interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Huwa wanajipiga ngumi likiwasha coz hawawezi kujikuna hadharani
Wa mtaani ndo hao hao wa jf ,,, jf members hawatoki Jupiter mkuuLabda watu hao sio JF members.
Ukiona mwanamke kavaa wigi anajipigapiga kichwani ujue linamuwasha na ndio anajikuna kiainaNioneeni huruma basi maana mbavu zinaniuma sana Wazee Baba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuishie hapa kwa Leo, hahahahahahahahahh...Bora Leo nimeelewa Relief Mirzska maana wanaume mmekuwa mkilalamika kuwa wanawake hawaeleweki kumbe nanyi huwa hamueleweki vile vile hahahahahaha
Usinichoshe we Baba.. Yote nilioyaandika hapo hujayaelewa au ndo kukurupuka? huyo aliniQuote kwamba nywele refu na laini ndo nzuri ila nywele za kipilipili sio nzuri ndo nikamjibu kila mwanamke ana uzuri wake aliojaaliwa na Mungu, wengine nywele, macho, shepu, miguu, etc na mwisho nikamwambia hata hao wazungu wenye nywele laini wanapenda nywele za kusuka kwa mkono ambazo waafrika wengi ndo wasukaji wakuu, sasa nakushangaa ww BABA umedandia comment yangu kwamba waafrika wanaosuka wapo kwani wapi nimesema waafrika hawasuki? UNIKOME.
Nikipishana na wanawake 10, 9 huwa na nywele bandia.Wa mtaani ndo hao hao wa jf ,,, jf members hawatoki Jupiter mkuu
Wigi linalomficha hata shetani humo
Hapana kwa kweli
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Pole sana kwa ugonjwa unaokusumbua wa chuki! ila nikujulishe tu "MIMI SI MKE MWENZIO...."
Kumbe kuna wigi orijino?Wamekua brainwashed kwamba wanawake wenye nywele refu na laini ndio wazuri na wao wenye nywele ngumu za kipipili sio wazuri, mwanamke anapaswa kujiamini na kujikubali jinsi Mungu alivomuumba, kama mzuri ni mzuri tu, unaweza vaa wigi original la laki 5 na bado usivutie.
Si umesema hutaki wapaka lipstick.... Sasa mbona unamsifia huyo anayependa mwenye lipstick,eleweka msimamo wako...Umeenda mbinguni 1 kwa 1 kwa kupenda kilichoumbwa na Mungu, ni nani aliye Fundi bora ktk uumbaji zaidi ya Mungu pekee[emoji848][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes tukiwashobokea mnataka tuwashobokee sanaaaa ndio nuelewe kama tumewashobokea. Tuko tofauti kidogo, wengine tunashoboka kidogo tu na ukiwa hujaelewa mshoboko wetu unataka tushoboke sana tunaona kama mnatichosha.Nyie wanaume nanyi hamsomeki
Mbona mm sivai wigi nna nywele zangu natural sibandiki kucha. Siachi mapaja wazi, etc lakini hamna hata wa kunishobokea mitaani wote mnabanana kwa wavaa mawigi [emoji29][emoji856] au ndo tatizo nyota
Sent using Jamii Forums mobile app
Nanunkuu Mzee Baba mmoja kaiweka hapo juu hivi "wigi lililomficha hata shetani kwa kweli hapana"[emoji56][emoji41][emoji28][emoji4][emoji1][emoji5][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787]Ukiona mwanamke kavaa wigi anajipigapiga kichwani ujue linamuwasha na ndio anajikuna kiaina
Sasa baada ya kula maungo next time wakisifia si unawachana?Wanaume wamejaa unafiki sana, hasa kama kuna kitu wanataka. Watakusifu sana kuwa wigi lako linekupendezesha, kumbe tu wanatamani maungo yako...
Kujiremba rukhsa tatizo kujifanya kama shetani. Miwigi vurugu vurugu, mikope balaa tupu, mikucha kama zimwi, mirangi haijulikani yaani looo😂😂😂hutak wajirembe mkuu???iasee
Si umesema hutaki wapaka lipstick.... Sasa mbona unamsifia huyo anayependa mwenye lipstick,eleweka msimamo wako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu alisema kakutana na dada kavaa wigi, yule dada kugeuka pembeni wigi bado linaangalia mbeleNanunkuu Mzee Baba mmoja kaiweka hapo juu hivi "wigi lililomficha hata shetani kwa kweli hapana"[emoji56][emoji41][emoji28][emoji4][emoji1][emoji5][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio shida yetu wengi,unamfanyia mtu maamuzi... Yeye amesema anapenda hivyo,wewe fata maamuzi/matakwa yako na uache ya watu kila mtu na preference zakeMzee baba unatetea huu uzwazwa Leo?? Tulia kidogo hebu na uwaze tena
Huyo ni mchafu..wigi ni kama nguo tu.Mtu anavaa wigi akiwashwa kichwani anajikuna kwa kutumia msumari, akivua sasa unaweza kimbia jinsi alivyo na mapunye
Huku wanaponda ila kutwaaa wanawasifia hukooo!Niseme tu na nyuma ya keyboard muyachukie hivi hivi ili hao wavaaji wapungue ikiwezekana waishe kabisa.