Unajisikiaje pindi unapopiga simu ya mpenzi wako na kukuta inatumika zaidi ya mara 5?

Unajisikiaje pindi unapopiga simu ya mpenzi wako na kukuta inatumika zaidi ya mara 5?

Tafuta marafiki. Au watu wa kuhang nao.kuna mda mpenzi wako anakuwa Yuko busy Kwa mpenzi wake 🤣🤣
Kuna walio na ndoa mume anarudi baada ya week Moja au mbili.ama kanogewa huko analala Hadi siku tatu ndo anarudi
Au we unadhani suluhisho la upweke ni Nini?
ngoja namm nianze kutafuta marafiki wakike maana sinaga
 
Tafuta marafiki. Au watu wa kuhang nao.kuna mda mpenzi wako anakuwa Yuko busy Kwa mpenzi wake 🤣🤣
Kuna walio na ndoa mume anarudi baada ya week Moja au mbili.ama kanogewa huko analala Hadi siku tatu ndo anarudi
Au we unadhani suluhisho la upweke ni Nini?
Mimi nimekosa suluhu maana ni muathirika wa upweke, ingawa ukweli ukiwa bize na kazi walao inapunguza, ila baada ya kazi ndio unajawa na upweke, na wikiendi kama hivi.
Ukisema uende aut nako utakutana na upweke tu, marafiki nao waweza kuwa sababu ya kukosa furaha na kuongeza upweke.
 
Piga simu mara moja asipopokea na una jambo muhimu la kumwambia mtumie msg. Akimaliza mazungumzo atakupigia.
Hakuna kitu kinakera kama unaongea na call one halafu kuna mtu anakupigia non stop utasema nyumba inawaka moto. Ukisema ukate line uliyokuwa unaongea nayo utasikia ....nambie!
 
Mimi nimekosa suluhu maana ni muathirika wa upweke, ingawa ukweli ukiwa bize na kazi walao inapunguza, ila baada ya kazi ndio unajawa na upweke, na wikiendi kama hivi.
Ukisema uende aut nako utakutana na upweke tu, marafiki nao waweza kuwa sababu ya kukosa furaha na kuongeza upweke.
Basi mkuu.tutafute vile vinatupa unafuu kupunguza upweke.wapenzi warabaki wa ziada hata akikupotezea angalau Kuna vitavyokuliwzza japo si kama yeye.
 
Back
Top Bottom