwa toka tukiwa wachanga kuwa sayari ni magimba tu yaliyo angani

Na hatukudokezwa juu ya kuwa na uweza zaidi ya huo wa kutawala haiba zetu

Endelea kutupa darasa tukiwa na swali tutawasilisha
 
Sio kila elimu utaipata darasani, haya mambo mengine yakupasa ujiongeze.

Na kanuni ya kwanza ya kuelewa haya mambo ni kuiacha akili yako huru. Utajua mengi sana kuhusu huu ulimwengu.
 
Sio kila elimu utaipata darasani, haya mambo mengine yakupasa ujiongeze.

Na kanuni ya kwanza ya kuelewa haya mambo ni kuiacha akili yako huru. Utajua mengi sana kuhusu huu ulimwengu.
Thibitisha Mercury inavyoathiri mikataba duniani.
 
Kama naitwa mtibuaji kwa kutibua uongo, jina hilo litakuwa la heshima kubwa sana kwangu.

Thibitisha Mercury inavyoathiri mikataba duniani.
Mkuu hilo nishalijibu, anzia comment za mwanzo kabisa za huu Uzi...
 
Majibu yapo hapa...
 
Mkuu hilo nishalijibu, anzia comment za mwanzo kabisa za huu Uzi...
Nimesoma sijaona uthibitisho.

Comment gani hiyo isiyo na namba wala kiweza kunukulika?
 
Last edited:

Hii ina ukakasi sana _Na kama tayari ni Imani ni tatizo
 
Comment namba 13 haijathibitisha jinsi Mercury inavyoathiri mikataba duniani.

Imethibitisha huwezi kuthibitisha.
Kwanza kubali kama hujaelewa, halafu kitu kingine mtu ambaye beginner kama wewe, unapotaka kuelewa kwa usiku mmoja unakua unashangaza.

Una safari ndefu sana kuyaelewa haya mambo. Nimeeleza just in brief. Kitu ambacho kitakupa shida sana mtu kama wewe ambaye huna msingi wowote.

Unaweza elewa masomo level ya form six ikiwa hujaanza hata form one? Utakua genius.
 
Zote hizi ni longolongo za kuficha ukweli kwamba huwezi kuthibitisha madai yako ya uongo.

Wewe ni muongo.

Unasema Mercury inaathiri mikataba duniani.

Uzi huu nimekutaka ithibitishe hilo.

Umeshindwa.

Kwa sababu ni uongo.
 
Zote hizi ni l9ngol9ngo za kuficha ukweli kwamba huwezi kuthibitisha madai yakobya uongo.

Wewe ni muongo.

Unasema Mercury inaathiri mikataba duniani.

Uzi huu nimekutaka ithibitishe hilo.

Umeshindwa.

Kwa sababu ni uongo.
Hujui unachotaka, nimekwambia soma comment namba 13. Unasema haitoshi, hayo mengine unayotaka niandike hapa yapo nje ya uwezo wako.
 
Hujui unachotaka, nimekwambia soma comment namba 13. Unasema haitoshi, hayo mengine unayotaka niandike hapa yapo nje ya uwezo wako.
Hakuna ulipothibitisha Mercury inavyoathiri mikataba duniani katika hiyo post namba 13.

Kama kuna sehemu umeonesha hili, nukuu hapa.

Unadanganya vitu na ukiambiwa umedanganya unazidi kudanganya kwa kusema umevielezea wakati hujavielezea.

Unaongeza uongo juu ya uongo.
 
Mercury ni ruler wa mambo yote yanayohusu mawasiliano, sasa inapokua ina transit retrograde ina express its energy inwardly more than outwardly.

Ni kama ina pause for some time. Sasa na mambo yote yanayohusu mercury ikiwemo mikataba nayo yanakua katika sluggish state.

That's why tunashauriwa na sisi tuachane na mambo yanayohusu mercury at all ikiwemo mikataba.

Usipoelewa na hapo ntaanza kupata mashaka na wewe.
 

Haya Mambo yapo! Elimu ya Unajimu (Astrology) hii ipo tangu zamani sana!(Occultism) Kuna Watawala Maarufu sana Ulimwenguni hawaanzi jambo lolote lile bila kutafuta ushauri kutoka kwa Wanajimu(Waonaji) - Kwa Watu wa Imani ya Kikristo ambayo ninaifahamu - Unajimu ni DHAMBI! Wenzetu waislam wanasema NI SHIRKI!
Kwa wasio na KATAZO elimu hii wanaifuata sana! WANASIASA,WANAMUZIKI NA WASAKA BAHATI ZA MAISHA.
Kwa sisi wenye KATAZO Elimu hii sio Sahihi kuiendea!
Na sababu kubwa ni kwamba utaacha kumtegemea MUNGU na kutegemea Maarifa ya hawa wasoma Nyota.
Utaacha kujituma na Kutumia Akili yako na Kuwa tegemezi wa Mambo yasiyo na Uhakika kwa Asilimia 100%
Upo Ushahidi wa Jinsi maisha ya watu yalivyoharibika kwa kuendekeza Unajimu - Hawezi hata kujaribu fursa mpya kwa kuwa Mnajimu wako kasema tofauti.
Astrology is a disease, not a science... It is a tree under the shadow of which all sorts of superstitions thrive. ... Only fools and charlatans lend value to it. - MOSES MAIMONIDES
Asante.
 
Hujathibitisha. Umeandika tu.

Kama mimi ninavyoweza kuandika kwamba mimi ni bilionea Bill Gates.

Mimi kuandika kwamba mimi ni bilionea Bill Gates hakunifanyi niwe bilionea Bill Gates.

Thibitisha unachodai. Usiandike tu kama hadithi.
 
Last edited:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…