Unajisikiaje pindi unapopiga simu ya mpenzi wako na kukuta inatumika zaidi ya mara 5?

Unajisikiaje pindi unapopiga simu ya mpenzi wako na kukuta inatumika zaidi ya mara 5?

Demu wangu mimi nikipiga simu yake ikawa inatumia huwa anakata kwanza kule ananipokea mimi. Haijawahi kutokea simu yake ikiwa inatumia asipokee simu yangu
Na asipopokea, akimaliza kuongea lazima aandike barua yakujieleza kwa nini hakupokea. Kwa nini anadhani watu aliokua anaongea nao wana umuhimu kuliko simu yangu?.
 
Huyo ukute alishapitiaga hiyo situation huko nyuma na ilimuumiza hivyo anajua akikufanyia wewe itakuuma kama ilivyokuwa inamuuma yeye inshort hapendi akupoteze
Yeah inawezekana ikawa ivo ila me nahis ni ile heshima tu aliyonayo.

Kikawaida tu hawezi kudharau simu ya mume ake mbele ya mtu yoyote yule hata awe mzazi wake.

Hata kwenye uislam unataka ivo mke mtu wa mwanzo anaepaswa kumtii ni mume wake halafu ndo wanafuata hao wengine.
 
Ndio ninyi missed call kibao, kuja kumtafuta anakwambia nambie, au nilikua nakusalimia tu, au uko wapi ukimwambia hana cha kukwambia tena zaidi ya nilikumisi...

Unampigia zaidi ya mara 5 unataka kumwambia nini??
Ukimpigia hata mara 2 ni ujumbe tosha wa kumfanya yeye akutafute akimaliza huo ubusy wake.
 
Ndio ninyi missed call kibao, kuja kumtafuta anakwambia nambie, au nilikua nakusalimia tu, au uko wapi ukimwambia hana cha kukwambia tena zaidi ya nilikumisi...

Unampigia zaidi ya mara 5 unataka kumwambia nini??
Ukimpigia hata mara 2 ni ujumbe tosha wa kumfanya yeye akutafute akimaliza huo ubusy wake.
VIjana ni washamba sana na hawajui kutumia simu zao.
Mwanaume mzima unapigaje simu mara tano?
 
Piga mara 5 kama uliahidiwa dili la pesa ila kama ni kusalimia tuu..ni uharibifu wa muda...
 
Piga simu mara moja asipopokea na una jambo muhimu la kumwambia mtumie msg. Akimaliza mazungumzo atakupigia.
Hakuna kitu kinakera kama unaongea na call one halafu kuna mtu anakupigia non stop utasema nyumba inawaka moto. Ukisema ukate line uliyokuwa unaongea nayo utasikia ....nambie!
🤣🤣🤣
 
Mwanaume mstaarabu anaejiamini anapiga mara moja tu kama Hana emergency anasubiri umtafute sometimes unaweza ukawa busy kikao kwenye simu au unaongea na mama hizi mentality ni either hujakomaa akili au una insecurities
 
Mpenzi wangu yeye ndo apige mara 5 me ni moja tu na kama anaongea na simu nyingine basi atamuhold anaengea nae kwanza apokee simu yangu au atanipigia yeye recently baada ya kumalizana na huyo anaeongea nae

Tukishindwana hapo namuacha bila taarifa, Mimi ni mwanaume ni kazi nyingi za kufanya kwaajili ya future
 
🎶Do salale nimeachwa
Do do nimepigwa kibuti😀
 
Piga mara moja tu, mwanamke mstarabu akiona anatafutwa atapiga tu acha kujistress
 
Back
Top Bottom