Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'



khaaa shost ..mbona ulikua unakuja vzr tu na daby
 
Kumbe kuna wigi orijino?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometimes tukiwashobokea mnataka tuwashobokee sanaaaa ndio nuelewe kama tumewashobokea. Tuko tofauti kidogo, wengine tunashoboka kidogo tu na ukiwa hujaelewa mshoboko wetu unataka tushoboke sana tunaona kama mnatichosha.

Mimi kiukweli haya mambo artificial siyapendi haswa na naweka hisia zangu wazi
 
Mi nimeangalia mwonekano wa kukosa tu wigi nika-comment haraka haraka bila ya kujua kuwa amepaka lipstick mdomoni, maana nilikuwa nashambuliwa kama vile mwizi wa simu anavyofukuzwa[emoji28]
Si umesema hutaki wapaka lipstick.... Sasa mbona unamsifia huyo anayependa mwenye lipstick,eleweka msimamo wako...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nanunkuu Mzee Baba mmoja kaiweka hapo juu hivi "wigi lililomficha hata shetani kwa kweli hapana"[emoji56][emoji41][emoji28][emoji4][emoji1][emoji5][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu alisema kakutana na dada kavaa wigi, yule dada kugeuka pembeni wigi bado linaangalia mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…