Unajisikiaje ukikutana na Rafiki zako mliosoma wote kipindi hicho, wako mbali sana kimaisha

Unajisikiaje ukikutana na Rafiki zako mliosoma wote kipindi hicho, wako mbali sana kimaisha

Haya maisha hayataki hasira.
Nime experience kabisa
Kuwa wa kawaida hakukuondolei heshima yako mbele ya ma classmate waliowin life.
Kikubwa kuna namna ya kuishi nao!

Ukishajijua huna kitu cha kuonyesha mbele yao jitahidi sana maisha yako yawe ya siri.
Mpaka pale utakapotoboa.

Jifunze kuishi low profile hata kama una kajiuwezo.

Haya magroup ya wtsp usiwe mtu wa ku comment sana huko

Ukiwa hivyo utawafanya watake kujua life lako.
 

Mhu 9:11 SUV​

Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; LAKINI WAKATI NA BAHATI HUWAPATA WOTE.
Well said
 
Back
Top Bottom