Unajisikiaje Single Mother anapompost mwanae kwenye mitandao?

Nimekutafakar unavyocheka huyo anaelea mtoto wa mwenzie ambaye n marehem,je ikitokea umetangulia mbele za haki(samahan lakin).Wanao wanao wasilelewe na mwanaume mwingine kisa sio mabao yao
Nikishakufa aliyekuwa mke wangu hayuko chini ya mamlaka yangu tena akiamua kuolewa na mwanamume mwingine hilo ni juu yake
 
Hua najaribu sana kukwepa kuandika maneno yanayoumiza hisia za hao masingle maza lkn saa zingine tunaflow tu!

Vijana wengi hizi harakati za pimbi dhidi ya singo mazaz mnafanya humu tu lakn kwa ground mnawaoa sana, miongoni mwa marafiki zangu naefanya nae kazi pamoja & tunaishi majirani na pro kitimoto mwenzangu January hii kaweka single mama ndani.....ni mzur kinoma yaan kwa uzur tu jamaa kapata kitu red carpet material 😁sema sio wife material
 
mwanaume mjinga na mpumbavu ndiye mwanaume pekee atakaye amua kuoa mke wa mtu huku na yeye akijisifu ana mke.

Nb: Umekosa bikra basi oa hata huyo Used aliyetoa mimba bila wewe kujua kuliko kuoa mke wa mtu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe acha ujinga huyo single mother uliye nae anakudanganya!!

Wewe lini uliona damu ya mtu inachukuliwa kwa style hiyo.
Baba mtoto yupo na ndugu wa baba mtoto wanajua mtoto wao aliko.
 
Huu mtego nimedumbukia had kutangaza ndoa singo maza wana nguvu nyie nilizubaishwa nashtuka watoto wawil sjui nilipgwa juju [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]


Nipeni mbinu nijinasue kwny huu mtego wakuu .....
Ujinasue kwani anawasiliana na baba mtoto wake?

Kama wanawasiliana piga chini haraka sana.
 
True mimi pia nina uzoefu na hili
 
Maua kwako
 
Hiyo ndio habari ya mjini...huyo amepata chaka lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…