Unajisikiaje mara ghafla mke wako anavyoanza kuonekana mkubwa zaidi kuliko wewe?

Unajisikiaje mara ghafla mke wako anavyoanza kuonekana mkubwa zaidi kuliko wewe?

Sijui kwann mimi sinaga hii mitizamo. Miminyf akonde labda ndio nitashtuka. Akininenepa au kufumuka hata sioni tabu. Acha tu aishi anavyotaka maisha haya sio kilankitu cha kukijali muda woote uko makini kama nurse wa zam shift ya usiku..Mwache ajiachie..avae anavyotka ale anavyotaka afanye anavyotaka.. kuna muda maisha hayakupi hii option.
Upo sahihi mkuu, hata hivyo binadam tumetofautiana kimtazamo, mwingine anataka mwanamke mwembamba au mwanamke mfupi, Sasa inapotokea umechukua kitu alafu baadae mambo yakaja kuchange, timbwili ndo huazia hapo.
 
Upo sahihi mkuu, hata hivyo binadam tumetofautiana kimtazamo, mwingine anataka mwanamke mwembamba au mwanamke mfupi, Sasa inapotokea umechukua kitu alafu baadae mambo yakaja kuchange, timbwili ndo huazia hapo.
Inawezekana. Na to declare the interest, mimi napenda "minyama, yan unabonya bonya kama embe au parachichi".😋😋😋
 
Tulia mkuu. Hilo linazungumzika na linaweza fanyiwa mabadiriko. Yote yafanyike Kwa upendo na omba maokoto yawepo mezani ya kumpendezesha.
Usifanye kosa la kumpiga stress wife atakua kituko zaidi ya hivyo unavyoona now.

Lakini kumbuka, kigezo cha kuwa wife sio mwonekano tu. Kama ni mama bora na anakusaidia kumalizia siku zako za kuishi dunia hii bila stress sana, please usimpuuze.

Kama umepagawa na pigo za mabinti ... unaruhusiwa kuchepuka kuushibisha moyo wako tamaa za macho, ila ukae ujue uzuri ni ubatili na dhambi ni mzigo.

Usimpe shetani nafasi atakuchqkaza
 
Ni matunzo tu..Wakati nchi zilizoendelea Wanawake wembamba ndio wanakimbiza soko la udangaji na kuolewa.huku bongo Mitukunyema yenye miswambwanda ETI ndo wanakimbiza Soko kiasi kwamba wanawake hawapati usingizi wanawaza kuongeza shape..!

Wengi hawajijali ni kusaka pesa na vicoba mwanzo mwisho..Gym inaonekana umalaya huku kwetu..Akishajifungua ndo kabisaa anajiona kashazeeka anaanza kujifunika na mavitenge na nguo za kushona..Hawazingatii Diet wala nini..Anaamka na mihogo analala na Ugali.mara chips kwa wingi hii yote ni mfumo wa maisha tuliyochagua

Kazi kwelikweli/ Job true true
.huku bongo Mitukunyema yenye miswambwanda ETI ndo wanakimbiza Soko kiasi kwamba wanawake hawapati usingizi wanawaza kuongeza shape..

😄😄😄 Dahh, inaonekana wanawake wa design hiyo, hupendi kabisa.

kwetu..Akishajifungua ndo kabisaa anajiona kashazeeka anaanza kujifunika na mavitenge na nguo za kushona.
 
Habari wana JF, Poleni na majukumu ya hapa na pale [emoji1666],
• Nimekuwa nikifikiria na kufuatilia hili kwa miezi kadhaa sasa, nimeona mke wangu si tena yule mrembo niliyemkuta na kumtongoza.


• Atafikisha miaka 35 hivi karibuni, na tumepata watoto wawili pamoja, Lakini ni kwa nini ghafla anaonekana kuzeeka zaidi ya umri huo, ndicho sikielewi.


• Nimeona wanawake na marafiki wa umri wake bado wanavyoendelea kuwa wabunifu na kufuata mtindo wa mitindo ya maisha, lakini mke wangu hafanyi bidii tena kuchukulia mitindo kwa uzito.


• Anavaa nguo yoyote ile, bila kujali tukio. Huenda hamtanielewa kuhusu hili, kwa sababu zamani alikuwa anazingatia haya kabla hatujapata mtoto wetu wa kwanza. Labda tuseme maisha magumu, sikweli, hapitii kwenye mazingira magumu, maisha yetu ni ya kutosha namlisha vizuri kila siku.


• Hivi ni nini kinachoendelea??
• Wanaume mlio oa, mnahisi hivi pia kama ninavyo hisi mimi?, Namaanisha wale waliooa kwa miaka 5-10 na zaidi.


........ Hadithi ya kijana aliyefunga ndoa miaka 11 iliyopita." [emoji41].
Hapo ulipigwa changa la macho

Mwanamke alikwambia ana miaka 30....
Ili kupata umri wake halisi Chukua 30 zidisha mara 3 gawia 2 utapata miaka 45.
 
Back
Top Bottom