Unajisikiaje mara ghafla mke wako anavyoanza kuonekana mkubwa zaidi kuliko wewe?

Unajisikiaje mara ghafla mke wako anavyoanza kuonekana mkubwa zaidi kuliko wewe?

Karidhka uyoo me wangu alipo pata mimba ali nenepa sanaa afu me sio mpenzi wa woman wanene au wenye matako makubwa saaana ..

nka subiri ajifungue naona still mtu karidhika na ana jua vitu napenda .kilicho fata ni kupiga matukio kama mawili hadi saiv karudi kama mwanzo ki portable
 
Habari wana JF, Poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝,
• Nimekuwa nikifikiria na kufuatilia hili kwa miezi kadhaa sasa, nimeona mke wangu si tena yule mrembo niliyemkuta na kumtongoza.


• Atafikisha miaka 35 hivi karibuni, na tumepata watoto wawili pamoja, Lakini ni kwa nini ghafla anaonekana kuzeeka zaidi ya umri huo, ndicho sikielewi.


• Nimeona wanawake na marafiki wa umri wake bado wanavyoendelea kuwa wabunifu na kufuata mtindo wa mitindo ya maisha, lakini mke wangu hafanyi bidii tena kuchukulia mitindo kwa uzito.


• Anavaa nguo yoyote ile, bila kujali tukio. Huenda hamtanielewa kuhusu hili, kwa sababu zamani alikuwa anazingatia haya kabla hatujapata mtoto wetu wa kwanza. Labda tuseme maisha magumu, sikweli, hapitii kwenye mazingira magumu, maisha yetu ni ya kutosha namlisha vizuri kila siku.


• Hivi ni nini kinachoendelea??
• Wanaume mlio oa, mnahisi hivi pia kama ninavyo hisi mimi?, Namaanisha wale waliooa kwa miaka 5-10 na zaidi.


........ Hadithi ya kijana aliyefunga ndoa miaka 11 iliyopita." 😎.
Wazee wa zamani wakati wanaoa mabinti wakiwa wamepishana gap kubwa si hua mnawashangaa?

Oa mwanamke muache miaka 10,Wanazeeka mapema sana hawa

Ukiongozana nae watu wanaona ni Dada yako 😀😀
 
Habari wana JF, Poleni na majukumu ya hapa na pale [emoji1666],
• Nimekuwa nikifikiria na kufuatilia hili kwa miezi kadhaa sasa, nimeona mke wangu si tena yule mrembo niliyemkuta na kumtongoza.


• Atafikisha miaka 35 hivi karibuni, na tumepata watoto wawili pamoja, Lakini ni kwa nini ghafla anaonekana kuzeeka zaidi ya umri huo, ndicho sikielewi.


• Nimeona wanawake na marafiki wa umri wake bado wanavyoendelea kuwa wabunifu na kufuata mtindo wa mitindo ya maisha, lakini mke wangu hafanyi bidii tena kuchukulia mitindo kwa uzito.


• Anavaa nguo yoyote ile, bila kujali tukio. Huenda hamtanielewa kuhusu hili, kwa sababu zamani alikuwa anazingatia haya kabla hatujapata mtoto wetu wa kwanza. Labda tuseme maisha magumu, sikweli, hapitii kwenye mazingira magumu, maisha yetu ni ya kutosha namlisha vizuri kila siku.


• Hivi ni nini kinachoendelea??
• Wanaume mlio oa, mnahisi hivi pia kama ninavyo hisi mimi?, Namaanisha wale waliooa kwa miaka 5-10 na zaidi.


........ Hadithi ya kijana aliyefunga ndoa miaka 11 iliyopita." [emoji41].
Wewe ndio unamlisha au anakula pekeake? Kama unamlisha ataachaje kunenepa na kujisahau maan a amekua mtoto tayari....na kingine huyo kasharidhika hahitaji kujitutumua kufurahisha wanaume nje.....sasa wewe jitie kichwa ngumu umfungue tena macho utakuja na uzi wa nifanyeje mkewangu anataka kunipanda kichwani
 
Tunzeni wake zenu wapendeze,ushamlaza kifua kimekuwa kama ndala za gesti halafu unasema kazeeka .

Mwanamke akishazaa basi mwili unafumuka kwa kasi na kadri anavyoendelea ,kama ni mnene angalia avae zile nguo ndefu jamii ya abaya na sio za mtumba ,tafuta angalau za bei mbaya zinapendeza kwa wanawake angalau 150k .

Manukato safi hata afike 50 utamuona kawaida ila kama humtunzi na hali za umaskini lazima awe kikongwe.
Jamaa kaliongelea vyema hilo, kila kitu anampatia. Unataka amvishe mwili wake?
 
Kaa chini ongea naye,mwelimishe...mfundishe kufanya control ya mwili wake hasa vyakula,mnunulie mavazi lkn pia mikanda ya kubana tumbo,baada ya muda atakaa sawa.
 
Mliapa kwenye shida na raha. Ndo shida zenyewe hizo mkuu

Urembo na uzuri wa mwanamke hupungua kadiri umri unavyosonga
😀😀, kuwa na mke mdogo ni muhimu sana,
Inawezekana. Na to declare the interest, mimi napenda "minyama, yan unabonya bonya kama embe au parachichi".😋😋😋
Hutaki kulala kwenye tiles 😄😄
 
Tulia mkuu. Hilo linazungumzika na linaweza fanyiwa mabadiriko. Yote yafanyike Kwa upendo na omba maokoto mezani ya kumpendezesha yanakuwapo mezani.
Usifanye kosa la kupiga stress wife atakua kituko zaidi ya hivyo unavyoona now.

Lakini kumbuka, kigezo Cha wife sio mwonekano tu. Kama ni mama Bora na anakusaidia kumaliza siku zako za kuishi duniani bila stress sana please usimpuuze.

Kama umepagawa na pigo za mabinti ... unaruhusiwa kuchepuka kuupa moyo wako tamaa zako ila ujue uzuri ni u atili na dhambi ni mzigo.

Usimpe shetani nafasi atakuchqkaza



Kama umepagawa na pigo za mabinti ... unaruhusiwa kuchepuka kuupa moyo wako tamaa zako ila ujue uzuri ni u atili na dhambi ni mzigo.

• Pigo za mabinti wa Sasa ni hatari sana, hasa watoto wa 2000s, Unaweza jilaumu kwa nini ulioa mapema 😎.

• Shukran sana mkuu, umetoa point kubwa sana,
 
Back
Top Bottom