Unajisikiaje pindi unapopiga simu ya mpenzi wako na kukuta inatumika zaidi ya mara 5?

Unajisikiaje pindi unapopiga simu ya mpenzi wako na kukuta inatumika zaidi ya mara 5?

Kuna manzi nilikuwa namtunuku vishilingi. Siku moja nilipiga simu yake akawa hapokei,sometimes anaongea na mtu mwingine. Siku nzima hakupokea. Siku 3 zikapita hivyo hivyo hakupokea . Akili yangu ikanituma ni ijumaa hadi jumapili atakuwa yuko na mtu weekend asingeweza kupokea. Ila nilijua jumatatu ataanza kunitafuta. Ikawa hivyo. Hadi leo anapiga simu. Sipokei wala sijibu,miezi mitatu Sasa
 
Kwa upande wangu mimi naanzaga kuwaza negative.... sijui kwenu nyie wadau
Tafuta marafiki. Au watu wa kuhang nao.kuna mda mpenzi wako anakuwa Yuko busy Kwa mpenzi wake 🤣🤣
Kuna walio na ndoa mume anarudi baada ya week Moja au mbili.ama kanogewa huko analala Hadi siku tatu ndo anarudi
Au we unadhani suluhisho la upweke ni Nini?
mim naacha nayo akiona mised call atanitafuta akiuchuna nami nakula buyu
 
Back
Top Bottom