Umaarufu mtandaoni hauji kwa kufosi kwa kujifanya unavamia vamia kila Member huku ukifosi upewe attention na uongelewe.Yule nae sijui mshangazi alivamia jukwaa akawa anafosi sana umaarufu ,muache hukohuko kapuni
nimejilipua kwa kisukumaHapa mdogo wangu umepiga piga je?
Tisha sana Ngosha 👍💪nimejilipua kwa kisukuma
Nakutogilwe mu ng’holo Numbisa wane😁
shibe nayo sio yamchezoPunguza kujamba mtu wangu umekua unajamba sana siaku hizi unakula maziwa mgando?
'nakupenda numbisa.' kwa kisukuma.Sijaelewa kwani kiswahili hujui mkuu?
kumbe kiongozi we wa kulenimejilipua kwa kisukuma
mm nmemuelewa mwamba amejua mtaelewana vizuri zaidi mkiongea lugha ya kwenuSijaelewa kwani kiswahili hujui mkuu?
mm nmemuelewa mwamba amejua mtaelewana vizuri zaidi mkiongea lugha ya kwenu
'nakupenda numbisa.' kwa kisukuma.
😹😹😹😹 Yeaahhh..!!Wee kumbe hujawahi kukutana nayo yaani huwa kunanuka humu hadi watu wanakula ban au nyuzi zinafutwa....kuna kiongozi wa kundi la waasi wa HAMAS anaitwa Lamomy huyo moto wake ni wa Los Angeles 😅😅
Tatizo JF mnaichukulia serious Mangi 😹😹Na wamatusi usisahau kuwalamba pini kukutana tena mpaka paradiso😁
Uzuri manyanza hata nikikukera kesho tunakutana kwenye uzi mwingine tunacheka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani watu ni wepesi sana kushuka moyo
Unajitesa bure da bonge, unajipa pureeesha za bureee 😹Nimechungulia nimekuta nimeignore members 34 na threads 17😂
Watu wako serious km wanatafuta ndoa au jimbo la ubunge 😹😹😹Duh watu mpo serious sana aisee!
Navyokupenda bila kuona nginja nginja zako humu huwa sijisikii amani kabisaUzuri manyanza hata nikikukera kesho tunakutana kwenye uzi mwingine tunacheka 🤣🤣🤣
Hivi ulishawahi kuniignore na wewe?? 😺
Au basi 😹Mtu mwenye matusi huwa sijui nina mwonaje !
Kuna kipindi niliacha waungwana wakaanza kunichokoza 😹😹😹Navyokupenda bila kuona nginja nginja zako humu huwa sijisikii amani kabisa
Vizuri sana kupata mrejesho wa maoni yako, pia ukiweka maoni kwenye jukwaa la wazi kama JF tegemea mirejesho yote, no hard feelings.Iwe ni response ya meseji 📩 likes👍reactions😍 🤣 😡au hata dislikes👎
Wajisikiaje?