Aisee, nimeyaona leo mida ya saa moja usiku yanajazwa mafuta pale kwenye sheli ya PUMA karibu na RITA. Kiukweli nimefadhaika sana. Nina wasiwasi hata mafuta hawajalipia wamewekewa bure.
Binadamu wasio na akili hufanya lolote ili wawe na maisha mazuri duniani hata kwa kumwaga damu za watu wengine.