Unajisikiaje pindi unapopiga simu ya mpenzi wako na kukuta inatumika zaidi ya mara 5?

Unajisikiaje pindi unapopiga simu ya mpenzi wako na kukuta inatumika zaidi ya mara 5?

Natoa offa, Leo nimetembelea uwanja wa sokoine mbeya kuna mechi. Kama kuna mtu yupo hapa aje tusalimiane nimnunulie hata kinywaji.
 
Girlfriend,boyfriend..akiwa anatumika na simu muda wote usiku,.usifikirie vibaya..akiwa na mawasiliano na ex zake usipatwe na kisukari,akiwa na marafiki wengi wa jinsia tofauti,usiwe na pressure..huyo mtu mzima anajua anataka nini,msimpelekane kama watoto,

So unapaswa kuchagua Kumuamini na kuacha aendelee na maisha aliyochagua..au piga chini upate amani ya moyo..nitasisitiza kwa kinyakyusa,

Because She's My Girlfriend It Doesn't Mean You Can't Flirt Or Chat With Her If You Ask Her Out Or Invite Her Over And She Agrees, Fix Her And Buy Her Whatever She Needs Then Go Out With Her.

Only Then She Will Know What Her Intentions Are With You, If Things Go Further So be it. Just be the boyfriend I couldn't be....Cause If I was the boyfriend she really wanted, she wouldn't flirt nor come over to you,

Gone Are The Days We Chase After A Girl, We Are Adults Now. You Can Only Keep A Woman That Wants To Be Kept…Focus my brother
 
Girlfriend,boyfriend..akiwa anatumika na simu muda wote usiku,.usifikirie vibaya..akiwa na mawasiliano na ex zake usipatwe na kisukari,akiwa na marafiki wengi wa jinsia tofauti,usiwe na pressure..huyo mtu mzima anajua anataka nini,msimpelekane kama watoto,

So unapaswa kuchagua Kumuamini na kuacha aendelee na maisha aliyochagua..au piga chini upate amani ya moyo..nitasisitiza kwa kinyakyusa,

Because She's My Girlfriend It Doesn't Mean You Can't Flirt Or Chat With Her If You Ask Her Out Or Invite Her Over And She Agrees, Fix Her And Buy Her Whatever She Needs Then Go Out With Her.

Only Then She Will Know What Her Intentions Are With You, If Things Go Further So be it. Just be the boyfriend I couldn't be....Cause If I was the boyfriend she really wanted, she wouldn't flirt nor come over to you,

Gone Are The Days We Chase After A Girl, We Are Adults Now. You Can Only Keep A Woman That Wants To Be Kept…Focus my brother
mwaisa
 
Kwa upande wangu mimi naanzaga kuwaza negative.... sijui kwenu nyie wadau
Mimi nawaza positive zaidi ya kawaida,kwani naamini ili maisha yaende nahitaji kuwa huru na mwenzangu kuwa huru.Na pale ninaopoona uhuru wangu upo shakani sichelewi kuupigania kwa nguvu zangu zote. Na kuhakikisha unasalia kwa maslahi mapana ya familia na mimi binafsi,ikibidi hata jamii ama taifa.
 
Demu wangu mimi nikipiga simu yake ikawa inatumia huwa anakata kwanza kule ananipokea mimi. Haijawahi kutokea simu yake ikiwa inatumia asipokee simu yangu
Kama upo vizuri kiuchumi ukipiga simu haya akiwa anaongea na wazazi wake anawasimamisha. La pili kama ukipiga simu unaongea vitu vya maana kama ukipiga hakuna kinacho mpa upya kichwani hawezi kupokea simu zote.
 
Wanaongeaga na mama zao sana
Ni kweli, huwa wanasema hakuna watu wambeya kama wapenzi..? Ila niamini Mimi hakuna watu wambeya kama wamama na watoto wao..!!

yaani huwa mnaanza na mazungumzo ya matatizo yenu binafsi, kisha mnakuja ya Baba, mnakuja ya ndugu wengine wa damu, kisha mnaanza ya ndugu (upande wa Baba na Mama), kisha mnafatia wa hapo mtaani, mnapanda mpaka kikanda na kimikoa, mnamalizia na matatizo yanayoikumba Tanzania kiujumla, kidini, kisiasa na kimajanga/maafa..!!

Mkitoka hapo sikio limewaka moto na ndiyo mnakumbuka hamjapika ama hamjala..!!😂😂🙌
 
Basi mkuu.tutafute vile vinatupa unafuu kupunguza upweke.wapenzi warabaki wa ziada hata akikupotezea angalau Kuna vitavyokuliwzza japo si kama yeye.
Na kweli, japo unaweza kupata nafuu lakini njaa inaondolewa na chakula, kiu inaondolewa na maji, upweke nao una cha kuundoa.
 
Girlfriend,boyfriend..akiwa anatumika na simu muda wote usiku,.usifikirie vibaya..akiwa na mawasiliano na ex zake usipatwe na kisukari,akiwa na marafiki wengi wa jinsia tofauti,usiwe na pressure..huyo mtu mzima anajua anataka nini,msimpelekane kama watoto,

So unapaswa kuchagua Kumuamini na kuacha aendelee na maisha aliyochagua..au piga chini upate amani ya moyo..nitasisitiza kwa kinyakyusa,

Because She's My Girlfriend It Doesn't Mean You Can't Flirt Or Chat With Her If You Ask Her Out Or Invite Her Over And She Agrees, Fix Her And Buy Her Whatever She Needs Then Go Out With Her.

Only Then She Will Know What Her Intentions Are With You, If Things Go Further So be it. Just be the boyfriend I couldn't be....Cause If I was the boyfriend she really wanted, she wouldn't flirt nor come over to you,

Gone Are The Days We Chase After A Girl, We Are Adults Now. You Can Only Keep A Woman That Wants To Be Kept…Focus my brother
You have said it all. I once wrote here that nowadays we humans worship "wanting to be loved" more than God. I am certain that God is saddened by our conducts, ways of life and our priorities. Yes being ignored is daunting but its just one person, not a multitude FGS. We gotta reform our hearts and move past these "deliberate traumas" we have chosen to live with.

What is mpenzi btw....smh. Kama tungekua tunahuzunika tukitoka nje ya mstari wa kuishi katika purpose yetu kama tunavyohuzunikia mapenzi, labda tusingekua hapa. Mleta mada, kaa kwenye nafasi yako. Liko kusudi la kuumbwa hapa duniani. Usitafute validation kwa mwanamke au mwanaume awaye yoyote. Ukianza kuliishi kusudi lako, mwanamke atakuheshimu, atakutii pale ambapo unamtafuta, na hutaona mashaka ukiona anaongea na simu maana we uko katika kuliishi kusudi lako..unajua your vision well well. Unataka amani? Hakuna mwanadamu anaeweza kukutimiza perfectly, ni mke, ni mume. Amani yako inatoka kwa Mungu peke yake. Wanadamu tuna ukomo, but God never disappoints. Know this and know peace!
 
Back
Top Bottom