Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja namm nianze kutafuta marafiki wakike maana sinagaTafuta marafiki. Au watu wa kuhang nao.kuna mda mpenzi wako anakuwa Yuko busy Kwa mpenzi wake 🤣🤣
Kuna walio na ndoa mume anarudi baada ya week Moja au mbili.ama kanogewa huko analala Hadi siku tatu ndo anarudi
Au we unadhani suluhisho la upweke ni Nini?
😁😁😁mkuu piga mpaka ajue ametaifisha moyo wa mtu hakuna kulaza damu!
Sio lazima wa kike..au unapendelea zaidi wa kike?ngoja namm nianze kutafuta marafiki wakike maana sinaga
Lazima roho ikuume maana ameku ignore mara tano.Kwa upande wangu mm naanzaga kuwaza negative.... sjui kwenu nyie wadau
ndio nipate new experinceSio lazima wa kike..au unapendelea zaidi wa kike?
Mimi nimekosa suluhu maana ni muathirika wa upweke, ingawa ukweli ukiwa bize na kazi walao inapunguza, ila baada ya kazi ndio unajawa na upweke, na wikiendi kama hivi.Tafuta marafiki. Au watu wa kuhang nao.kuna mda mpenzi wako anakuwa Yuko busy Kwa mpenzi wake 🤣🤣
Kuna walio na ndoa mume anarudi baada ya week Moja au mbili.ama kanogewa huko analala Hadi siku tatu ndo anarudi
Au we unadhani suluhisho la upweke ni Nini?
Kila la kherindio nipate new experince
Basi mkuu.tutafute vile vinatupa unafuu kupunguza upweke.wapenzi warabaki wa ziada hata akikupotezea angalau Kuna vitavyokuliwzza japo si kama yeye.Mimi nimekosa suluhu maana ni muathirika wa upweke, ingawa ukweli ukiwa bize na kazi walao inapunguza, ila baada ya kazi ndio unajawa na upweke, na wikiendi kama hivi.
Ukisema uende aut nako utakutana na upweke tu, marafiki nao waweza kuwa sababu ya kukosa furaha na kuongeza upweke.
nifanye rafiki akoKila la kheri
Sidhani!Loneliness adds beauty to life. It puts a special burn on sunsets and makes night air smell better." - Henry Rollins
Mi ndo ntakufanya mpweke zaidinifanye rafiki ako
kwaniniMi ndo ntakufanya mpweke zaidi
🤣🤣🖐️
Najijua,Sina uchangamfukwanini
😁wote tunafanana tutachangamkiana kwenye simuNajijua,Sina uchangamfu